Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Hyo tuu mzee unashangaa mie nishalala kwenye vituo vya bus morogoro road kabla mwendokasi haijajengwa napia Ile miti iliokuwa pembezoni mwa morogoro road anzia ubungo mpaka magomeni ilkua n vitanda vya watu usiku.

Maisha Ni safari ndefu sana
Nakubali nakubaliii STREET HUSTLER.[emoji109][emoji109]
 
wale vibaka wakasema poa Sasa ikabidi waende kuwasalimia mademu japo wapo mita moja na tulipo sisi. Ile wanaenda tu ndoulikuwa upenyo wangu
Kiakili ya kawaida tu haiwezekani vibaka wakuweke chini ya ulinzi alafu wote wakuache ukiwa uko peke yako waende kwa mademu,lazima angekuepo mtu wa kukusimamia.

Alafu pili waende kwa hao wadada kuwasalimia kivipi wakati walikuwa wanakuja hapo hapo.

Alafu tatu ulitokaje nduki kali wakati ulikuwa na begi zito ambalo usingeweza kukimbia sana bila wao kukukamata.

Alafu nne vile vyeti walivyovitoa kwenye begi walivirudisha kabla ya wewe kukimbia na begi au vipi.

Ila mimi naifatilia stori kwa sababu inasisimua,ya ukweli ama sio ya ukweli hiyo hainihusu.
 
----SEHEMU YA TANO - - -

Wale majamaa walipotoka kwenye uvungu wa bus ghafla wakanizingira wengine nyuma wengine mbele, nilipandwa na hasira nikajisemea moyoni "atakaegusa hili begi ama zangu ama zake". Kile kijamaa kigomvi kuliko wote kikataka kuchomoa kisu nikamuhawi kumkamata mikono nikampiga kichwa akadondoka wale wengine waliokuwa mbele yangu nikaona wamehamaki kabla ya kuchukua reaction yoyote nikampiga mmojawapo mtama wa kufa mtu nae chali, yule watatu sikumuona sijui alipoteaje ila kile kingine nilichokipiga kichwa nikaona kanaamka nikakandamiza kifuani na buti yangu, kule walinzi hawajui kitu maana ilikuwa ni silent league. Kutazama haraka nyuma naona yule mwingine hayupo akawa anakaita kajamaa ili wakimbie na mimi nikaona nikaachie mwanya kijanja ili kisepe. Kaliondoka chapu wakaenda kupanda pikipiki yao ilikuwa nyuma ya jengo la stend.

Nikiwa nahema sana tena kwa nguvu nilijiona sipo Sawa kabisa maana kama ndomaisha ni kutafuta sio hivi tena ilifika wakati hata ningeona banda la nguruwe Walah ningejiegesha kwenye matope maana ni banda linanistiri. Sikujua tena ule mda ni saa ngapi ila kwakuhisi ilikuwa ni majira ya saa kumi kasoro. Nikiwa nimeduwaa Sina hili wala lile nikasikia kishindo kizito puuuuuuuuh!!! Nikashtuka kuangalia chini ni bonge la jiwe sikujua limetoka wapi nikasema mpwayungu village hapa utakufa hawa watu hawana Nia njema inabidi uondoke. Shida ni kuwa hata nikiondoka naenda wapi?? Ile najiuliza nikaona jiwe limeshuka karibu na miguu yangu huku nikiskia sauti kwa mbali tuliaaaa huyu Leo Tupo nae anamaliza sisi tunaanza. Niliposkia hivo ikabidi niondoke hapo nikaenda tena kwa yule mlinzi awamu hii nikasema acha aniuwe tu saa nitaenda wapi mm jamani.

Kusema kweli sikujua wale jamaa kwa nini walikuwa hawasogei kwenye office za mashalah alipo huyu mlinzi lakini huenda wanajulikana kwa tabia zao ovu. Ile nimefika tu kwa mlinzi ikabidi nigonge mlango mlinzi akafungua nikasema kwa haraka samahani nimekuja kukata ticket. Mlinzi aliniangaliaaa mwishowe akasema weka begi hapo subiri wenyewe waje, namm nikamwambia haina shida ila naomba nijiegeshe hapa mpaka patakapopambazuka yule mlinzi sijui nini kilimkuta au kubadili fikra zake mpaka awe mwelewa kiasi kile. Nikaona katoa shuka lake akasema lala hapo. Sikuweza kuamini kwa mara nyingine naenda kupumzisha mwili wangu mida ya saa kumi usiku. Nikamwambia yule mlinzi Asante sana mungu akubariki mm nitakata tiketi ya saa moja, nimewahi tu mapema siti zinaweza kujaa, mlinzi akanielewa.

Muda huo nikiwa nimesimana kabla ya kulala nikaona kimya kizito sijui wake vibaka walienda wapi tena, kumbuka pale nje Kuna yule jamaa ambae alikuwa amelewa, nikaona kaamka nikasema hapa kazi ipo sijui nitaanza kutukanwa tena. Ahse nilidondosha chozi maana shida zote nilizopitia zilikuwa na maumivu makali sana, yani Sina pesa then wale vibaka wakawa wanataka chochote kitu, ila kama baada ya dakika 3 hivi hali yangu ikakaa sawa. Yule mlevi akaamka akaja akasukuma mlango kwa nguvu nikajiuliza nini tena?. Yule mlinzi akasikika akimwambia atoe mizigo na magunia yaliyopo mle ndani maana kumepambazuka. Sasa ajabu ni kuwa Ile booking office ni ndogo ili atoe Ile mizigo inabidi nisilale nitoke nje maana hakuna nafasi. Nikasema rahaulah!!!, kwa hiyo silali. Yule mlinzi akasema mwambie huyo mteja atoke hapo ndani.

Kwahiyo swala la kulala ikawa basi tena nasikutaka kujionesha nina dhiki na usingizi maana wangeshtuka kumbe mimi sio abiria and for sure sikuwa mteja Bali nilienda tu kukwepa ngumi za vibaka. Lakini wazo likaja ghafla kwanini nisilale alipokuwa amelala huyu mlevi.

Mm nikaona haina shida ngoja nilale, Ile kwenda kuangalia mazingira ya yule mlevi alipokuwa amelala kumbe alijikojorea tena kojo jingi limechimba mpaka mfereji halafu pananuka. Miguu ilikufa gazi kwakweli ilibidi kujitoa ufahamu nilale hivyo hivyo japo nilijiuliza nikiamka asubuhi siwatasema mm ndonimejikojorea. Nikasema Poteleapote mimi navua begi langu naweka hapo ndani nilale Sasa.

Ile navua begi ili nilale nakuta limeyepuka zipu imefunguka bahasha yangu yenye vyeti siioni na baadhi ya nguo zilizokuwa juujuu,..... Ni simanzi nzito..zaidi ya maiti iliyofufuka ndani ya kaburi.

........ Inaendelea usichoke.......
 
----SEHEMU YA TANO - - -

Wale majamaa walipotoka kwenye uvungu wa bus ghafla wakanizingira wengine nyuma wengine mbele, nilipandwa na hasira nikajisemea moyoni "atakaegusa hili begi ama zangu ama zake". Kile kijamaa kigonvi kuliko wote kikataka kuchomoa kisu nikamuhawi kumkamata mikono nikampiga kichwa akadondoka wale wengine waliokuwa mbele yangu nikaona wamehamaki kabla ya kuchukua reaction yoyote nikampiga mmojawapo mtama wa kufa mtu nae chali, yule watatu sikumuona sijui alipoteaje ila kile kingine nilichokipiga kichwa nikaona kanaamka nikakandamiza kifuani na buti yangu, kule walinzi hawajui kitu maana ilikuwa ni silent league. Kutazama haraka nyuma naona yule mwingine hayupo akawa anakaita kajamaa ili wakimbie na mimi nikaona nikaachie mwanya kijanja ili kisepe. Kaliondoka chapu wakaenda kupanda pikipiki yao ilikuwa nyuma ya jengo la stend.

Nikiwa nahema sana tena kwa nguvu nilijiona sipo Sawa kabisa maana kama ndomaisha ni kutafuta sio hivi tena ilifika wakati hata ningeona banda la nguruwe Walah ningejiegesha kwenye matope maana ni banda linanistiri. Sikujua tena ule mda ni saa ngapi ila kwakuhisi ilikuwa ni majira ya saa kumi kasoro. Nikiwa nimeduwaa Sina hili wala lile nikasikia kishindo kizito puuuuuuuuh!!! Nikashtuka kuangalia chini ni bonge la jiwe sikujua limetoka wapi nikasema mpwayungu village hapa utakufa hawa watu hawana Nia njema inabidi uondoke. Shida ni kuwa hata nikiondoka naenda wapi?? Ile najiuliza nikaona jiwe limeshuka karibu na miguu yangu huku nikiskia sauti kwa mbali tuliaaaa huyu Leo Tupo nae anamaliza sisi tunaanza. Niliposkia hivo ikabidi niondoke hapo nikaenda tena kwa yule mlinzi awamu hii nikasema acha aniuwe tu saa nitaenda wapi mm jamani.

Kusema kweli sikujua wale jamaa kwa nini walikuwa hawasogei kwenye office za mashalah alipo huyu mlinzi lakini huenda wanajulikana kwa tabia zao ovu. Ile nimefika tu kwa mlinzi ikabidi nigonge mlango mlinzi akafungua nikasema kwa haraka samahani nimekuja kukata ticket. Mlinzi aliniangaliaaa mwishowe akasema weka begi hapo subiri wenyewe waje, namm nikamwambia haina shida ila naomba nijiegeshe hapa mpaka patakapopambazuka yule mlinzi sijui nini kilimkuta au kubadili fikra zake mpaka awe mwelewa kiasi kile. Nikaona katoa shuka lake akasema lala hapo. Sikuweza kuamini kwa mara nyingine naenda kupumzisha mwili wangu mida ya saa kumi usiku. Nikamwambia yule mlinzi Asante sana mungu akubariki mm nitakata tiketi ya saa moja, nimewahi tu mapema siti zinaweza kujaa, mlinzi akanielewa.

Mda huo nikiwa nimesimana kabla ya kulala nikaona kimya kizito sijui wake vibaka walienda wapi tena, kumbuka pale nje Kuna yule jamaa ambae alikuwa amelewa, nikaona kaamka nikasema hapa kazi ipo sijui nitaanza kutukanwa tena. Ahse nilidondosha chozi maana shida zote nilizopitia zilikuwa na maumivu makali sana, yani Sina pesa then wale vibaka wakawa wanataka chochote kitu, ila kama baada ya dakika 3 hivi hali yangu ikakaa sawa. Yule mlevi akaamka akaja akasukuma mlango kwa nguvu nikajiuliza nini tena?. Yule mlinzi akasikika akimwambia atoe mizigo na magunia yaliyopo mle ndani maana kumepambazuka. Sasa ajabu ni kuwa Ile booking office ni ndogo ili atoe Ile mizigo inabidi nisilale nitoke nje maana hakuna nafasi. Nikasema rahaulah!!!, kwa hiyo silali. Yule mlinzi akasema mwambie huyo mteja atoke hapo ndani.

Kwahiyo swala la kulala ikawa basi tena nasikutaka kujionesha nina dhiki na usingizi maana wangeshtuka kumbe mimi sio abiria and for sure sikuwa mteja Bali nilienda tu kukwepa ngumi za vibaka. Lakin wazo likaja ghafla kwanini nisilale alipokuwa amelala huyu mlevi. Mm nikaona haina shida ngoja nilale, Ile kwenda kuangalia mazingira ya yule mlevi alipokuwa amelala kumbe alijikojorea tena kojo jingi limechimba mpaka mfereji halafu pananuka. Miguu ilikufa gazi kwakweli ilibidi kujitoa ufahamu nilale hivyo hivyo japo nilijiuliza nikiamka asubuhi siwatasema mm ndonimejikojorea. Nikasema Poteleapote mimi navua begi langu naweka hapo ndani nilale Sasa.
Ile navua begi ili nilale nakuta limeyepuka zipu imefunguka bahasha yangu yenye vyeti siioni na baadhi ya nguo zilizokuwa juujuu,..... Ni simanzi nzito..zaidi ya maiti iliyofufuka ndani ya kaburi.

........ Inaendelea usichoke.......
Utamaliza leo au nilale?
 
Tarehe 4 mwezi wa pili 2020 nikiwa katika msongo wa mzito wa mawazo yaliyotokana na ugumu wa maisha nilijikuta nafanya maamuzi magumu bila kutarajia. Nilikuwa nakaa gheto maeneo ya buguruni sheli japo gheto lilikuwa na mshikaji wangu ambae tulisoma nae primary mawenzi shule ya msingi iliyopo moshi mjini mwaka 2006 ndotulimaliza darasa la saba hapo.

Nikiwa nimelala saa sita usiku naona napigwa mgongoni kwa nguvu kuamka namuona rafiki angu tunaelala chumba kimoja pia ndommiliki wa gheto mm kaniweka tu kishkaji, nikasema kulikoni jamaa akajibu kiunyenyekevu akisema "oya demu wangu kafukuzwa na Dada ake alipokuwa anakaa kwahiyo hana pakwenda nasaizi ni saa saba usiku amekuja yupo hapo kibarazani anataka tulale humu kwahiyo please wewe ni mwanaume ebu tafuta ustaraabu wa kuondoka saizi ukija asubuhi tutaweka mambo Sawa ".

Nikamwambia sasa mda huu mm niende wapi ndugu na Sina hata sehemu yakujiegesha!? Akajibu nitajua mwenyewe, ikabidi nivae niende kimboka night club kupoteza mda nikawa naangalia movie kwenye mabanda ya pale kimboka maana majamaa huwa hawalali. Ilipofika asubuhi nikatia timu bahati nzuri nikakuta wote wameamka ila wapo kitandani nikamsalimia shemeji pamoja na jamaa angu japo hawakuonesha uso wa tabasamu walikuwa serious kiasi ambacho nilishindwa kuwaongelesha.

Nilipotazama juu kwenye enga zakuwekea nguo zangu ghafla sikuona nguo yoyote, nilipouliza jamaa akasema nimekuwekea kwenye begi ili ukija usisumbuke kuzipanga maana shemeji ako kasema yeye hatoki atakaa hapahapa sasa hatuwezi kulala watatu. Ilikuwa ni kipindi kigumu sana Kwangu zaidi ya Alpha konde alipotolewa madarakani. Nikatazama juu chini nikawaza nikasema haina shida.

Nikabeba begi langu nikawaaga wakasema kila raheli. Nilikuwa na simu Aina ya tecno F1 na mfukoni nikawa na 20000 nikasema Poteleapote nitaenda popote pale kutafuta rudhiki.

Kwa pesa niliyokuwa nayo kukaa Dar Es Salaam hapakunifaa tena, hiki ndokipindi ambacho mikoani unapaona nafuu kuliko jiji la Dar Es Salaam. Nikiwa na begi langu Zito la nguo mpaka mida ya saa kumi jioni nilikuwa sijajua niende wapi na nitalala wapi. Nilipoona mda unakwenda ilibidi nimfate jamaa mmoja ivi yeye anauza nguo za jinsi buguruni sokoni kama unaenda shell nilipofika alinichangamkia akijua ni mteja kumbe ni mtu mwenye dhiki aliehitaji msaada. Sikupoteza mda ilibidi nimwambie ukweli yote yaliyotokea ila msaada wangu mkubwa ilikuwa anitafutie mteja wa kununua simu yangu.

Akasema nauzaje nikamwambia simu nauza 90000 tu jamaa akasema ngumu kupata mteja leoleo Sema ngoja nimpigie simu Dada mmoja anauza chakula Ana shida sana na simu kubwa. Yule dada akaja alivyoiona na alivyokuwa na pupa ya kumiliki smart phone nikajua tu huyu ni mteja. Jamaa akasema niongee nae ilibidi nimwambie nauza laki moja maana ngozi nyeusi ukitaja bei harisi ushahalibu. Yule Dada akasema ana 80000 nikajifanya nakataa akaongeza 5000 nikamwambia toa pesa akanipa nikampa simu akaagana na jamaa akaondoka. Sasa kimbembe kikaanza Kati ya mm na huyu Dalali.

Jamaa nikampa 5000 akasema niache utani inabidi nimpe 20000 nikacheka kidogo huku mdomo ukiwa umekauka maana mpaka jua lilizama sijapata chochote cha kuchezesha kinywa changu.

Nikamwambia 20000 hapana kutokana na shida niliyonayo jamaa akasema vinginevyo anamwambia yule dada hii simu ya uwizi arudishe. Nikaona isiwe tabu nikampa 10000 nikasema hutaki naondoka na pesa sirudishi maana ilibidi nikunje sura vinginevyo nitakwama. Jamaa akapokea.

Alipopokea Ile pesa nikapotea mda huohuo. Sasa kimbembe nipakulala maana ikawa ni usiku huku nikiwa nimechoka sana. Nikaingia bar moja ivi inaitwa sewa. Nikaongea na muhudumu akasema Vyumba kwanzia saa saba usiku mdaa huu ni short time. Kwa kuwa nilikuwa na shida nikavumilia Ilipofika saa saba nikawa hoi kweli kweli nikiwa nimekaa kwenye kiti huku bar ikiwa imefungwa yule muhudumu akaja akasema kaka pole nenda kalale chumba hicho apo. Akasema nimpe 4000 tu maana naonekana sipo sawa. Nikampa pesa yake Nikaingia kulala japo madadapoa walikuwa wanagonga sana mlango niwafungulie lakini sikujali.

Asubuhi kukapambazuka nikasema leo inyeshe mvua liwake jua sikai Dar. Mm nimemaliza kidato cha sita ila sikubahatika kuingia chuo kikuu lakini najua sana kufundisha. Nikasema hapa ngoja nikatafute kibarua cha kufundisha mikoani ila tu isiwe dodoma. Nikawaza sana nikasema hapa safari ni kwenda lindi. Nikachukua daladala mpaka mbagala, ilikuwa saa sita mchana, kufika pale wakasema mda huu Gari za lindi mpaka temeke hapa mbagala ipo gari ya kwenda kilwa mda huu inaitwa MASHALAH.

Kwasababu kichwa changu mda huo hakikuwa sawa nikasema nikate tiketi tu hata ya kwenda kilwa nitajua mbele ya safari. Wakasema nauli Dar mpaka kivinje ni 11000 halafu Dar mpaka kilwa ni 13000.
Saa sita na nusu tukawa tumeondoka Dar Es Salaam kuelekea kilwa nikiwa Sina ndugu wala yoyote anaenijua lakini nikiwa na Amani ya moyo kwakuwa kilwa sio sudani wala Uganda ni Tanzania pia.

Inaendelea...
Eheh, kikaendelea nini!!?
 
Tarehe 4 mwezi wa pili 2020 nikiwa katika msongo wa mzito wa mawazo yaliyotokana na ugumu wa maisha nilijikuta nafanya maamuzi magumu bila kutarajia. Nilikuwa nakaa gheto maeneo ya buguruni sheli japo gheto lilikuwa na mshikaji wangu ambae tulisoma nae primary mawenzi shule ya msingi iliyopo moshi mjini mwaka 2006 ndotulimaliza darasa la saba hapo.

Nikiwa nimelala saa sita usiku naona napigwa mgongoni kwa nguvu kuamka namuona rafiki angu tunaelala chumba kimoja pia ndommiliki wa gheto mm kaniweka tu kishkaji, nikasema kulikoni jamaa akajibu kiunyenyekevu akisema "oya demu wangu kafukuzwa na Dada ake alipokuwa anakaa kwahiyo hana pakwenda nasaizi ni saa saba usiku amekuja yupo hapo kibarazani anataka tulale humu kwahiyo please wewe ni mwanaume ebu tafuta ustaraabu wa kuondoka saizi ukija asubuhi tutaweka mambo Sawa ".

Nikamwambia sasa mda huu mm niende wapi ndugu na Sina hata sehemu yakujiegesha!? Akajibu nitajua mwenyewe, ikabidi nivae niende kimboka night club kupoteza mda nikawa naangalia movie kwenye mabanda ya pale kimboka maana majamaa huwa hawalali. Ilipofika asubuhi nikatia timu bahati nzuri nikakuta wote wameamka ila wapo kitandani nikamsalimia shemeji pamoja na jamaa angu japo hawakuonesha uso wa tabasamu walikuwa serious kiasi ambacho nilishindwa kuwaongelesha.

Nilipotazama juu kwenye enga zakuwekea nguo zangu ghafla sikuona nguo yoyote, nilipouliza jamaa akasema nimekuwekea kwenye begi ili ukija usisumbuke kuzipanga maana shemeji ako kasema yeye hatoki atakaa hapahapa sasa hatuwezi kulala watatu. Ilikuwa ni kipindi kigumu sana Kwangu zaidi ya Alpha konde alipotolewa madarakani. Nikatazama juu chini nikawaza nikasema haina shida.

Nikabeba begi langu nikawaaga wakasema kila raheli. Nilikuwa na simu Aina ya tecno F1 na mfukoni nikawa na 20000 nikasema Poteleapote nitaenda popote pale kutafuta rudhiki.

Kwa pesa niliyokuwa nayo kukaa Dar Es Salaam hapakunifaa tena, hiki ndokipindi ambacho mikoani unapaona nafuu kuliko jiji la Dar Es Salaam. Nikiwa na begi langu Zito la nguo mpaka mida ya saa kumi jioni nilikuwa sijajua niende wapi na nitalala wapi. Nilipoona mda unakwenda ilibidi nimfate jamaa mmoja ivi yeye anauza nguo za jinsi buguruni sokoni kama unaenda shell nilipofika alinichangamkia akijua ni mteja kumbe ni mtu mwenye dhiki aliehitaji msaada. Sikupoteza mda ilibidi nimwambie ukweli yote yaliyotokea ila msaada wangu mkubwa ilikuwa anitafutie mteja wa kununua simu yangu.

Akasema nauzaje nikamwambia simu nauza 90000 tu jamaa akasema ngumu kupata mteja leoleo Sema ngoja nimpigie simu Dada mmoja anauza chakula Ana shida sana na simu kubwa. Yule dada akaja alivyoiona na alivyokuwa na pupa ya kumiliki smart phone nikajua tu huyu ni mteja. Jamaa akasema niongee nae ilibidi nimwambie nauza laki moja maana ngozi nyeusi ukitaja bei harisi ushahalibu. Yule Dada akasema ana 80000 nikajifanya nakataa akaongeza 5000 nikamwambia toa pesa akanipa nikampa simu akaagana na jamaa akaondoka. Sasa kimbembe kikaanza Kati ya mm na huyu Dalali.

Jamaa nikampa 5000 akasema niache utani inabidi nimpe 20000 nikacheka kidogo huku mdomo ukiwa umekauka maana mpaka jua lilizama sijapata chochote cha kuchezesha kinywa changu.

Nikamwambia 20000 hapana kutokana na shida niliyonayo jamaa akasema vinginevyo anamwambia yule dada hii simu ya uwizi arudishe. Nikaona isiwe tabu nikampa 10000 nikasema hutaki naondoka na pesa sirudishi maana ilibidi nikunje sura vinginevyo nitakwama. Jamaa akapokea.

Alipopokea Ile pesa nikapotea mda huohuo. Sasa kimbembe nipakulala maana ikawa ni usiku huku nikiwa nimechoka sana. Nikaingia bar moja ivi inaitwa sewa. Nikaongea na muhudumu akasema Vyumba kwanzia saa saba usiku mdaa huu ni short time. Kwa kuwa nilikuwa na shida nikavumilia Ilipofika saa saba nikawa hoi kweli kweli nikiwa nimekaa kwenye kiti huku bar ikiwa imefungwa yule muhudumu akaja akasema kaka pole nenda kalale chumba hicho apo. Akasema nimpe 4000 tu maana naonekana sipo sawa. Nikampa pesa yake Nikaingia kulala japo madadapoa walikuwa wanagonga sana mlango niwafungulie lakini sikujali.

Asubuhi kukapambazuka nikasema leo inyeshe mvua liwake jua sikai Dar. Mm nimemaliza kidato cha sita ila sikubahatika kuingia chuo kikuu lakini najua sana kufundisha. Nikasema hapa ngoja nikatafute kibarua cha kufundisha mikoani ila tu isiwe dodoma. Nikawaza sana nikasema hapa safari ni kwenda lindi. Nikachukua daladala mpaka mbagala, ilikuwa saa sita mchana, kufika pale wakasema mda huu Gari za lindi mpaka temeke hapa mbagala ipo gari ya kwenda kilwa mda huu inaitwa MASHALAH.

Kwasababu kichwa changu mda huo hakikuwa sawa nikasema nikate tiketi tu hata ya kwenda kilwa nitajua mbele ya safari. Wakasema nauli Dar mpaka kivinje ni 11000 halafu Dar mpaka kilwa ni 13000.
Saa sita na nusu tukawa tumeondoka Dar Es Salaam kuelekea kilwa nikiwa Sina ndugu wala yoyote anaenijua lakini nikiwa na Amani ya moyo kwakuwa kilwa sio sudani wala Uganda ni Tanzania pia.

Inaendelea...
sipati picha huko kilwa
 
----SEHEMU YA TANO - - -

Wale majamaa walipotoka kwenye uvungu wa bus ghafla wakanizingira wengine nyuma wengine mbele, nilipandwa na hasira nikajisemea moyoni "atakaegusa hili begi ama zangu ama zake". Kile kijamaa kigonvi kuliko wote kikataka kuchomoa kisu nikamuhawi kumkamata mikono nikampiga kichwa akadondoka wale wengine waliokuwa mbele yangu nikaona wamehamaki kabla ya kuchukua reaction yoyote nikampiga mmojawapo mtama wa kufa mtu nae chali, yule watatu sikumuona sijui alipoteaje ila kile kingine nilichokipiga kichwa nikaona kanaamka nikakandamiza kifuani na buti yangu, kule walinzi hawajui kitu maana ilikuwa ni silent league. Kutazama haraka nyuma naona yule mwingine hayupo akawa anakaita kajamaa ili wakimbie na mimi nikaona nikaachie mwanya kijanja ili kisepe. Kaliondoka chapu wakaenda kupanda pikipiki yao ilikuwa nyuma ya jengo la stend.

Nikiwa nahema sana tena kwa nguvu nilijiona sipo Sawa kabisa maana kama ndomaisha ni kutafuta sio hivi tena ilifika wakati hata ningeona banda la nguruwe Walah ningejiegesha kwenye matope maana ni banda linanistiri. Sikujua tena ule mda ni saa ngapi ila kwakuhisi ilikuwa ni majira ya saa kumi kasoro. Nikiwa nimeduwaa Sina hili wala lile nikasikia kishindo kizito puuuuuuuuh!!! Nikashtuka kuangalia chini ni bonge la jiwe sikujua limetoka wapi nikasema mpwayungu village hapa utakufa hawa watu hawana Nia njema inabidi uondoke. Shida ni kuwa hata nikiondoka naenda wapi?? Ile najiuliza nikaona jiwe limeshuka karibu na miguu yangu huku nikiskia sauti kwa mbali tuliaaaa huyu Leo Tupo nae anamaliza sisi tunaanza. Niliposkia hivo ikabidi niondoke hapo nikaenda tena kwa yule mlinzi awamu hii nikasema acha aniuwe tu saa nitaenda wapi mm jamani.

Kusema kweli sikujua wale jamaa kwa nini walikuwa hawasogei kwenye office za mashalah alipo huyu mlinzi lakini huenda wanajulikana kwa tabia zao ovu. Ile nimefika tu kwa mlinzi ikabidi nigonge mlango mlinzi akafungua nikasema kwa haraka samahani nimekuja kukata ticket. Mlinzi aliniangaliaaa mwishowe akasema weka begi hapo subiri wenyewe waje, namm nikamwambia haina shida ila naomba nijiegeshe hapa mpaka patakapopambazuka yule mlinzi sijui nini kilimkuta au kubadili fikra zake mpaka awe mwelewa kiasi kile. Nikaona katoa shuka lake akasema lala hapo. Sikuweza kuamini kwa mara nyingine naenda kupumzisha mwili wangu mida ya saa kumi usiku. Nikamwambia yule mlinzi Asante sana mungu akubariki mm nitakata tiketi ya saa moja, nimewahi tu mapema siti zinaweza kujaa, mlinzi akanielewa.

Mda huo nikiwa nimesimana kabla ya kulala nikaona kimya kizito sijui wake vibaka walienda wapi tena, kumbuka pale nje Kuna yule jamaa ambae alikuwa amelewa, nikaona kaamka nikasema hapa kazi ipo sijui nitaanza kutukanwa tena. Ahse nilidondosha chozi maana shida zote nilizopitia zilikuwa na maumivu makali sana, yani Sina pesa then wale vibaka wakawa wanataka chochote kitu, ila kama baada ya dakika 3 hivi hali yangu ikakaa sawa. Yule mlevi akaamka akaja akasukuma mlango kwa nguvu nikajiuliza nini tena?. Yule mlinzi akasikika akimwambia atoe mizigo na magunia yaliyopo mle ndani maana kumepambazuka. Sasa ajabu ni kuwa Ile booking office ni ndogo ili atoe Ile mizigo inabidi nisilale nitoke nje maana hakuna nafasi. Nikasema rahaulah!!!, kwa hiyo silali. Yule mlinzi akasema mwambie huyo mteja atoke hapo ndani.

Kwahiyo swala la kulala ikawa basi tena nasikutaka kujionesha nina dhiki na usingizi maana wangeshtuka kumbe mimi sio abiria and for sure sikuwa mteja Bali nilienda tu kukwepa ngumi za vibaka. Lakin wazo likaja ghafla kwanini nisilale alipokuwa amelala huyu mlevi. Mm nikaona haina shida ngoja nilale, Ile kwenda kuangalia mazingira ya yule mlevi alipokuwa amelala kumbe alijikojorea tena kojo jingi limechimba mpaka mfereji halafu pananuka. Miguu ilikufa gazi kwakweli ilibidi kujitoa ufahamu nilale hivyo hivyo japo nilijiuliza nikiamka asubuhi siwatasema mm ndonimejikojorea. Nikasema Poteleapote mimi navua begi langu naweka hapo ndani nilale Sasa.
Ile navua begi ili nilale nakuta limeyepuka zipu imefunguka bahasha yangu yenye vyeti siioni na baadhi ya nguo zilizokuwa juujuu,..... Ni simanzi nzito..zaidi ya maiti iliyofufuka ndani ya kaburi.

........ Inaendelea usichoke.......
Mkuu mpwayungu village umesahau kuongezea habari ya ile mvua ilivyokunyeshea siku ile
 
Tarehe 4 mwezi wa pili 2020 nikiwa katika msongo wa mzito wa mawazo yaliyotokana na ugumu wa maisha nilijikuta nafanya maamuzi magumu bila kutarajia. Nilikuwa nakaa gheto maeneo ya buguruni sheli japo gheto lilikuwa na mshikaji wangu ambae tulisoma nae primary mawenzi shule ya msingi iliyopo moshi mjini mwaka 2006 ndotulimaliza darasa la saba hapo.

Nikiwa nimelala saa sita usiku naona napigwa mgongoni kwa nguvu kuamka namuona rafiki angu tunaelala chumba kimoja pia ndommiliki wa gheto mm kaniweka tu kishkaji, nikasema kulikoni jamaa akajibu kiunyenyekevu akisema "oya demu wangu kafukuzwa na Dada ake alipokuwa anakaa kwahiyo hana pakwenda nasaizi ni saa saba usiku amekuja yupo hapo kibarazani anataka tulale humu kwahiyo please wewe ni mwanaume ebu tafuta ustaraabu wa kuondoka saizi ukija asubuhi tutaweka mambo Sawa ".

Nikamwambia sasa mda huu mm niende wapi ndugu na Sina hata sehemu yakujiegesha!? Akajibu nitajua mwenyewe, ikabidi nivae niende kimboka night club kupoteza mda nikawa naangalia movie kwenye mabanda ya pale kimboka maana majamaa huwa hawalali. Ilipofika asubuhi nikatia timu bahati nzuri nikakuta wote wameamka ila wapo kitandani nikamsalimia shemeji pamoja na jamaa angu japo hawakuonesha uso wa tabasamu walikuwa serious kiasi ambacho nilishindwa kuwaongelesha.

Nilipotazama juu kwenye enga zakuwekea nguo zangu ghafla sikuona nguo yoyote, nilipouliza jamaa akasema nimekuwekea kwenye begi ili ukija usisumbuke kuzipanga maana shemeji ako kasema yeye hatoki atakaa hapahapa sasa hatuwezi kulala watatu. Ilikuwa ni kipindi kigumu sana Kwangu zaidi ya Alpha konde alipotolewa madarakani. Nikatazama juu chini nikawaza nikasema haina shida.

Nikabeba begi langu nikawaaga wakasema kila raheli. Nilikuwa na simu Aina ya tecno F1 na mfukoni nikawa na 20000 nikasema Poteleapote nitaenda popote pale kutafuta rudhiki.

Kwa pesa niliyokuwa nayo kukaa Dar Es Salaam hapakunifaa tena, hiki ndokipindi ambacho mikoani unapaona nafuu kuliko jiji la Dar Es Salaam. Nikiwa na begi langu Zito la nguo mpaka mida ya saa kumi jioni nilikuwa sijajua niende wapi na nitalala wapi. Nilipoona mda unakwenda ilibidi nimfate jamaa mmoja ivi yeye anauza nguo za jinsi buguruni sokoni kama unaenda shell nilipofika alinichangamkia akijua ni mteja kumbe ni mtu mwenye dhiki aliehitaji msaada. Sikupoteza mda ilibidi nimwambie ukweli yote yaliyotokea ila msaada wangu mkubwa ilikuwa anitafutie mteja wa kununua simu yangu.

Akasema nauzaje nikamwambia simu nauza 90000 tu jamaa akasema ngumu kupata mteja leoleo Sema ngoja nimpigie simu Dada mmoja anauza chakula Ana shida sana na simu kubwa. Yule dada akaja alivyoiona na alivyokuwa na pupa ya kumiliki smart phone nikajua tu huyu ni mteja. Jamaa akasema niongee nae ilibidi nimwambie nauza laki moja maana ngozi nyeusi ukitaja bei harisi ushahalibu. Yule Dada akasema ana 80000 nikajifanya nakataa akaongeza 5000 nikamwambia toa pesa akanipa nikampa simu akaagana na jamaa akaondoka. Sasa kimbembe kikaanza Kati ya mm na huyu Dalali.

Jamaa nikampa 5000 akasema niache utani inabidi nimpe 20000 nikacheka kidogo huku mdomo ukiwa umekauka maana mpaka jua lilizama sijapata chochote cha kuchezesha kinywa changu.

Nikamwambia 20000 hapana kutokana na shida niliyonayo jamaa akasema vinginevyo anamwambia yule dada hii simu ya uwizi arudishe. Nikaona isiwe tabu nikampa 10000 nikasema hutaki naondoka na pesa sirudishi maana ilibidi nikunje sura vinginevyo nitakwama. Jamaa akapokea.

Alipopokea Ile pesa nikapotea mda huohuo. Sasa kimbembe nipakulala maana ikawa ni usiku huku nikiwa nimechoka sana. Nikaingia bar moja ivi inaitwa sewa. Nikaongea na muhudumu akasema Vyumba kwanzia saa saba usiku mdaa huu ni short time. Kwa kuwa nilikuwa na shida nikavumilia Ilipofika saa saba nikawa hoi kweli kweli nikiwa nimekaa kwenye kiti huku bar ikiwa imefungwa yule muhudumu akaja akasema kaka pole nenda kalale chumba hicho apo. Akasema nimpe 4000 tu maana naonekana sipo sawa. Nikampa pesa yake Nikaingia kulala japo madadapoa walikuwa wanagonga sana mlango niwafungulie lakini sikujali.

Asubuhi kukapambazuka nikasema leo inyeshe mvua liwake jua sikai Dar. Mm nimemaliza kidato cha sita ila sikubahatika kuingia chuo kikuu lakini najua sana kufundisha. Nikasema hapa ngoja nikatafute kibarua cha kufundisha mikoani ila tu isiwe dodoma. Nikawaza sana nikasema hapa safari ni kwenda lindi. Nikachukua daladala mpaka mbagala, ilikuwa saa sita mchana, kufika pale wakasema mda huu Gari za lindi mpaka temeke hapa mbagala ipo gari ya kwenda kilwa mda huu inaitwa MASHALAH.

Kwasababu kichwa changu mda huo hakikuwa sawa nikasema nikate tiketi tu hata ya kwenda kilwa nitajua mbele ya safari. Wakasema nauli Dar mpaka kivinje ni 11000 halafu Dar mpaka kilwa ni 13000.
Saa sita na nusu tukawa tumeondoka Dar Es Salaam kuelekea kilwa nikiwa Sina ndugu wala yoyote anaenijua lakini nikiwa na Amani ya moyo kwakuwa kilwa sio sudani wala Uganda ni Tanzania pia.

Inaendelea...
Pole sana.
 
Back
Top Bottom