Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika ?Welcome back kitambo hujaonekana
Kazi na dawa jombaa!Na unaangalia nini kwenye laptop yako hapo nyie ndio mnafanya maisha yanazido kuwa magumu
Lini wabongo mtaelewa maana ya freedom of expression, kila siku mnalilia demokrasia wakati hamjajiandaa kuyapokea yatokanayo na hiyo demokrasia.Humu JF inatakiwa kuwe na option ya mwenye uzi kuwa na hati miliki yaani aruhusiwe kuchagua nani wa kucoment kwenye uzi wake na awe na uwezo wa kumtoa mtu kwenye uzi wake.
Genye zikikupanda ukahitaji mshedede naomba nistue jombaaKazi na dawa jombaa!
Msaidieni kulipia bill ili apate muendelezo wa ilipoishia hiyo story la sivyo sahauni kuhusu kumalizia. Kuna wajomba wanaumiza vichwa kutunga hizo hadithi sio rahisi nyie mzipate hadi mwisho bure bure tuKwa Jinsi nlivyo fwatilia story... Mwandishi kaishia sehem ya 13.
Baadhi ya Jf member na hisi ni watoto wa form 2 na Form 4 na hata Six Liver.
Ila ndo members humu hakuna namna ni kuwa kejeli kuwadharau na kuwa puuza kama mapunguani.
Mleta mada mkuu endelea achana na mapungulala...yalio shiba ugali wa shemeji na wana lala Seblen.
Basi una tatizo la msingi!Inaonesha bado kuna ktu cjakijua kuhusu baridi
Sasa kibamia cha nini wakati anayeolewa ni mwanao?
Wewe ni Certified idiotDocuments ulizo attach hakuna hata moja ambayo tunaweza kuthibitisha kwamba ni zako, any fool would be in a position to do as you have done
Unaficha ili iweje?? ... km umeamua kuweka wazi weka tujue!! unaficha nani ana shida na licheti la division four failure karibu na zero!......Alama za blue zipi hapo c yeye ndio kaficha baadhi ya taarifa zake ebu acheni ushamba
Kuna muda yakupasa kutumia kichwa chako kufikiri, Usibebe hicho kichwa juu ya mabega yako kama mzigo, Au sawa na mizigo mingineLini wabongo mtaelewa maana ya freedom of expression, kila siku mnalilia demokrasia wakati hamjajiandaa kuyapokea yatokanayo na hiyo demokrasia.
acha hasira za kizamani jibu hoja ya msingi!Wewe ni Certified idiot
Kweli ndo inaongoza kwa mambo yoooote ya ngono- kijijnga/zembe ila sema wao wana kinga.... aliyesema ''me'' wote africa muolewe! mkataka kurusha ngumi ni nani??.......anaye taka sera za me' kutoa nya zao ili mpewe misaada hatoki Africa! kasome tena uje!Kama baridi ni kichocheo cha watu kufanya ngono zembe basi Ulaya itakuwa inaongoza kwa ufanyaji wa ngono zembe.
Nitaleta baadaye kidogo ninai hariri.Wewe ya kwako uliyotunga iko wapi?
Vijana wa miaka ya tisini hawana subira kabisa ha haaaa yaani wanashambulia balaa mpk mtu mzima kataka kujinyea ....hawa vijana Wana stress ..mpwa lete story.Mtoa mada majanga yamezidi kwa sababu sio mvumilivu(ameshindwa vumilia comments mbaya mbaya)
We jamaa mbona unamambo ya kike, hv unawashwa nini kama unaona story ya kutunga c uache kusoma kwani unalazimishwa we utakuwa chok* sio bure