Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Hapo walipokushusha patakuwa jirani na kijiji cha Mtange na bila shaka hapa kwenye mabwawa ya chumvi ni shamba la chumvi la Taasisi ya Magereza. Kiukweli ni nje ya mji. Almost 25 km kutoka Lindi mjini. Ni kweli ni Porini. Lindi yote napajua sana mimekaa miaka 7.
Haya tuendelee na simulizi.....
 
Bac una dem mbovu wa kiwango cha SGR
Mm najua kuchagua,angalia ww mwenyewe ulivyofanana na mama yako? Ww si unaitwa handsome na mademu? Mm nisingejua kuchagua ww ungezaliwa na sura kama umelamba ndimu.

Nipe hongera yangu tafadhali nami nijisikie.

Usimponde Maza yako mdogo kwa kuwa anakula pensheni yangu.
Mwache ale kazi anayofanya usiku si haba.
 
Nimeishia sehemu ya 4 nimeona hii ni Chai haiingii akilini jamaa kukusubir chini ya uvungu wa Basi una kipi kikubwa [emoji53][emoji53][emoji53] halafu begi lako lilikua ni zito sana km ulivyonadi uliwezaje kukimbia vile, pia wakati wanataka kukutia kisu cha Jicho begi walikuwa nalo wao na waliona vyeti uliwezaje kupata muda wa kufunga begi na kukimbia?
Mimi nilikuwa na hisia kwamba ni hadithi ya kweli ila nilivyosoma tukio la vibaka nikaishia hapo na sikuendelea tena japo niliipenda nikaona utakuwa upuuzi kufuatilia bora angesema toka mwanzo tujue ni chai tu .
 
Kama hutoendelea basi utawanyima haki watu wanaokusapoti na kukutetea kwa nguvu kubwa kwenye huu uzi . Wewe shusha chai hizi fake ID zinakupagawisha vipi sisi binadamu tokea Dunia iumbwe hatujawahi kuwa na mitizamo sawa hata Manabii walipigwa vikali japo walikuwa na haki na dalili zilizo wazi lakini hawakurudi nyuma.
 
Jamani basi ajitokeze mwerevu mmoja aundeleze huu uzi pale alipoishia
 
Mm najua kuchagua,angalia ww mwenyewe ulivyofanana na mama yako? Ww si unaitwa handsome na mademu? Mm nisingejua kuchagua ww ungezaliwa na sura kama umelamba ndimu.
Nipe hongera yangu tafadhali nami nijisikie.
Usimponde Maza yako mdogo kwa kuwa anakula pensheni yangu.
Mwache ale kazi anayofanya usiku si haba.
Nashindwa hata nikujibu nini kaka😀😀 ila kwa kifupi mama yangu awez kuzaa na mwanaume mpumbavu kama ww😃😃
 
Sijaona maana ya kuwa na Moderator Jf..mtoa Uzi ameudhiwa,amesemwa vibaya nk..vile vile wachangiaji wanatamkiana maneno yasiyo na staha lakini bado Uzi unaachwa tu.
Kazi kweli.
 
Kwani kwenye vibaka kuna nini cha ajabu kaka
Kuna mdau safuher alichambua vizuri tukio like na kuweka maoni yake ila kwa ufupi kipande kile kina mambo mengi ambayo ni ngumu kuamini kwa watu ambao wameishi uswahilini na kujua nature ya vibaka japo wote hawalingani .

Ukiaacha jinsi alivyochoropoka aliniacha hoi jinsi alivyopambana nao na matukio mengine kwenye kisa hiko hapo mood yote ya kufuatilia iliisha nikabaki kuwa msomaji comments kutokana mtu hukujipanga kisaikolojia kama utapigwa na kitu kizito kichwani..
 
yaani story za jf huwa zinaanza hivi,

sehemu ya kwamza ni (utumishi) huwa zinashuka haraka haraka sana,zinaweza tengwa na michango miwili miwili ya wasomaji.

sehemu ya pili ni(utegeaji)mleta story anapunguza speed ya kushusha story lakini mi msikivu,akiombwa aendelee anaendelea kwa kutoa sehemu kadhaa kisha anaomba udhuru,wakati huu itaendelea .......huwa ni nyingi.

sehemu ya tatu (udenguaji)mara nyingi hapa story huwa imenoga, hapa sasa story inakatwa ,katwa mnashindwa kujua hatima yenu[emoji16][emoji16],mletamada hajibu michango,akionekana anarusha moja anapotea,au anaweka ahadi ya siku,siku ikifika anaweka episode moja tu analala mbele.

sehemu ya nne(uvunaji )hapa ndipo sasa watu huanza kuitwa telegram kimya kimya,kwenda kuilipia huko sehemu zilizobaki kwa kujinoma.

sehemu ya tano(armagedon)hii huwa ni vita rasmi kati ya waliokuwa wanafatilia kwa umakini na mleta mada,hapa nisitie neno sana,lakini kimsingi mtu asipokuwa makini hakuna silaha itaacha kutumika,maana wananzengo wanakuwa wamemind kweli kweli,si ajabu mleta mada akaunganishiwa ID nyingine ambayo hataki tuijue,na mara nyingi story huwa inaishia hapa maana strong room zote huvunjwa,tutajua hata kama story umeiba sehemu.


NOTE,mods tunaomba mtu akianzisha story na kuishia hewani apigwe ban ya maisha,maana anautumia mtandao huu kutapeli watu.
 
Back
Top Bottom