Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

miaka ya nyuma kidogo niliwahi kuishi njombe nikitokea mkoa wa kilimanjaro (Moshi)........Njombe ni zaidi ya urusi yaani sijawahi kukaa makete lakini hapo njombe ni baridi la kufa mtu,siku ya kwanza tu kufika kule nikajiuliza hawa raia wa uku wanaishi vipi yaani
Yap ndo nawashangaa wanaoifananisha na Arusha, mwenyew nakumbuka cyo nafka njombe ile barid sio poa afu wenyeji wakaniambia huu sio msimu wa baridi man inaanzia mwez wa 6 adi nkajiulza watu wa huku wanaishije
 
Hapana kiongozi acha tu maana humu Kuna watu wanajiona ni mataita wakudadisi nakunya distinction ya kipi cha ukweli na kipi cha uongo basi mm nimewapa fursa hiyo wachunguze..
Wewe hebu kafie mbele huko na ma-uongo yako.

Eti darasa la saba 1992.

Halafu form six 2020.

Hivi unajua mtu aliyemaliza STD VII 1992 sasa hivi ana mvi mpaka matakoni?

We unazo hauna?
 
mkuu achana na huyo mbuzi, kwanza hapa unatusimulia kwa starehe yako, hakuna anayekulipa, hakuna unayemlazimisna asome na wasiposoma au wakisoma havikuongezei lolote kwenye maisha yako,wapuuze kabisa hao wapuuzi wachache tuangalie sisi tusio na noma kwa simulizi yako.nawexa kisema umekosea sehemu moja tu kuwajibu hao,hukutakiwa kabisa tuachie sisi hiyo kazi wewe tupia kurasa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nae kama pompoma tu.
 
Ok,nimekuelewa umeandika kwa hisia sana

Pia nisamehe kwa yaliyojitokeza mkuu
Tulizaliwa,kwa Sasa tunaishi na tutakufa siku moja,

Katikati ya kuzaliwa na kufa Kuna mengi tunapitia wewe Ukiwa mmojawapo
Wewe mpuuuzi unajifanya mjuaji wa kila kitu,unadhani wewe mkewe unaishi nae???.
Haya maisha kila mtu anapitia yake,kama ukiona chai tafuta mengine ufanye sio kuleta ujuaji mbele ya wanaume
 
Asante sana kwa muongozo..na je zina hila? na dhahabu zao niza vikole ama?

Mana mwezi wa7 nataka nielekee huko nikafanye survey.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Zina hila mkuu...kama sahiv maeneo ya lupota nachingwea mkanda umewaka, a huko namachima karibu na namungo.....Zipo zote dhahabu za aina zote za vumbi/mlenda na za vikole
 
Mleta uzi nilikuwa nakuamin Sana stor yako na isitoshe maeneo meng umeyataja nayafaham man ndo hme Lindi Sasa naanza kuwaza tfaut kidg 7bu Kam uliweza kuvumilia hayo yte utashindwaje kustahimili maneno ya waliopinga adi ususe na ni wachache Mana wengn naona Wana uhitaji muendelezo Sasa naanza kupata shaka kdg Kam kwel umesusa kuendelea na uzi
 
Mkuu hata kama ungeweka jina lako halisi na picha za kusapoti matukio, kuna watu wangepinga tu amini hivyo, binadamu hatufanani. Na wengi wanaofanya hivyo wana shida zao kichwani, wana mapungufu ya kisaikolojia, mtu mwenye akili na muelewa kutokana na mtiririko wa matukio na Geografia ameshajua kuwa unachoeleza ni cha kweli tupu kwa kusoma tu episodi 2.

Uzuri ujue, wanaokuamini ni wengi sana kuliko wakatisha tamaa waliojifanya wanajua ilhali hamna wanachojua na hawewezi andika hata story ya kuvutia kama ufanyavyo angalau kwa paragraph 2 tu , usi rely kwa hao wakatisha tamaa rely kwa watu wa kweli.

Nakusihi mkuu we endelea, wengi tunajifunza, siyo tu kwa hii story yako ya kusisimua na aina ya uandishi wako, bali pia kwa kujua Geografia ya mother Tanzania.
Tumia akili. Mleta mada hana mpya tena.
 
Nilichogundua kuhusu mpwayungu village,

_Ni mtu mwenye maisha ya wastani si magumu wala so mazuri sana

_Ni mtu mzima kiasi, yaani kijana aliyekomaa,tofauti na umri anaotuaminisha

_Kazunguka kiasi mikoa mbalimbali na kupiga kambi ya muda mrefu

_hajafika advance kama anavyodai,bali ana form four fulani ya kuzugia

_Mkasa kuhusu hii hadithi yake ni imagination,kaunganisha Dot's tu

_yaani kifupi sehemu zote alizotaja aliwahi kufika tena kwa shughuli zingine

_nimejaribu kufukua nyuzi zake nyingi
Yaani haziendani na matukio yake mengi Uzi huu ,yupo chuo,Uzi huu kaishia form six,uzi huu kamaliza shule ya msingi 1992 yaani fujo tupu

Yote kwa yote hadithi yake imeishia hapo,

Maana Kama ni mateso yalianzia baada ya kufukuzwa na friend mate au roommate wake,

Kisha akaelekea mbagala kuianza Safari ya kuelekea kusini

Uzuri kipande hiki kapangilia vizuri sana Hadi pale aliponunua samaki kule somanga na kugundua hela zote kapoteza

Akaharibu baada ya kufika kilwa masoko ambapo Kuna vibaka wakawa wanataka kumpora

Shots Kati ya yeye na vibaka hapa alituuza, haiwezekani vibaka wang'ang'anie mtu mmoja, vibaka hawapo hivyo

Hadithi hii angekuja na I'd mpya ingekuwa tamu zaidi hata Kama ni ya kufikirika.

hii kweli mm nilimwamini mwanzo ila matukio ya mfululizo ya mateso bila kupumua yakaanza kunipa alert kuwa huu ni utunzi, maisha yana misukosuko lkn kuna kupumua pia[emoji2], sio hii kila siku kila saa ni visa tu, lkn hadithi yake ni nzuri, mimi napenda simulizi kwa hiyo nime enjoy.
 
Nimeishia sehemu ya 4 nimeona hii ni Chai haiingii akilini jamaa kukusubir chini ya uvungu wa Basi una kipi kikubwa [emoji53][emoji53][emoji53] halafu begi lako lilikua ni zito sana km ulivyonadi uliwezaje kukimbia vile, pia wakati wanataka kukutia kisu cha Jicho begi walikuwa nalo wao na waliona vyeti uliwezaje kupata muda wa kufunga begi na kukimbia?
 
Nimeishia sehemu ya 4 nimeona hii ni Chai haiingii akilini jamaa kukusubir chini ya uvungu wa Basi una kipi kikubwa [emoji53][emoji53][emoji53] halafu begi lako lilikua ni zito sana km ulivyonadi uliwezaje kukimbia vile, pia wakati wanataka kukutia kisu cha Jicho begi walikuwa nalo wao na waliona vyeti uliwezaje kupata muda wa kufunga begi na kukimbia?
Bora umeishia huko maana huku mbele jamaa kasusa kuendelea kwa sababu hataki kukosolewa..
 
Mleta uzi nilikuwa nakuamin Sana stor yako na isitoshe maeneo meng umeyataja nayafaham man ndo hme Lindi Sasa naanza kuwaza tfaut kidg 7bu Kam uliweza kuvumilia hayo yte utashindwaje kustahimili maneno ya waliopinga adi ususe na ni wachache Mana wengn naona Wana uhitaji muendelezo Sasa naanza kupata shaka kdg Kam kwel umesusa kuendelea na uzi

Huyu katolewa group whatsApp alikokua anatoa story. Hajapitia ata dakika 2 za story yake
 
Mimi nilihisi tu huyu jamaa ataishia njiani. Maana kuna watu unahadithia jambo lako lakini yeye anawashwa kama vile amekalia upupu.

Mara muongo, Mara chai, Mara hivi hawatosheki wakiandika hapa wanaenda mpka pm. Sijui nini huwa kinatokea kwa hawa wadau wa JF.

Ushauri ikiletwa story ya MTU iwe uongo au kweli, tulia usome hadithi yote ili upate mikasa na ujifunze hata ikiwa uongo huvunjiki mguu. Huwezi, usisome ondoka sio kujaza uchafu kwenye Uzi WA mwezako.
 
Back
Top Bottom