Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Inaonekana watu wa huko wana roho mbaya nyoka afadhaliDaaaah mkuu umenikumbusha mbali sana, niliwahi kulala nje hapo Kilwa Kivinje karibu na bandari, bahati nzuri nikipata sapoti ya Mzee flan mvuvi alikuwa anasubiri mashua ya kwenda Mafia, kipindi hicho nilikuwa natoka kuchimba dhahabu na safaya mbwenkulu, Lindi ndani ndani, napakumbuka Mangaka, Masasi, Lindi, Kilwa, kwa bahati nzuri kesho yake nilipata lift ya roli la sementi nikafanikiwa kurudi Dar, mazingira ya huko ni magumu sana ikiwa mgeni.
Mkuu, one day uje uifungukie hii habar A to Z, kuanzia safar yako ya kwenda huko na Nini kilikukuta ukaamua kurudi!Daaaah mkuu umenikumbusha mbali sana, niliwahi kulala nje hapo Kilwa Kivinje karibu na bandari, bahati nzuri nikipata sapoti ya Mzee flan mvuvi alikuwa anasubiri mashua ya kwenda Mafia, kipindi hicho nilikuwa natoka kuchimba dhahabu na safaya mbwenkulu, Lindi ndani ndani, napakumbuka Mangaka, Masasi, Lindi, Kilwa, kwa bahati nzuri kesho yake nilipata lift ya roli la sementi nikafanikiwa kurudi Dar, mazingira ya huko ni magumu sana ikiwa mgeni.
Dah mshikaji katuacha njiani.Mkuu, one day uje uifungukie hii habar A to Z, kuanzia safar yako ya kwenda huko na Nini kilikukuta ukaamua kurudi!
Tunduru ipo Mkoa wa RuvumaKwan Tunduru ipo mkoa gani mkuu?,
Jamaa namuona sana anajaribu kusaka kasoro kwa mchizi tangu uzi unaanza, anaboa sana. Ni kama analipwa vile kusaka kasoro.Kuandika uzi mrefu katika kujaribu kumdodosa mtu usiyemjua ni upuuzi. Soma story mezani, maisha yake binafsi achana nayo, maana sio muhimu kwako. Huu ushauri uende kwa wapuuzi wengine pia.
Sana Tu dada yangu ,hata mm nnastory yangu wilaya hii hii yakilwa nawaza niilete hapa au vipi Naona kama SINA uwezo wa kusimulia Ila anaposimulia msimulizi,kilwa kivinje,kilwa masoko, nangurukuru,we Acha Tu,unaweza his umerogwa ilandio maisha Tu.Kuna nyakati zingine maishani unaweza hisi umelogwa!
Huyu jmaaa anasimulia ukweli mtupuHadi hapa naamini kabisa kwamba hii ni true story. Sehemu kubwa sana ni ukweli [emoji106][emoji106][emoji106]
Jitahidi utusimulie kwa vile Ni true story itaflow tu....pole Sana mapito wengi tumepitia japo kwa story tofautiSana Tu dada yangu ,hata mm nnastory yangu wilaya hii hii yakilwa nawaza niilete hapa au vipi Naona kama SINA uwezo wa kusimulia Ila anaposimulia msimulizi,kilwa kivinje,kilwa masoko, nangurukuru,we Acha Tu,unaweza his umerogwa ilandio maisha Tu.
Torvic banayu wapi kijana wa mihangaiko ya kilwa?
mpwayungu village i call upon you...
mpwayungu village i call upon you...
mpwayungu village kuya mara moyaaa...
kuyaaa.. kuyaaa... kuyaaa hapa mara moyaa
Dah the Monk kumbe ni wewe? Unajua nimesoma comment bila kujua baadaye nikashtuka dah. Pole Sana comrade. Ila Kwanini umebadilisha avatar picha zako za real Monk nilitaka nikupite hivi hivi. Ama iyo umeweka Sasa hivi kwa muda kumuomboleza bibi?Kimsingi hawakua ndugu ila walikua wanafahamiana na huyo ndugu yangu aliyetakiwa kunipatia pesa. Ilikua tukutane nae Arusha tuende nae Moshi.
Hapo Kijenge nilikutana na jamaa wakanielekeza Kwa hao walionisaidia, wanaishi Njiro. Kumbuka nimetembea bila kujua naelekea wapi nikatokea Kijenge, nikaona kibao Cha kanisa la Lutheran, kwenda pale nikaulizia Kwa hao walionisaidia nikaambiwa wapo Dar ( walikua na shughuli pamoja na huyo ndugu yangu Sasa). Lakini mie sikupewa taarifa, vinginevyo ningeenda Dar Kisha Moshi.
Hata wao walishangaa nimepajuaje huko Njiro ila walifurahi.
Ndugu yangu sio kwamba hakua mwaminifu, alijisahsu kunipa taarifa za mabadiliko ya mipango yetu. Kumbuka hata simu sikuwa nayo. Nilikua natembea na vocha za TTCL, ukiona kibox unaiingiza namba unapiga.
Walivyomaliza, akawakabidhi wale jamaa pesa, wakaniletea nikanunue vitu huyoo Moshi.
Hapo katikati sijaelezea nilienda Arusha Technical College Kuna jamaa tumetoka nae Kijiji kimoja, nikaambiwa hajafika Bado. Niliona Giza. Nashukuru Mungu nilishindwa kukaa Kule Njiro, ukiamka asubuhi unaletewa chai, unakula, haufanyi kazi yeyote ni kwenye TV tu. Nikarudi College Bahati nzuri jamaa akawa ameripot nilikaa huko hadi siku naenda kuchukua pesa Njiro, kununua vitu na kuelekea shule.
Huyo jamaa wa College Mungu aendelee kumbariki, alikuja pitia mitihani namshukuru Mungu alinipa nafasi ya kufanya chochote ( nikiwa nimeshaanza kazi). Bahati nzuri na yeye Yuko Dar siku hizi tumekua kama familia Moja.
Maisha Yana mambo mengi sana
Dah the Monk kumbe ni wewe? Unajua nimesoma comment bila kujua baadaye nikashtuka dah. Pole Sana comrade. Ila Kwanini umebadilisha avatar picha zako za real Monk nilitaka nikupite hivi hivi. Ama iyo umeweka Sasa hivi kwa muda kumuomboleza bibi?
Nakumbuka Toka 2018 unanitia moyo Sana kwenye nyuzi zangu humu za safari zangu za kusaka kuwa dollar millionaires.
You seems to be a very humble honest person. Hii nikulingana na comments zako na reply kwenye nyuzi za watu humu.
Kuna siku ulinishauri humu kwa utulivu na unyenyekevu nisimjibu member flani kwa lugha mbaya ya matusi. Tangu siku iyo the Monk you had a permanent respect from me.
Rudisha avatar picha za real Monk.
Respect!
Mi nimetembea umbali mrefu Sana kutoka mawengi mpk mlangali sio umbali wa kitotoDah acha kabisa mkuu. Nilikuwa sijawahi kutembea kwa mguu umbali mrefu kwa lazima, nikajisikitikia sana kwamba nimekosa nini nyumbani hadi napata shida hii!
Umbali mrefu niliowahi kutembea kwa mguu ulikuwa ni wa hiari tu kutoka sehemu moja inaitwa Lugarawa hadi Ulayasi na sikuwa peke yangu.
Dah! Kuna jamaa yangu alitembea kwa mguu kutoka Ludewa Mjini mpaka Mlangali kwa siku 2 na anasema alinyosha barabara tu. kipindi hicho alikuwa anasoma Chief Kidulile Ludewa, sasa akawa na changamoto za uchumi zilizomlazimu kutembea.Mi nimetembea umbali mrefu Sana kutoka mawengi mpk mlangali sio umbali wa kitoto
Ila shida nyingne za kujitafutia ....aisee
Aah! Kile kipande sio pouwa mi nilikuw kule 2015 nilikuw Nina kamradi kakuchan mbao so miti naifuata lugarawa, mawengi,mlangali,ulayasi ya ludewa nimezunguka Kuna mwnyej wa kule nilimpata alikuw ananitembez kote HukoDah! Kuna jamaa yangu alitembea kwa mguu kutoka Ludewa Mjini mpaka Mlangali kwa siku 2 na anasema alinyosha barabara tu. kipindi hicho alikuwa anasoma Chief Kidulile Ludewa, sasa akawa na changamoto za uchumi zilizomlazimu kutembea.