Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Ila kuna kitu kimefichwa kwenye AIDS ikitokea kwenye familia mmoja akaupata trust me lazima na wenzie aidha Wawili Au watatu watapata,ni kitu kama laana hivi but anyway naendelea na tafiti
Kweli hicho kitu nimeshuhudia sana, ni ngumu sana kwenye familia mmoja akapata wengine wakabaki salama.
Huko moshi nimeshuhudia kuna familia kaka na dada karibu wote wanaotumia dawa, hapo tayari wawili walishafariki kwa tatizo hilo miaka ya 90 huko ila waliobaki wanatumia dawa sasa. Najiulizaga nakosa majibu
 
Unanitisha sasa mkuu
 
Ila kuna kitu kimefichwa kwenye AIDS ikitokea kwenye familia mmoja akaupata trust me lazima na wenzie aidha Wawili Au watatu watapata,ni kitu kama laana hivi but anyway naendelea na tafiti
Kwenye Familia yetu hovyo sana wanaimani potofu, ulipo mbeba baba yangu mdogo wakawa wanasema karogwa saivi Aunt yangu nae anao japo hataki kumeza dawa kakonda balaa.
 
MSAADA wakuu Kuna jamaa Aliandika BONGE LA UZI HAPA KUELEZEA UKIMWI.


KAMA KUNA MTU ANAO NAOMBA ANITUMIE.
ALIKUWA ANADAI UKIMWI SI UGONGWA.
MAELEZO YAKE YALIKUWA MAREFU SANA.

AU ANITUMIE LINK INBOX.
 
Kwanin Dar isiongoze kwa UKIMWI wakat ndio mkoa unaopokea kila aina ya wageni..?
Wanaume magovi ni rahisi sana kupata maambukiz, Njombe-Iringa ni mkoa wenye wanume wengi magovi kuliko mkoa wowote ule Tanzania... Njombe Iringa ndio mkoa wenye mabango mengi ya TOHARA...
Kwahiyo imani potofu kuhusu tohara ndiyo imechangia ongezeko kubwa la HIV...
 
Kabisaaaa alafu wee umeambikizwa ngoma unakaaje kizembe zembe lazima na wewe uondoke na wengine kama 20 hivi. Yaani mpaka siku unakata roho hamna kitu cha maana kwenye mwili wako

Mkuu kweli "Unatembelea Ring" au unachangamsha Genge? Miaka 16 bila ARV au wewe ni carrier?
 
Mama yako aliacha dawa
yako
 
Ila kuna kitu kimefichwa kwenye AIDS ikitokea kwenye familia mmoja akaupata trust me lazima na wenzie aidha Wawili Au watatu watapata,ni kitu kama laana hivi but anyway naendelea na tafiti

Logic ni kwamba kuna vitu vinavyosababisha maambukizi due to sharing pasipo kujua! Dawa za meno hizi sharing nazo ni JAU ,kisu unakata kitunguu umejikata akaja naye mwingine akatumia akajikata.....Majembe ya kulima ,unalima umejikata akaja ndugu yako naye nalima anajikata ingawa ni rarely kwa maambukizi ya design hayo.
 
Sawa wapo ila sio kwamba wanaletwa vyuoni kwa lengo la kusambaza ukimwi boss

Sijasema mimi kwamba wameletwa kwa ajili ya kusambaza ,mimi nachojua kwamba kuna "WATOTO WA MAMA SALMA" vyuoni wamejaa TELE na hata ROMA alishawahi kuimba na kuwahasa wanafunzi wawe makini na "WATOTO WA MAMA SALMA" ,UDSM nakumbuka kulikuwa na FUSP na pia kuna tetesi jamaa mmoja alikuwa anasema kwamba kuna Demu ana ngoma na yeye alikuwa FUSP.(Female Undergraduate Scholarship Program).
 

Yani mkuu hawa ndugu unaweza kukuta hawaishi pamoja kila mtu ana maisha yake sehemu nyingine ila sasa mmoja akipata mara na dada yake mkoa mwingine kule anao na mwingine tena hvyo yani jaribu kuchunguza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…