Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka ipi hIyo ukiwa Sua?Mungu ametuvusha kwa kweli kwa miaka ile ukivuka salama bila UKIMWI, Shukuru Mungu. Nakumbuka nikiwa SUA miaka hiyo, Tumetoka mbali sana.
Mkoa gani huo mkuu?Huku biharamulo aisee raia wengi wameungua ukiwangalia unaweza usiamini.
DuuhMwaka 2013 nikiwa katika shughuli za shirika moja hivi tulienda kikazi wilaya moja hivi, kanda ya ziwa.Kuna kijiji tulikuta nyumba kali lakini hakuna watu wanaoishi na wenyeji walituambia ukimwi ulifanya tamasha kakita familia miaka ile
Kwa miaka hiyo, kama sijakosea nahisi hapa palikuwa Bunda Mtaa uliyopo jirani na Posta barabara inayoshuka stand mpya kama unatoka Musoma.Nakumbuka 2001 kuingia 2002 kuna dada tulikuwa tunasali naye kipindi hicho huko nyumbani kanda ya ziwa. Dada alikuwa mzuri sana pisi ya kwenda sema ndo ivo alikuwa hajatulia kudanga kwa sana route kama zote. Ww si akaja kanya waya, nakumbuka bado nilikuwa mdogo but namkumbuka vzuri. Akaanza kuugua mdogo mdogo zinapita week hata 2 haji kanisani siku akija full kulala lala tu mara atoke nje kuota jua wakati joto kali mcha yeye baridi haliishi. Mwisho wa siku habari zikasambaa mtaani kuwa dada kauvagaa. Ikifikia kipindi hawezi kutoka ndani kanisani hatokei tena nikaja kumuona siku moja nahisi ndo ilikuwa siku yake ya mwisho kuja kanisani maana aliletwa kanisani kwny baiskel na kaka yake. Dada kaisha kawa kama mtt mdogo nywele zimenyonyoka nyepesi mdomo kama kapaka unga dalili zote unaziona kabisa hazijifichi.
Tokea hapo sikumuona kuja tena kanisani hata mataani, akawa wa kulala ndani tu kila kitu kitandani hata chooni hawezi kwenda ilikuwa balaa siku tukaenda kumsalimia yaani kitandani huoni mtu mtu unasikia sauti tu halafu kipindi hicho walikuwa wanakuwa wakali balaa. Mwaka 2002 kama sikosei dada wa watu akaumaliza mwendo. Jamani UKIMWI wa miaka ya 2000 ilikuwa ni balaa. Mtu unakonda unabaki kichwa tu nywele zinaisha kichwani, mdomo unapauka, majipu hayakuishi, kuharisha ndo usiseme. Waliopata HIV kipindi hicho waliteseka sana.
#WatchOutHIVisReal.
Ndio. Nimemaliza SUA 2001 sister.Miaka ipi hIyo ukiwa Sua?
Shabgazi umemwaga ukweli mtupuNa hamna watu wako kwenye hatari ya maambukizi Kama watu walio kwenye serious relationship....Maana mnaaminiana,hakuna Tena condom baina yenu,kwa hiyo mmoja akichomoka akaleta kila mmoja anajifanya hajui umetokea wapi...ndio Maana unashangaa wale malaya hawana maambukizi Maana hamna mtu anamuamini kila akipiga nae anavaa protection
kageraMkoa gani huo mkuu?
Mjomba we acha tu,haya mambo yakujifanya mimi na my wangu tunaaminiana ndio kuna jambo linatokeaga...Shabgazi umemwaga ukweli mtupu
Ni kweli kabisa mnajiachia full kumbe wote mnachepuka so hapo vi combinationya virusi hivi na vile.Mjomba we acha tu,haya mambo yakujifanya mimi na my wangu tunaaminiana ndio kuna jambo linatokeaga...
Asante, sasa ukimwi ulifanyeje huko Sua?tupe story kidogoNdio. Nimemaliza SUA 2001 sister.
mzabzab tia neno 😹Labda alikuwa na kibamia,maana nasikia wenye vibamia possibility ya kupata ngoma ni ndogo sana.
Piga dawa uongeze umri, kuna binamu yangu nae kagomea kabisa dawa hataki kusikia....cha ajabu hata apetite huwa hana sio mlaji hivo anakomaa tu na zoezi na anapiga chuma ukimuona sio rahisi kujua.Hizo ndio unapata mawenge. Hapa ni mazoezi maji mengi, kula vizuri na kuendelea kugegeda tuu na kutokuwa n mke. Maana mke anakuletea stress na huu ugonjwa hautakiwi uwe na stress
Hivi ni kwanini sasa? Kama baridi kuna sehemu nyingi tu zinabaridi hapa bongoNyumba 3? Kila nyumba yenye watu wazima 3 mmoja tayari
Ngoma hatari sana.. ila kwa siku hizi sukari hatari sana ×100.. nishiaona inampofua mtu kijana tu mixer mwingine imemkata mguu.. ukijikwaa tu ukapata kidonda kwenye kidole inaweza ikawa mguu ndio ntolee hio..UKIMWI ni hatari nilishuhudia kwa macho yangu ndugu yangu akipofuka macho asubuhi wakati dada yake akiwa anajiandaa kumwamsha kumpatia chakula. Daah ilikua Mwaka 2009 aisee sitakaa nisahau alivyokua akilia kwa uchungu kwamba haoni tena na hata kaa aone kipindi kile nilkua bado mdogo hadi machozi yalinitoka R.I.P aunt naweza kusema japo kuna magonjwa mdngine mabaya kma Saratan na Sukar ila UKIMWI upewe maua yake
Pia 2016 na 2017 nikashudia UKIMWI ulivyowapiga vibaya watu wangu wa karibu wakaangamia na kuacha watoto wadogo ambapo mtoto mmoja kati ya hao naishi nae kila siku ananiuliza mama atarudi namwambia atarudi siku moja ndio hivyo ni Simanzi tu.
Lakini na ushahidi na mtu mmoja yuko nao sasa kwa zaidi ya miaka 31 naweza sema vitu vingine ni Imani tu! Maana ni mtu anayemjua Mungu Kwelikweli na anatumia dawa ni mtu mzima sana na amefanikiwa kimaisha hata kaajiri watu wengi kwenye kampuni zake ambayo ni NG'Os ya kusaidia waathirika hyu kwa story nilizosikia kwa wazazi wangu Ngoma aliletewa na marehem mumewe na iliyomuua mume wake ni mkanda wa Jeshi na mme wake ali confess mbele yake na kwa wasimamizi wa ndoa yao ambao ni wazazi wangu siku ya kufa kwake kuwa aliupata baada ya kutoka na Secretary wake.
Tuwe makini Waungwana Ngoma is really aisee!Kimasihara so poa utamenya kimasihara na wewe utamenywa kimasihara.
PunyetoKavu tamu ila mabalaa yake sasa, UTI, GONO, FUNGUS yaani tukimbilie wapi wanaume