Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Kwa sasa kuna magonjwa konki kuliko UKIMWI

Mfano tu, kisukari kikikubeba vizuri hakuna namba utaacha kuisoma

Kisukari kinaambatana na

1. Shida ya macho hatimaye upofu
2. Ganzi mwili mzima
3. Matatizo ya miguu hatimaye kukatwa mguu
4. Vidonda visivyopona
5. Upungufu wa kinga mwilini na kuumwa mara kwa mara (UTI, miwasho nk)
6. Presha ya kupanda
7. Stroke
8. Kufeli figo
9. Uume kulegea na kushindwa kufanya tendo la ndoa

NB: Kwa sasa UKIMWI ni rahisi kuucontrol kuliko baadhj ya magonjwa yasiyoambukiza, mfano kisukari

naongea kuhusu ugonjwa wa kisukari kwa experience kabisa maana ninadeal na wagonjwa wa kisukari.


kibaya zaidi ukiwa na magonjwa haya kunakuwa na masharti magumu ya ulaji, ila UKIMWI unajiachia tu

UKIMWI ni swala la psychology tu, mtu akiwa na njia nzuri za kumanage stress na depression anatoboa kirahisi
 
 
Mwenyezi Mungu amsamehee dhambi zake! She did her duty!

Apumzike kwa amani! [emoji120][emoji120]
 
The last moment with your mother, umeniliza mkuu!

Pole sana, ndugu zetu waliotutangulia wapumzike kwa amani!
 
Labda kanyigo ila hiyo kitobo kuelekea buyango nimeishi hilo eneo miaka hiyo hii unayosema haipo acheni uongo,

Kagera eneo lililoathirika kiwango hiki inasemekana ni kanyigo,
 
Jamani acheni kukamia game,piga ka bao kale ka kwanza tu ambapo kila MTU anautelezi mwanamke uke unakuwa umelowa,kisha tambaa sasa wewe ukitaka ukomae na cha pili na tatu lazima upate
Magonjwa ya zinaa je?
 
Well said,it's no longer a top killer disease
 
Restless,mwalimu wangu wa high school aliachaga kazi akajiunga huko.alikuwa anaitwa Nicas Ngumba.Huko huko akakutana na demu wa kizungu
 
Hujawahi muona mgonjwa wa aggressive cancer
Si bora ukimwi unaweza ishi hata miaka 20 aggressive cancer ndani ya miezi kinakua ni kipindi cha mateso makali sana mgonjwa ni analia mda wote au anaugumia maumivu mda wote
Recently nimeondokewa na ndugu yangu ,aliteseka sana worse enough hakuwahi hata shiriki sex.Kifo ni kifo,cha kumuomba mungu tuwe na mwisho mwema.
 
Hukua na mahusiano mazuri na baba yako,alafu unaona ni sawa? this time na wewe ni baba...vipi watoto wako waseme hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…