Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
❤️❤️❤️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
❤️❤️❤️
Eti mingle🤣karibu jf. r u married dating or single and ready to mingle?
DuuhKuna Mwalimu mmoja pale UD kwenye kota za Walimu alikuwa anakula kuku na mayai yake.
Alibahatika kupata Mabinti mapacha na walipoanza kupevuka tu aliwatenganisha kila mmoja kulala kwenye chumba chake, kumbe Lizee lilikuwa linakula zamu kwa zamu kwa hao Mabinti zake mbali na Mkewe.
"Mficha maradhi kifo humuumbua" hatimaye Doto alipata mimba, Mama Mzazi alipoona tu dalili zote ilibidi ambane Bintiye kwa maswali mengi kutaka majibu ya aliyemsababishia ujauzito, ingawa Binti alijitahidi sana kuficha ila mwishowe ilibidi amtaje Baba yake Mzazi ndiye mwenye ujauzito huo.
Mama akapandwa na presha ya ghafla ila alipomwambia Mumewe alikataa kata kata, Doto alianza kliniki na ndipo ilipobainika ana umeme alipokuwa anakaribia kujifungua, Kulwa naye ilibidi akapime baada ya kujua Mdogo wake Doto ana umeme halikadhalika naye alikutwa kaukwaa umeme. Mama Mzazi aliposikia hizo habari za umeme kwa Binti zake alipandwa na presha kubwa hadi kuzidiwa hatimaye Baba ilibidi atoroke kabisa home kujitenga na maswahibu hayo.
Mama Mzazi alifariki kwa presha, Baba Mzazi alichanganyikiwa naye hakukaa zaidi ya miaka miwili akavuta, Watoto mapacha walibaki Yatima wakiendelea kuishi kwa matumaini.
Dunia hadaa walimwengu Shujaa [emoji25]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
DuuhNyie mnao penda uterezi sehemu hatari kupata ukimwi kwa juju ni hizi.
1. Kwaya za walokole na walokole wanao kesha.
2. Singo maza wasio nyoosha maelezo yao kuhusi mzazi mwenzie iko wapi.
3. Makahaba wa Buguruni na sinza wengi wameathirika siku nyingi.
4. Wanachuo walio tokea mikoani angalieni wengi wanaambukuza bila kujua kwasbb ya axcitement ya mjini.
5.sexnetwork ndani workmates kazini hususani hizi kazi za field zenye trips hao watu wana laliana sana chungeni usikubali mkeo apangiwe hizo trips atakuletea ukimwi, komaa na kipato chako hicho kdgo.
Daah 😂😂🤣Labda alikuwa na kibamia,maana nasikia wenye vibamia possibility ya kupata ngoma ni ndogo sana.
Kijiji hicho kinaitwaje ndugu kwa ndugu mbona balaaDah Ujumbe wako unahuzunisha sana lakini unatupa funzo. Tunapaswa kua waangalifu sana janga bado lipo na linaondoka na waja taratibu. hakuna aliye salama.
Hiyo kitu imekula sana watu, Kagera, Iringa hasa mafinga, makambako na njombe. Mbeya, tunduma, Rungwe pia wameondoka wengi. Sina hakika lakini kuna ishara kuwa kutofanya tohara, hali ya hewa ya baridi kali, na wadau wa huko kuwa na maumbile manene pamoja ya .... na desire kubwa ya kufanya tendo ni sababu kuu ya maeneo hayo kuathirika zaidi.
Pale dodoma kuna Ukoo ulikuwa unaitwa Masimba: Walikuwa wanafanya ufuska wa kupindukia wa ndugu kwa ndugu, Inasemekana HIV imewaondoa wote kijiji kimebaki maghofu.
Hata Dar nayo ni mwathirika mkubwa. Sample; kuna Bendi maarufu nchini; HIV iliondoka na Wanamuziki wake wote hadi wabeba ngoma. Pia, ukichukua wasanii wakubwa nchini ni wachache sana wameweza vuka miaka 55, wengi uondoka mapema kutokana na hilo janga ingawa huwa atuambiani ukweli.
Siku hizi, HIV inaua kupitia kisukari, kufeli kwa Ini, figo na moya n.k.
Asante kwa kutukumbusha. hakuna aliye salama bila kudra za mungu na kuchukua taadhari hatuwezi
Mkuu hii story kama haijaisha hivi,au unataja tusogelee telegram au tununue kitabu??Nikiwa same sec miaka ya 2000,..nikiwa kitandan ghafla nikaamshwa..nikiangalia ni binti anaepita katikati ya vitanda vya bweni..nikashangaa Mana ilikuwa ni mida ya usiku Sana..na ni bweni la wanaume huyu binti anafanya Nini,..ebwana nikamwita..jina Amina ,..sijui kwann Hilo jina lilinijia...ndugu zangu kumbe niliharibu..kuliita jini lililokuwa mawindoni..ndugu zangu nlishangaa tayari limekuja upande wangu ,..likanishika tai..na kwa vile kitanda changu kilikuwa ni Cha deka la juu...nlipambana kwa Hali na Mali ,.ili tu asinidondoshe chini Mana kichwa kingepasuka Kama ningekubal anizid nguvu...
Aiseee baada ya dakika kadhaa ,..jini yule akapanda kitandani ghafla..akawa ananletea uchi wake nimfanye..huku akiongea maneno yaliyoniogopesha haswaa...kwamba anataka anionyeshe vidonda vya ukimwi vinapatikanaje...dah hapo ndo nikaona nikizembea huyu jini atanizidi nguvu ...na lengo lake litimie..Cha ajabu pamoja na wasi wasi huo wote mashine yangu ilikuwa imesimama wima,. Huku nikijaribu kumpush asinilalie kabisaaa...
Ndugu zangu ,..Cha ajabu jini huyo nlikuwa simuoni sura Wala miguu zaidi ya kiwiliwili tu chenye shanga za kutosha...baada ya kukikirisana zaidi ya saa zima..hatimae nikamshinda nguvu na hatimae akaamua kushuka kwa Kasi ya 5G na kutokomea kusikojulikana..akiniacha Mimi nikiwa hoi kwa shughul nzima ya kupambana nae..ndugu zangu ukimwi wa kutupiwa na majini upo ..hapo nliamini..
Ukimwi ni noma ndugu zangu ,..next time ntawaletea kisa Cha jirani yangu mama tunu (marehemu),..wa kigogo luhanga dsm..karibu na msikiti wa masjid kadir ya mgaza kwa mzee darusi
ChaiNikiwa same sec miaka ya 2000,..nikiwa kitandan ghafla nikaamshwa..nikiangalia ni binti anaepita katikati ya vitanda vya bweni..nikashangaa Mana ilikuwa ni mida ya usiku Sana..na ni bweni la wanaume huyu binti anafanya Nini,..ebwana nikamwita..jina Amina ,..sijui kwann Hilo jina lilinijia...ndugu zangu kumbe niliharibu..kuliita jini lililokuwa mawindoni..ndugu zangu nlishangaa tayari limekuja upande wangu ,..likanishika tai..na kwa vile kitanda changu kilikuwa ni Cha deka la juu...nlipambana kwa Hali na Mali ,.ili tu asinidondoshe chini Mana kichwa kingepasuka Kama ningekubal anizid nguvu...
Aiseee baada ya dakika kadhaa ,..jini yule akapanda kitandani ghafla..akawa ananletea uchi wake nimfanye..huku akiongea maneno yaliyoniogopesha haswaa...kwamba anataka anionyeshe vidonda vya ukimwi vinapatikanaje...dah hapo ndo nikaona nikizembea huyu jini atanizidi nguvu ...na lengo lake litimie..Cha ajabu pamoja na wasi wasi huo wote mashine yangu ilikuwa imesimama wima,. Huku nikijaribu kumpush asinilalie kabisaaa...
Ndugu zangu ,..Cha ajabu jini huyo nlikuwa simuoni sura Wala miguu zaidi ya kiwiliwili tu chenye shanga za kutosha...baada ya kukikirisana zaidi ya saa zima..hatimae nikamshinda nguvu na hatimae akaamua kushuka kwa Kasi ya 5G na kutokomea kusikojulikana..akiniacha Mimi nikiwa hoi kwa shughul nzima ya kupambana nae..ndugu zangu ukimwi wa kutupiwa na majini upo ..hapo nliamini..
Ukimwi ni noma ndugu zangu ,..next time ntawaletea kisa Cha jirani yangu mama tunu (marehemu),..wa kigogo luhanga dsm..karibu na msikiti wa masjid kadir ya mgaza kwa mzee darusi
Duuh leta hicho kisa mkuuuNikiwa same sec miaka ya 2000,..nikiwa kitandan ghafla nikaamshwa..nikiangalia ni binti anaepita katikati ya vitanda vya bweni..nikashangaa Mana ilikuwa ni mida ya usiku Sana..na ni bweni la wanaume huyu binti anafanya Nini,..ebwana nikamwita..jina Amina ,..sijui kwann Hilo jina lilinijia...ndugu zangu kumbe niliharibu..kuliita jini lililokuwa mawindoni..ndugu zangu nlishangaa tayari limekuja upande wangu ,..likanishika tai..na kwa vile kitanda changu kilikuwa ni Cha deka la juu...nlipambana kwa Hali na Mali ,.ili tu asinidondoshe chini Mana kichwa kingepasuka Kama ningekubal anizid nguvu...
Aiseee baada ya dakika kadhaa ,..jini yule akapanda kitandani ghafla..akawa ananletea uchi wake nimfanye..huku akiongea maneno yaliyoniogopesha haswaa...kwamba anataka anionyeshe vidonda vya ukimwi vinapatikanaje...dah hapo ndo nikaona nikizembea huyu jini atanizidi nguvu ...na lengo lake litimie..Cha ajabu pamoja na wasi wasi huo wote mashine yangu ilikuwa imesimama wima,. Huku nikijaribu kumpush asinilalie kabisaaa...
Ndugu zangu ,..Cha ajabu jini huyo nlikuwa simuoni sura Wala miguu zaidi ya kiwiliwili tu chenye shanga za kutosha...baada ya kukikirisana zaidi ya saa zima..hatimae nikamshinda nguvu na hatimae akaamua kushuka kwa Kasi ya 5G na kutokomea kusikojulikana..akiniacha Mimi nikiwa hoi kwa shughul nzima ya kupambana nae..ndugu zangu ukimwi wa kutupiwa na majini upo ..hapo nliamini..
Ukimwi ni noma ndugu zangu ,..next time ntawaletea kisa Cha jirani yangu mama tunu (marehemu),..wa kigogo luhanga dsm..karibu na msikiti wa masjid kadir ya mgaza kwa mzee darusi
Kitaalamu unaitwa herpes zosterWajuzi wa mambo hivi huu ugonjwa wa mkanda wa jeshi ndo ugonjwa gani, chanzo chake na madhara yake pia ni yepi??
NaamNdugu acha kujitoa ufahamu...Shida ya Ukimwi ni HATIA ambayo mgonjwa anajiskia. Jamii inavyokuchukulia, kila mtu anakuona unahatia, malaya, mchafu.Hata kama umeletewa na mwenza..utaonekana ulioa au kuolewa na malaya tu...Hiyo ndo tatizo ya Ukimwi..Yaani familia, ndugu..wote wanakulaumu.Wewe mwenyewe unajilaumu...tamaa...n.k.
Na ndo maana watu huwa wanaficha....hawasemi kama wameungua..
UKIMWI ni shida ndugu..Mzee wangu UKIMWI ulimbeba 2011, lkn hata yeye hakuwahi kutamka anaumwa nini, anajua tunajua lkn..hawezi sema chochote....
Pole sanaUzi huu nimeusoma mpaka nimehisi kuumwa tumbo la uzazi kwa woga😄
Asante sana……hizi taarifa tuishie kuzisoma tu kwakweliPole sana
Kwa kweliAsante sana……hizi taarifa tuishie kuzisoma tu kwakweli
🤣🤣🤣Basi ngoja nimtimueMkuu ukimuachisha kazi ndo hataliwa? Tena sasa unaweza kuta akiwa idle ndo analiwa na boda boda wa mtaani...
Alikubali.Mimi najua mambo yanayofanyika maofsinAlikubali kuacha kazi? Kwa kweli ni changamoto