Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Nawiwa kujifunza blogging. Mimi ni mpya kabisa kwenye field hii, unaweza kuwa na abc's zozote? Nina PC naona haina majukumu!

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Tembelea jukwaa la technology kuna watu wanafanya sana hizo mambo.

Pia kuna uzi unaongelea jinsi ya kutengeneza blog

Jinsi ya kupata matangazo

Jinsi ya kuzuia kutoondolewa kwenye adsense
Etc
 
Tembelea jukwaa la technology kuna watu wanafanya sana hizo mambo.

Pia kuna uzi unaongelea jinsi ya kutengeneza blog

Jinsi ya kupata matangazo

Jinsi ya kuzuia kutoondolewa kwenye adsense
Etc
Ahsante sana, sana, sana! Unaweza kuni tag kwenye uzi huo mkuu?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Katika vitu ambavyo nimejiandaa kisaikolojia kuvipokea basi ni ukimwi.
Maana wife ana trip nyingi sana kikazi mikoani yaani hapo kuchepuka ni akili yake tu atumie condom au laah.
Dah bora umejipa ukweli kwa kweli huku maafisini wake za watu wanaliwa sio kidogo na huwa tukienda hizo fields work ndio kabisa mazingira yanasababisha warlike vizuri sana hata akiwa na msimamo au smart kiasi gani lazima kuna siku ataliwa tu.

Hali hiyo ilipelekea niamini kuwa Mwanamke ni wako ukiwa umelala naye kitandani kwa wakati huo tu.
 
Hili gonjwa salute, Kuna jirani mmoja aligoma kunywa dawa ATI kachoka.
Mwsho wa siku akinywa maji hata hahitaji kukojoa Kwa mb,ooh maji yalikua yanatokea kwenye mbavu za chini tumbo lilipasuka Kwa majipu makubwa ikawa ni direct unakunywa yanamwagika.
 
Huo ndio ukweli wa wake zetu makazini
 
Ni vizuri umekua.....sasa uone jinsi watu wanavyoibiana wapenzi, mbunye zinaliwa sana toka kitambo achana na hawa kina Kajala na mwanae, hawa wanaiga tu au kufuata mkumbo.
 
Hata ule ute ute wa mwanamke una virusi, so ukiingia kupitia tundu la uume lazima uupate UKIMWI.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Wewe umeongea kitu cha msingi ambacho watu wengi hawakielewi.

Wanadhani eti virusi vinapitia ktk michubuko ya uume kwa nje tu. Wakati kumbe virusi vinapita kwenye ngozi laini ya ndani ya tundu la uume (Epithelium cells). Hizo cells ndo zina receptors nyingi za wadudu wa HIV kuliko hata lingozi la nje
 
Chakula, kujikubali na hali
Basi Njombe bado inahitajika sana semina juu ya kujikubali na kula chakula bora hasa na huko vijijini. Ingawa huu ugonjwa kujikubali ni kipengere sana.

Mzazi wangu huwa ananiambia watoto tuliozaliwa miaka ya 90 na 2000 wengi wameathirika kwa kuzaliwa nao so ni muoga sana simuamini yoyote huku hali ni mbaya sitaki mazoea kabisa nikirudigi Njombe aisee.
 
Mnakufa na magonjwa yenu ya kifua kikuu, malaria na magonja ya zinaa yale ya kawaida kama visonono, vipindupindu, kaswende mnakuja kusingizia UKIMWI.

Hilo gonjwa ambalo halieleweki mdudu gan anaelieneza wala harakati zake hazielewek then nyie madactar wa michongo mliofaulu Vyuo vya kukalili bila research yoyote ya msingi mliyofanya mnakuja kutishia watu.

UKIMWI hauuwi, maana haupo, kinachouwa ni magonjwa ya kawaida ambayo hapo kabla wanasiasa na matabibu vibaraka walituaminisha magonjwa yaliyouwa sana ni UKIMWI ili kujenga hofu ktk jamii ikiwa kama Utangulizi wa ujio wa biashara ya chanjo za uongo na ARV.

Msidanganye eti UKIMWI uliokuwepo hapo zaman ni tofauti na sasa, UONGO MKUBWA, kwanini ugonjwa huu ubadirike lkn magonjwa mengine hayabadiriki licha ya madawa kugundulika kila siku?.

Jiulize kwann UKIMWI pekee umekuwa ukitungiwa sababu nyingi za kuuficha ficha na kuutetea sana uonekane gonjwa lililoshindikana?.

Wauguzi, madactari na wanasiasa ni mawakala wa hao baadhi ya wazungu walioamua kuifanya afya ya binadamu/mtu kuwa sehemu ya michezo yao michafu ya kibiashara na majaribio haramu.

UKIMWI+VVU ni vitu viwili tofauti, Ukimwi hausababishi VVU wala VVU haiuwi maana kiuhalisia haipo bali kuna mkusanyiko wa magonjwa yaambukizwayo kwa njia ya blood transfussion na migusano ya ngozi, ambapo hao wahuni tunaowaamini kuwa madactari waliamua kuyaita magonjwa hayo kwa jina moja yaani HIV/AIDS.

Kiuhalisia hayo magonjwa yanatibika vzur sana.

Huwa nasema kuwa, biashara ya kudeal na Afya ya watu ni mtaji tosha pia inalipa, just imagine hata hapo mtaan kwako kuna pharmacies ngapi? hospitali binafsi kila siku zinaongezeka, viwanda vya madawa daily vinaongezeka licha ya technology ya utabibu kukua lkn why magonjwa hayaishi?

Sababu magonjwa ni UCHUMI wa watu kupitia usambazwaji wa madawa feki, utibabu wa magonjwa ya uongo, kuundwa kwa magonjwa feki, haya yote ni biashara eleweni enyi wapumbavu mliofungwa macho kupitia media na elimu za kipuuzi huko mashuleni.

UKIMWI haujawai kumuua mtu yeyote, anaebisha alete uthibitisho wa kisayansi hapa, hao ndugu zenu wamekufa kwa malaria, ukosefu wa lishe, kifua kikuu na makansa huko mnakuja kusingizi upuuzi ili kujenga hofu.

Wake up guys.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wake up guys nyonyooo nyonyoooo...konyooo!
 
Umenikumbusha nyumbani. Ulichosema ni kweli, maeneo hayo kwa ukimwi ni noma. Miaka ya 2000 nimeshuhudia watu wakifa kwa ukimwi kwa speed ya hatari tena wale wanakonda hadi unawaogopa. Nilishuhudia binamu yangu ukimwi ukimmaliza, nikashuhudia uncle nae akiondoka ukiachilia majirani. Pia kila nikiangalia kwa upande wa baba zangu wakubwa/wadogo na mashangazi naona kaka/dada/binamu wa kutosha wako HIV+. HAPO NDIPO NAJISEMEA MOYONI "AKUU, MKE WANGU ANANITOSHA".
Na hata huko nyuma wakati napuyanga kutokana na changamoto za kimahusiano, sikuwahi kwenda kavu kizembe... Labda tupime. Ila ARVs ndo zinafanya watu waone kama ukimwi umepungua lakini uwesamba hatari.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…