Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito


Huu ndio uandishi wako tunauona jf ule mwingine wa kwenye story sio wewe.


Endelea na story umesema ipo sehemu hadi ya 25
 
Umechambua vizri ...hata mimi najiuliza inamaana huyu jamaa maisha magumu yalianza tu baada ya kufukuzwa na msela wake really??? Any way Abu atupe highlights ya maisha yake kabla ya kuachana na rafiki yake ..... mbona baada tu ya kuachana na rafiki yake mambo yaliend kombo sana na alikuwa napiga mishe gani mpka akawa na balance ya 20k kabla ya kuuza simu
 
Story nzuri ila kususa kuimalizia ni upoyoyo uliianzisha ya nini, unataka ubembelezwe umekuwa demu wewe hata mademu wenyewe siku hizi hawabembelezwi, usiilete baki nayo,

Analyse ndo alikuwa muungwana alileta story zake mwanzo mwisho ni mtu anaesimamia ahadi zake,, ukiamua kutoa fundisho basi litoe sio unaishia katikati eti kwa kususa


Sipendi mwanaume anaesusa katika maisha yangu uwiiiii
 
Chai hizi... Binti bikira wakati ananyonyesha?
 
Mkuu hata kama ungeweka jina lako halisi na picha za kusapoti matukio, kuna watu wangepinga tu amini hivyo, binadamu hatufanani. Na wengi wanaofanya hivyo wana shida zao kichwani, wana mapungufu ya kisaikolojia, mtu mwenye akili na muelewa kutokana na mtiririko wa matukio na Geografia ameshajua kuwa unachoeleza ni cha kweli tupu kwa kusoma tu episodi 2.

Uzuri ujue, wanaokuamini ni wengi sana kuliko wakatisha tamaa waliojifanya wanajua ilhali hamna wanachojua na hawewezi andika hata story ya kuvutia kama ufanyavyo angalau kwa paragraph 2 tu , usi rely kwa hao wakatisha tamaa rely kwa watu wa kweli.

Nakusihi mkuu we endelea, wengi tunajifunza, siyo tu kwa hii story yako ya kusisimua na aina ya uandishi wako, bali pia kwa kujua Geografia ya mother Tanzania.
 
we nae mtoto wa mama kula kulala hujawai kupita kwenye msoto uone dunia ilivyo hii story anayosimulia hapa yote anayoeleza yametokea 2020 ndo ametoka maliza form six ila wewe unalinganisha na story ya kutongoza wanafunzi 50 darasani chuoni anakosoma ambayo ni mwaka huu 2022 acheni ujuaji watoto wa mama mtu kuleta story sio lazima iwe imetokea juzi au jana inaweza anayosimulia yametokea miaka mitano au kumi iliyopita bali ni kumbukizi katika mapito yake ya maisha miaka iliyopita ila nyie machoko mnalinganisha na nyuzi za maisha yake ya leo wakati mwezenu anasimulia miaka mitano iliyopita kabla hajafika alipo leo kimaisha ndomama waleta story hawamalizi kisa ujuaji wenu wa kiboya msiyoyajua
 
@mpwayungu acha UTOTO aisee!! Kama uliweza kuvumialia kufukuzwa getho na mwana, kukabwa na mama wa samaki, kuibiwa waleti, kukoswakutobolewa na macho na vibaka wa stendi, ukataka kulala kwenye mikojo ya mlevi, ukawavumila ma headmaster wote, zile ngumi za second master kukaa na majangili polini ndo ushindwe kukaa na wapuuzi wa JF??

LETA VITU MWANA
 
Tunashindwa kuheshimu muda anaotumia jamaa kuandika na utayari wa kuhadithia.

Tujifunze kuwa na shukrani hata kidogo tu.

Ukiona ni ujinga, unapita pembeni usiumize wengine.

mpwayungu village ikikupendeza na ukaridhia, tunaomba umalizie hadithi mkuu.

Chukulia hizi changamoto za JF kama njia ya kukuimarisha zaidi.

Dunia imejaa watu wa kaliba zote. Ni kujifunza namna ya kuishi nao tu.

Barikiwa
 
Mtoa mada kwa umli uliokuwa nao wakati hayo yanakukuta nashawishika kusema wewe ni mchafu na hauko makini kutunza mali zako hata kama kuna mabo yalikupelekea ufikie hatua hizo lakini. Lakini pole sana kwa shida zilizokupata
Sasa umefanikiwa kumkatisha tamaa ameamua asiendelee, wewe hata kuandika kiswahili hujui....umli ndo nini?
 
Nilichokiandika jana usiku...
 
Jf ina much know wengi sana...
Achana nao fanya yako
 
Em tuletee na wewe yako tujifunze

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…