Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Wanawake wengi usalama ni mdogo hasa kwenye hizi meetings za upcountry! Wengi wanaachia sana hata awe vipi!Alikubali.Mimi najua mambo yanayofanyika maofsin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengi usalama ni mdogo hasa kwenye hizi meetings za upcountry! Wengi wanaachia sana hata awe vipi!Alikubali.Mimi najua mambo yanayofanyika maofsin
NaamWanawake wengi usalama ni mdogo hasa kwenye hizi meetings za upcountry! Wengi wanaachia sana hata awe vipi!
Kweli mkuuWanawake wengi usalama ni mdogo hasa kwenye hizi meetings za upcountry! Wengi wanaachia sana hata awe vipi!
Mara nyingi, ingawa siyo wote, wanawake wengi wanapenda kupendwa, kuthaminiwa, kupandishwa hadhi mbele ya wanawake wenzao, kupewa majawabu ya changamoto zinazomzunguka, kupata matokeo chanya kwa muda mfupi (kufanikiwa), na hawataki na hawahimili stress. Kadhalika, wanawake wengi wanapenda mwanaume anayependwa na wengi hata kama malaya. Kingine mwanamke akiwa tu karibu na mtu akazoeana naye ufungua code za udhaifu wake wa kuachia mzigo kwa mtu huyo, hata kama mtu huyo mtu anamwonekano special.Wanawake wengi usalama ni mdogo hasa kwenye hizi meetings za upcountry! Wengi wanaachia sana hata awe vipi!
Ukimwi upo bestie😀
Ukisoma hii thread unatubu 😹😹Ukimwi upo bestie😀
Baada ya muda unasahauUkisoma hii thread unatubu 😹😹
Safi kabisa endelea na uwoga huo huoUzi huu nimeusoma mpaka nimehisi kuumwa tumbo la uzazi kwa woga😄
Tena ndio kwanza una tafuta threeesomeeee ya kufukua mitaroBaada ya muda unasahau
Patamuuuu vijana wanapataka wazee wanapatakaa🤣🤣🤣🤣pale kati bado patamu ?
Muonekano special ndo ukoje?anamwonekano special.
Viwanda vya mbao, chai, viko since 1960s huku na vinakusanya wananchi nchi nzimaHivi ni kwanini sasa? Kama baridi kuna sehemu nyingi tu zinabaridi hapa bongo