Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mademu hawa wenyewe wa siku hizi anagongana na watu zaidi ya 3 kwa wiki,hadi ute kwenye Virginia zao umekata kwa nini usipate ngoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alikuwa na kibamia,maana nasikia wenye vibamia possibility ya kupata ngoma ni ndogo sana.Kuna mtaa tuliishi 1993-1996 karibu watu wengi mpaka baba mwenye nyumba na mke na wapangaji ,yaani ni mtaa mzima walikufa ila dingi alikuwa kicheche ila hakupata,yaani watu walikufa mpaka wa Rika langu ,huwezi kukuta mtu unamjua kwenye huo mtaa,mimi mpaka Kuna mshukaji wangu tulicheza Naye mpira alikufa yeye na kaka yake
Hiyo haimzuii kutoa dislikeNimemuweka ignore list, tukifanya hivyo ID km 100 atafurahia show
Sana mkuu , enzi za kina Ignas kalongola, Hamim kilahama, Happy Mbundu, Kaka Ibrahim Ngwada wakiwa wawezeshaji wa mafunzo. Kweli siku hazigandiAhahahahahaha aisee very long time mkuu
Umenichekesha kuna siku nilinunua kondom fulan Arusha zinauzwa pact elf 10,nikaziweka kwenye bag nikasafiri kwenda mwanza baada ya siku 4 toka nizinunue kuna demu nikamcheki pale Mwanza nikazitumia.Ngoma ipo na inawaunguza watu ndani kwa ndani, kilichopo ni ARV ndo mficha maradhi, wapo watoto walizaliwa na ukimwi ila wana afya njema kwa hisani ya vidonge, wapiga kavukavu kazi mnayo. kiwanda kingine kinachozalisha ukimwi ni madada poa, hawa wana dau la kavukavu na dau la kondom, ajabu mtu anaongeza dua ili apige kavu kumbe ndo ananunua ukimwi, na haka kamtindo ka anal sex ndo balaa maana friction ni kubwa unapata fresh HIV, utani mwingine ni hawa wanaojipima, kumezuka biashara ya kitembea na vipimo, mnapima ndo mnapiga game, well and good but sio 100% guarantee, ndo maana hili jambo linafanyika hospital, kuna ishu ya utunzaji wa kifaa unaoweza kuadhiri ufanisi wa kipimo, pia kuna expire date sidhan kama wanaangalia, cha ziada kuna kitu kinaitwa "window period" yaan kipind kati ya kupata maambukizi mpaka mda wa ugonjwa kuonekana kwenye kipimo, zamani ilikuwa miezi 3, ila sikuhz ni mwezi mmoja, sasa kama dem kapata ngoma wiki iliyopita, kuna uwezekano ukimpima asome negative lakini ukila kavu unapata ngoma, ndo maana hata hospital ukipima unaambiwa rudi baada ya muda kurudia vipimo, somo ni kuwa majibu ya kujipima sio ya kutegemea 100%, bora mkapime hospital mpate na ushauri wa kitaalamu.
Hivyo bado suluhisho la ukimwi ni zilezile sentensi 3, ..... 1. jiepushe kabisa na ngono.. 2. kuwa na mpenzi mmoja na wote muwe waaminifu 3. tumia kondom ,
kondom itumike kwa usahihi na itunzwe vizuri, kuna watu wanatembea na condom kwenye wallet mwishowe zinapoteza ubora, pia kuna mafuta yakikutana na condom yanazidhoofisha inapasuka katikati ya show... kwahyo wale wazee wa vilainishi tumieni vilainishi ambavyo ni water based na sio oil based..
Is water-based lubricant best for condoms?
"
Water-based or silicone lube are always safe to use with any kind of condom. Don't use anything that has oil in it, like lotion, vaseline, or oil-based lubes with latex condoms. Oil can damage latex condoms and make them break"
unakuta mtu anakomaa na mafuta ya nazi ndo kilainishi, hapo kondom itachanika na utaenda na maji, kanunue tu KY firauni wewe
""Coconut oil cannot be used with latex condoms because it can break down the latex and cause the condom to break," explained Dr. Landry. Only water- and silicone-based lubricants can be used with latex condoms without risking breakage, said Dr. Landry""
so wazee wa kazi tujilinde na tuwalinde wenza wetu, point sio wivu au kuchapiwa bali point ni kutoleteana magonjwa nyumbani, ndo maana nawaelewa wanaotoa adhabu kali pale wanapofumania, we umetulia zako uko busy na kaz kumbe kuna kijana anaruka na wife, kamata kijana chomoa viungo, aende akamtumikie muumba wake.
"UKIMWI UNAUA, HAUNA KINGA WALA DAWA'
Unaacha uzinzi halafu mkeo ndiyo anakuletea. Wengi wanapatia kwenye ndoa pia.Ukisoma huu uzi unaweza acha uzinzi. Umeongea mambo ya msingi sana
Chakula, kujikubali na haliJuzi nilikuwa klinic ya watoto hapo zahanati Njombe, pembeni si ndio ipo cliñic ya Ukimwi. Mkuu mbona watu wote si wanawake kwa wanaume hawana nuru kabisa usoni, wamedhoofu wanatia huruma ni kama wamekata tamaa kabisa. Sasa mbona hizo dawa haziwafanyi wapendeze na kunenepa kama ninavyoona katika stori?
Hata ule ute ute wa mwanamke una virusi, so ukiingia kupitia tundu la uume lazima uupate UKIMWI.Jamani acheni kukamia game,piga ka bao kale ka kwanza tu ambapo kila MTU anautelezi mwanamke uke unakuwa umelowa,kisha tambaa sasa wewe ukitaka ukomae na cha pili na tatu lazima upate
Kaka Himars kumbe ni mdau wa makalio makubwa wewe? Alikuwa mweupe au mweusi huyo dada?!Nilipima baada ya kuambukizwa gono na lidada lenye matako makubwa
PEP si ARVAu tuwe na PEP za emergency 🤔🤔🤔🤔?unaonaje hiyo?
Sio mdau nilipenda tukujaribu.Kaka Himars kumbe ni mdau wa makalio makubwa wewe? Alikuwa mweupe au mweusi huyo dada?!
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Ooh kumbe alikuwa black. Okay! Kuna kitu nitahitaji unisaidie kama siyo kunishauri.Sio mdau nilipenda tukujaribu.
Wanyakyusa na weupe ?
FungukaOoh kumbe alikuwa black. Okay! Kuna kitu nitahitaji unisaidie kama siyo kunishauri.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Walau siioni kwenye alert ya notificationsHiyo haimzuii kutoa dislike
Kwa sababi hizo dawa ukizitumia kwa muda badaye zinaharibu kabisa utendaji kazi wa INI na figo.halo wanazokuwa Nazi ni kama MTU anayeumwa ugonjwa wa inni au figo.Juzi nilikuwa klinic ya watoto hapo zahanati Njombe, pembeni si ndio ipo cliñic ya Ukimwi. Mkuu mbona watu wote si wanawake kwa wanaume hawana nuru kabisa usoni, wamedhoofu wanatia huruma ni kama wamekata tamaa kabisa. Sasa mbona hizo dawa haziwafanyi wapendeze na kunenepa kama ninavyoona katika stori?
Niliignore watu 180 ila leo nimeamua kuwarudisha wote maana sio sababu ya kuwaignoreWalau siioni kwenye alert ya notifications
hakuna kitu kama hicho ukiwa na hiv rapid test inaona tu hata ule dawa kwa miaka 100Its true,na inasemekana kuwa hawa wanaotumia dawa ukienda kupima na rapid test wadudu hawaonekani,yaani nikiwaza hapo nasema wacha tu nibaki njia kuu maana nimeshapoteza marafiki na ndungu wengi sana,nakumbuka katika jamaa waliotangulia kuna aliyefikia mpaka kutoka funza kwenye mwili ni kama alikuwa anaoza,aisee hii kitu ni hatari sana,HIV is real...
Nawiwa kujifunza blogging. Mimi ni mpya kabisa kwenye field hii, unaweza kuwa na abc's zozote? Nina PC naona haina majukumu!Funguka