Kibororoni
Member
- Dec 19, 2019
- 77
- 154
Huyo ni mama yako mdogo ndiko ninakomalizia pensheni zangu.Sawa kama huyo kwenye avatar ni mwanaume
Bac una dem mbovu wa kiwango cha SGRHuyo ni mama yako mdogo ndiko ninakomalizia pensheni zangu.
Au umeanza kutamani vitu vya baba zako?
Mm najua kuchagua,angalia ww mwenyewe ulivyofanana na mama yako? Ww si unaitwa handsome na mademu? Mm nisingejua kuchagua ww ungezaliwa na sura kama umelamba ndimu.Bac una dem mbovu wa kiwango cha SGR
Mimi nilikuwa na hisia kwamba ni hadithi ya kweli ila nilivyosoma tukio la vibaka nikaishia hapo na sikuendelea tena japo niliipenda nikaona utakuwa upuuzi kufuatilia bora angesema toka mwanzo tujue ni chai tu .Nimeishia sehemu ya 4 nimeona hii ni Chai haiingii akilini jamaa kukusubir chini ya uvungu wa Basi una kipi kikubwa [emoji53][emoji53][emoji53] halafu begi lako lilikua ni zito sana km ulivyonadi uliwezaje kukimbia vile, pia wakati wanataka kukutia kisu cha Jicho begi walikuwa nalo wao na waliona vyeti uliwezaje kupata muda wa kufunga begi na kukimbia?
Umekurupuka wewe mimi toka mwanzo stori nimeikubali kwa kulike na kureply hapo nilikua natia masihara tu.Kidagaa mkubwa wewe.Keshaacha ujinga kaamua kuwaacha wajanja muandike story zenu.
Nashindwa hata nikujibu nini kaka😀😀 ila kwa kifupi mama yangu awez kuzaa na mwanaume mpumbavu kama ww😃😃Mm najua kuchagua,angalia ww mwenyewe ulivyofanana na mama yako? Ww si unaitwa handsome na mademu? Mm nisingejua kuchagua ww ungezaliwa na sura kama umelamba ndimu.
Nipe hongera yangu tafadhali nami nijisikie.
Usimponde Maza yako mdogo kwa kuwa anakula pensheni yangu.
Mwache ale kazi anayofanya usiku si haba.
Sawa,siku ukifungua mlango wa chumbani kwa Maza yako kwa bahati mbaya na ukaniona nafanya yangu ndio heshima itakuwa debe nami nitakuonesha andiko lako la hapa JF.Nashindwa hata nikujibu nini kaka😀😀 ila kwa kifupi mama yangu awez kuzaa na mwanaume mpumbavu kama ww😃😃
Kwani kwenye vibaka kuna nini cha ajabu kakaMimi nilikuwa na hisia kwamba ni hadithi ya kweli ila nilivyosoma tukio la vibaka nikaishia hapo na sikuendelea tena japo niliipenda nikaona utakuwa upuuzi kufuatilia bora angesema toka mwanzo tujue ni chai tu .
Naona unaongea kwa uchungu mkubwa sana, hakika mtoa uzi kaamua kutukomeshaakitaka ataendlea, asipotaka ataacha. ni sawa tu hatokuwa mtunzi wa kwanza humu jf.. nyuzi itakaa wiki mbili tatu tutasahau...potelea pwete
Mwelevu atoke wapi humu kazi yao ni kuponda tu ila kuandika hata kurasa moja ni shidaJamani basi ajitokeze mwerevu mmoja aundeleze huu uzi pale alipoishia
Unaumwa ww sio bure🤣🤣🤣Sawa,siku ukifungua mlango wa chumbani kwa Maza yako kwa bahati mbaya na ukaniona nafanya yangu ndio heshima itakuwa debe nami nitakuonesha andiko lako la hapa JF.
Dunia duara.
Kuna mdau safuher alichambua vizuri tukio like na kuweka maoni yake ila kwa ufupi kipande kile kina mambo mengi ambayo ni ngumu kuamini kwa watu ambao wameishi uswahilini na kujua nature ya vibaka japo wote hawalingani .Kwani kwenye vibaka kuna nini cha ajabu kaka