Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Kuna Mwalimu mmoja pale UD kwenye kota za Walimu alikuwa anakula kuku na mayai yake.

Alibahatika kupata Mabinti mapacha na walipoanza kupevuka tu aliwatenganisha kila mmoja kulala kwenye chumba chake, kumbe Lizee lilikuwa linakula zamu kwa zamu kwa hao Mabinti zake mbali na Mkewe.

"Mficha maradhi kifo humuumbua" hatimaye Doto alipata mimba, Mama Mzazi alipoona tu dalili zote ilibidi ambane Bintiye kwa maswali mengi kutaka majibu ya aliyemsababishia ujauzito, ingawa Binti alijitahidi sana kuficha ila mwishowe ilibidi amtaje Baba yake Mzazi ndiye mwenye ujauzito huo.

Mama akapandwa na presha ya ghafla ila alipomwambia Mumewe alikataa kata kata, Doto alianza kliniki na ndipo ilipobainika ana umeme alipokuwa anakaribia kujifungua, Kulwa naye ilibidi akapime baada ya kujua Mdogo wake Doto ana umeme halikadhalika naye alikutwa kaukwaa umeme. Mama Mzazi aliposikia hizo habari za umeme kwa Binti zake alipandwa na presha kubwa hadi kuzidiwa hatimaye Baba ilibidi atoroke kabisa home kujitenga na maswahibu hayo.

Mama Mzazi alifariki kwa presha, Baba Mzazi alichanganyikiwa naye hakukaa zaidi ya miaka miwili akavuta, Watoto mapacha walibaki Yatima wakiendelea kuishi kwa matumaini.

Dunia hadaa walimwengu Shujaa [emoji25]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Duuh
 
Nyie mnao penda uterezi sehemu hatari kupata ukimwi kwa juju ni hizi.
1. Kwaya za walokole na walokole wanao kesha.
2. Singo maza wasio nyoosha maelezo yao kuhusi mzazi mwenzie iko wapi.
3. Makahaba wa Buguruni na sinza wengi wameathirika siku nyingi.
4. Wanachuo walio tokea mikoani angalieni wengi wanaambukuza bila kujua kwasbb ya axcitement ya mjini.
5.sexnetwork ndani workmates kazini hususani hizi kazi za field zenye trips hao watu wana laliana sana chungeni usikubali mkeo apangiwe hizo trips atakuletea ukimwi, komaa na kipato chako hicho kdgo.
Duuh
 
Tangu niponee chupu chupu 4 years back Namshukuru sana Mungu! Sitaki tena mambo ya wanawake nilishaikana nafsi yangu na kubaki njia kuu na kufurahia maisha.
Sasa hivi hata mwanamke avue hapo siwezi mgusa na siwezi pata hisia hata kidogo sahizi naishia kuwaangalia tu.

Zawadi alizotupa mwenyezi Mungu ni Uhai na Afya njema aiseeh huwa namshukuru sana.
Uhuni hauna dili maana hakuna Jipya huko. Ni kuaminiana tu na mwenzako na kuishi kwa furaha na ku enjoy life.

NB; Nasema hivi sikia tu kwa wengine hiyo kitu. Sasa hivi mfano ukiambiwa umetembea na mtu kaumia lazima tumbo la gafla la uharo likushike na wakati hauumwi..hiyo kitu sikia kwa mwingine...
 
96 nimeondoka iringa,ila ukimwi ulikuwa ni kama iphone kwa sasa,yaani kulia,kushoto,pembeni lazima ukutane naye mtu anaishilizia au ndio kauvagaa.

Nimezika baba mkubwa akiwa mwanajeshi 95 aliisha vibaya,nakumbuka alirudishwa kijijini aje ajiuguze,mtu anaisha akiongea sauti ni kubwa ila ukimuona mpaka unashangaa kama ndiye alikuwa anaongea au lah!!!!

Jirani nayeye alikuwa wmaanjeshi niliacha ndio anaishia,akamuachia mkewe mama alikuwa mzuri mweupe nayeye akawa anagawa tu kwa wenye pupa.

Baada ya kwenda moro kwa aunt 98 aunt yangu alirudi iringa kusalimia,99 kumbe alikwenda kuubeba bana,akarudi moro na kuanza kuugua mfululizo 2001 tukamzika,nakumbuka nilikuja kushtuka baadae kwamba ilikuwa short maana katikati aliumizwa na kisiki,kidonda kilichukua mwaka kinatoa maji tu.

Yaani nikawa kijana si wa kusimuliwa kuhusu ukimwi naujua vyema sana,nauogopa.
 
Dah Ujumbe wako unahuzunisha sana lakini unatupa funzo. Tunapaswa kua waangalifu sana janga bado lipo na linaondoka na waja taratibu. hakuna aliye salama.

Hiyo kitu imekula sana watu, Kagera, Iringa hasa mafinga, makambako na njombe. Mbeya, tunduma, Rungwe pia wameondoka wengi. Sina hakika lakini kuna ishara kuwa kutofanya tohara, hali ya hewa ya baridi kali, na wadau wa huko kuwa na maumbile manene pamoja ya .... na desire kubwa ya kufanya tendo ni sababu kuu ya maeneo hayo kuathirika zaidi.

Pale dodoma kuna Ukoo ulikuwa unaitwa Masimba: Walikuwa wanafanya ufuska wa kupindukia wa ndugu kwa ndugu, Inasemekana HIV imewaondoa wote kijiji kimebaki maghofu.

Hata Dar nayo ni mwathirika mkubwa. Sample; kuna Bendi maarufu nchini; HIV iliondoka na Wanamuziki wake wote hadi wabeba ngoma. Pia, ukichukua wasanii wakubwa nchini ni wachache sana wameweza vuka miaka 55, wengi uondoka mapema kutokana na hilo janga ingawa huwa atuambiani ukweli.

Siku hizi, HIV inaua kupitia kisukari, kufeli kwa Ini, figo na moya n.k.

Asante kwa kutukumbusha. hakuna aliye salama bila kudra za mungu na kuchukua taadhari hatuwezi
Kijiji hicho kinaitwaje ndugu kwa ndugu mbona balaa
 
Nikiwa same sec miaka ya 2000,..nikiwa kitandan ghafla nikaamshwa..nikiangalia ni binti anaepita katikati ya vitanda vya bweni..nikashangaa Mana ilikuwa ni mida ya usiku Sana..na ni bweni la wanaume huyu binti anafanya Nini,..ebwana nikamwita..jina Amina ,..sijui kwann Hilo jina lilinijia...ndugu zangu kumbe niliharibu..kuliita jini lililokuwa mawindoni..ndugu zangu nlishangaa tayari limekuja upande wangu ,..likanishika tai..na kwa vile kitanda changu kilikuwa ni Cha deka la juu...nlipambana kwa Hali na Mali ,.ili tu asinidondoshe chini Mana kichwa kingepasuka Kama ningekubal anizid nguvu...

Aiseee baada ya dakika kadhaa ,..jini yule akapanda kitandani ghafla..akawa ananletea uchi wake nimfanye..huku akiongea maneno yaliyoniogopesha haswaa...kwamba anataka anionyeshe vidonda vya ukimwi vinapatikanaje...dah hapo ndo nikaona nikizembea huyu jini atanizidi nguvu ...na lengo lake litimie..Cha ajabu pamoja na wasi wasi huo wote mashine yangu ilikuwa imesimama wima,. Huku nikijaribu kumpush asinilalie kabisaaa...

Ndugu zangu ,..Cha ajabu jini huyo nlikuwa simuoni sura Wala miguu zaidi ya kiwiliwili tu chenye shanga za kutosha...baada ya kukikirisana zaidi ya saa zima..hatimae nikamshinda nguvu na hatimae akaamua kushuka kwa Kasi ya 5G na kutokomea kusikojulikana..akiniacha Mimi nikiwa hoi kwa shughul nzima ya kupambana nae..ndugu zangu ukimwi wa kutupiwa na majini upo ..hapo nliamini..

Ukimwi ni noma ndugu zangu ,..next time ntawaletea kisa Cha jirani yangu mama tunu (marehemu),..wa kigogo luhanga dsm..karibu na msikiti wa masjid kadir ya mgaza kwa mzee darusi
 
Nikiwa same sec miaka ya 2000,..nikiwa kitandan ghafla nikaamshwa..nikiangalia ni binti anaepita katikati ya vitanda vya bweni..nikashangaa Mana ilikuwa ni mida ya usiku Sana..na ni bweni la wanaume huyu binti anafanya Nini,..ebwana nikamwita..jina Amina ,..sijui kwann Hilo jina lilinijia...ndugu zangu kumbe niliharibu..kuliita jini lililokuwa mawindoni..ndugu zangu nlishangaa tayari limekuja upande wangu ,..likanishika tai..na kwa vile kitanda changu kilikuwa ni Cha deka la juu...nlipambana kwa Hali na Mali ,.ili tu asinidondoshe chini Mana kichwa kingepasuka Kama ningekubal anizid nguvu...

Aiseee baada ya dakika kadhaa ,..jini yule akapanda kitandani ghafla..akawa ananletea uchi wake nimfanye..huku akiongea maneno yaliyoniogopesha haswaa...kwamba anataka anionyeshe vidonda vya ukimwi vinapatikanaje...dah hapo ndo nikaona nikizembea huyu jini atanizidi nguvu ...na lengo lake litimie..Cha ajabu pamoja na wasi wasi huo wote mashine yangu ilikuwa imesimama wima,. Huku nikijaribu kumpush asinilalie kabisaaa...

Ndugu zangu ,..Cha ajabu jini huyo nlikuwa simuoni sura Wala miguu zaidi ya kiwiliwili tu chenye shanga za kutosha...baada ya kukikirisana zaidi ya saa zima..hatimae nikamshinda nguvu na hatimae akaamua kushuka kwa Kasi ya 5G na kutokomea kusikojulikana..akiniacha Mimi nikiwa hoi kwa shughul nzima ya kupambana nae..ndugu zangu ukimwi wa kutupiwa na majini upo ..hapo nliamini..

Ukimwi ni noma ndugu zangu ,..next time ntawaletea kisa Cha jirani yangu mama tunu (marehemu),..wa kigogo luhanga dsm..karibu na msikiti wa masjid kadir ya mgaza kwa mzee darusi
Mkuu hii story kama haijaisha hivi,au unataja tusogelee telegram au tununue kitabu??
 

Attachments

  • IMG-20240812-WA0009.jpg
    IMG-20240812-WA0009.jpg
    32.2 KB · Views: 5
Nikiwa same sec miaka ya 2000,..nikiwa kitandan ghafla nikaamshwa..nikiangalia ni binti anaepita katikati ya vitanda vya bweni..nikashangaa Mana ilikuwa ni mida ya usiku Sana..na ni bweni la wanaume huyu binti anafanya Nini,..ebwana nikamwita..jina Amina ,..sijui kwann Hilo jina lilinijia...ndugu zangu kumbe niliharibu..kuliita jini lililokuwa mawindoni..ndugu zangu nlishangaa tayari limekuja upande wangu ,..likanishika tai..na kwa vile kitanda changu kilikuwa ni Cha deka la juu...nlipambana kwa Hali na Mali ,.ili tu asinidondoshe chini Mana kichwa kingepasuka Kama ningekubal anizid nguvu...

Aiseee baada ya dakika kadhaa ,..jini yule akapanda kitandani ghafla..akawa ananletea uchi wake nimfanye..huku akiongea maneno yaliyoniogopesha haswaa...kwamba anataka anionyeshe vidonda vya ukimwi vinapatikanaje...dah hapo ndo nikaona nikizembea huyu jini atanizidi nguvu ...na lengo lake litimie..Cha ajabu pamoja na wasi wasi huo wote mashine yangu ilikuwa imesimama wima,. Huku nikijaribu kumpush asinilalie kabisaaa...

Ndugu zangu ,..Cha ajabu jini huyo nlikuwa simuoni sura Wala miguu zaidi ya kiwiliwili tu chenye shanga za kutosha...baada ya kukikirisana zaidi ya saa zima..hatimae nikamshinda nguvu na hatimae akaamua kushuka kwa Kasi ya 5G na kutokomea kusikojulikana..akiniacha Mimi nikiwa hoi kwa shughul nzima ya kupambana nae..ndugu zangu ukimwi wa kutupiwa na majini upo ..hapo nliamini..

Ukimwi ni noma ndugu zangu ,..next time ntawaletea kisa Cha jirani yangu mama tunu (marehemu),..wa kigogo luhanga dsm..karibu na msikiti wa masjid kadir ya mgaza kwa mzee darusi
Chai
 
Nikiwa same sec miaka ya 2000,..nikiwa kitandan ghafla nikaamshwa..nikiangalia ni binti anaepita katikati ya vitanda vya bweni..nikashangaa Mana ilikuwa ni mida ya usiku Sana..na ni bweni la wanaume huyu binti anafanya Nini,..ebwana nikamwita..jina Amina ,..sijui kwann Hilo jina lilinijia...ndugu zangu kumbe niliharibu..kuliita jini lililokuwa mawindoni..ndugu zangu nlishangaa tayari limekuja upande wangu ,..likanishika tai..na kwa vile kitanda changu kilikuwa ni Cha deka la juu...nlipambana kwa Hali na Mali ,.ili tu asinidondoshe chini Mana kichwa kingepasuka Kama ningekubal anizid nguvu...

Aiseee baada ya dakika kadhaa ,..jini yule akapanda kitandani ghafla..akawa ananletea uchi wake nimfanye..huku akiongea maneno yaliyoniogopesha haswaa...kwamba anataka anionyeshe vidonda vya ukimwi vinapatikanaje...dah hapo ndo nikaona nikizembea huyu jini atanizidi nguvu ...na lengo lake litimie..Cha ajabu pamoja na wasi wasi huo wote mashine yangu ilikuwa imesimama wima,. Huku nikijaribu kumpush asinilalie kabisaaa...

Ndugu zangu ,..Cha ajabu jini huyo nlikuwa simuoni sura Wala miguu zaidi ya kiwiliwili tu chenye shanga za kutosha...baada ya kukikirisana zaidi ya saa zima..hatimae nikamshinda nguvu na hatimae akaamua kushuka kwa Kasi ya 5G na kutokomea kusikojulikana..akiniacha Mimi nikiwa hoi kwa shughul nzima ya kupambana nae..ndugu zangu ukimwi wa kutupiwa na majini upo ..hapo nliamini..

Ukimwi ni noma ndugu zangu ,..next time ntawaletea kisa Cha jirani yangu mama tunu (marehemu),..wa kigogo luhanga dsm..karibu na msikiti wa masjid kadir ya mgaza kwa mzee darusi
Duuh leta hicho kisa mkuuu
 
Wajuzi wa mambo hivi huu ugonjwa wa mkanda wa jeshi ndo ugonjwa gani, chanzo chake na madhara yake pia ni yepi??
Kitaalamu unaitwa herpes zoster

images (4) (7).jpeg
images (4) (6).jpeg
images-4-5-jpeg.3091645
 

Attachments

  • images (4) (5).jpeg
    images (4) (5).jpeg
    7 KB · Views: 12
  • images (4) (3).jpeg
    images (4) (3).jpeg
    4.5 KB · Views: 4
Ndugu acha kujitoa ufahamu...Shida ya Ukimwi ni HATIA ambayo mgonjwa anajiskia. Jamii inavyokuchukulia, kila mtu anakuona unahatia, malaya, mchafu.Hata kama umeletewa na mwenza..utaonekana ulioa au kuolewa na malaya tu...Hiyo ndo tatizo ya Ukimwi..Yaani familia, ndugu..wote wanakulaumu.Wewe mwenyewe unajilaumu...tamaa...n.k.

Na ndo maana watu huwa wanaficha....hawasemi kama wameungua..

UKIMWI ni shida ndugu..Mzee wangu UKIMWI ulimbeba 2011, lkn hata yeye hakuwahi kutamka anaumwa nini, anajua tunajua lkn..hawezi sema chochote....
Naam
 
Back
Top Bottom