Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha mnapenda kuloweka sana nyieMkuu samahani, sikuwahi kuupitia ila baada ya kuupitia nimeingiwa na ubaridi πππ
π³π³π³π³π³π³π³Verse 1
Nasikia raha jinsi nilivo star
Ni zaidi ya Robert De Niro
Nini top in Dar
Najukikana dunia nzima
Na kila kona hua natajwa langu jina
Sio tu watu wazima hadi watoto
Majina mengi a.k.a moto
A.k.a umeme a.k.a miwaya
A.k.a ngoma nzito isiyo na dawa
Ayaaaaah
Lakini sina ubaya
Na sibagui nchi za Africa nchi za Ulaya
Ni wengi tu nshawaondoa duniani
Na wengi bado nawatesa vitandani
Acha idadi kubwa ambao wapo safarini
Sijali mtoto wa kishua au unapoa uswahilini
Si mshajua nachozungumzia nini?
(UKIMWI UKIMWI UKIMWI)
Yeah a.k.a mimi
Natesa sana napokuingia mwilini
Akina gono kaswende wote baba yao mimi
Amini mi ndo kubwa la maadui
Na leo nakuja kwako usizuge kama hunijui
Halaa
Ngoja nikachoviye kitumbua changu cha milele Muda huu uamifu ni Jambo la muhimu sanaBila uaminifu kazi bure au usioe wala kuolewa hili utakuwa umelkwepa
Afya ni mtaji wa kwanzaπππ
Kishikilie mkuu na hicho kikushkilieNgoja nikachoviye kitumbua changu cha milele Muda huu uamifu ni Jambo la muhimu sana
Nyumba 3? Kila nyumba yenye watu wazima 3 mmoja tayariHuko mafinga wanasema kila baada ya nyumba 3 mtu ana
Au basi
Wasukuma ukimwi unawatafuna saaana yaani kanda ya ziwa ina hali mbaya sana, kuna kijiji niliwahi kaa huko simiyu nilikuwa idara ya afya 80% ya vifo nilivyoshuhudia ni ngoma, Ndo maana ikapelekwa tohara ya bure na jamaa kwa kupasuana hawajamboNext ni jamii ya wasukuma. Hawa watu wanafanya mapenzi na wanawake wanaojiuza bila hata kinga.....wanapokezana kama sigara. Machimbo mapya ya wadangaji msimu wa kiangazi ni kwenye mapori ya wasukuma.
Mungu awasaidieNext ni jamii ya wasukuma. Hawa watu wanafanya mapenzi na wanawake wanaojiuza bila hata kinga.....wanapokezana kama sigara. Machimbo mapya ya wadangaji msimu wa kiangazi ni kwenye mapori ya wasukuma.
mkuu lakini hauoni kama hizo arv ndo zimesababisha ugonjwa uwepo hata hii leo?Waya dah! 2002 ndio serikali imepata msaada wa kuanza kupokea ARV kiokoa maisha, nafika tuu mjini toka chuoni (mbele) nikiwa yanki tuu, naingizwa AMREF kama Mtafiti tiba kwenye tukio lile kubwa na la kihistoria la kuingizwa mara ya kwanza kwa dawa hizi (pipi). Nakumbuka Raisi Mkapa (R.I.P) alilia sana alikuja kututembelea Mwananyamala baada ya kukamilisha Mkakati wa Kitaifa wa Usambazaji wa Dawa kuukabidhi kwa wizara kwa ajiri ya kuuzindua.
Sikuwahi kumuona mtu mzima na raisi analia mbele za watu. Tulitulia tuli roundtable,akalia kiutu uzima, yaani anatoa miwani anafuta machozi na kitambaa huku anairudisha tena. Watu wote kimya, wazungu, katibu mkuu, mpambe, mtu wa kulia, waziri wote wapo na wapo kimya. Bado nina kumbukumbu ya tukio hili liliambatana na zoezi la sensa.
Mkapa awamu yake huu ugonjwa ulimtesa, sana kama kiongozi maana watu wake walikuwa wanakufa kama nzige. Kama Mkapa angelikuwa hai leo na akaulizwa kuhusu UKIMWI awamu yake, naamini angelia tena kwa dakika kadhaa.
Pumzika kwa amani Ben.
Unadunda nao tuu mwanawane wala wasikutishe. Ishu ni kisukari aise acha kabisa na hiyo kituUKIMWI imekuwa sio stori saana!!!
Wee usitufange sie watoto wakati genye zipo juu ata simu ya mama yako unaweza usipokee ukadinya kwanza π€£π€£π€£π€£π€£HUU UZI UMEKUA MWONGOZO WANGU KABLA YA KUDINYANA
Nimepakumbuka home miaka sijarudi tangu elimu inilete mjiniMafinga mitaa ya sabasaba
Aisee haya maneno mnayatoa wapi mduara NajisiπππNa hawa mademu huku kama hawataki nataka na milio fulani kutaka izame yote.Hali ya ukimwi kwa sasa ni mbaya zaidi.TABIA YA KUKUINGILIANA KINYUME NA MAUMBILE NDO KABISA.UKIONA DEMU ANAFANYIWA VITU VIKUBWA UJUE ANATOA MDUARA NAJISI. Watch out
Asante Studio kwa Nyimbo anaitwa Capt Komba.View attachment 2627572 Dr. Komba - Mgeni