Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Mnakufa na magonjwa yenu ya kifua kikuu, malaria na magonja ya zinaa yale ya kawaida kama visonono, vipindupindu, kaswende mnakuja kusingizia UKIMWI.

Hilo gonjwa ambalo halieleweki mdudu gan anaelieneza wala harakati zake hazielewek then nyie madactar wa michongo mliofaulu Vyuo vya kukalili bila research yoyote ya msingi mliyofanya mnakuja kutishia watu.

UKIMWI hauuwi, maana haupo, kinachouwa ni magonjwa ya kawaida ambayo hapo kabla wanasiasa na matabibu vibaraka walituaminisha magonjwa yaliyouwa sana ni UKIMWI ili kujenga hofu ktk jamii ikiwa kama Utangulizi wa ujio wa biashara ya chanjo za uongo na ARV.

Msidanganye eti UKIMWI uliokuwepo hapo zaman ni tofauti na sasa, UONGO MKUBWA, kwanini ugonjwa huu ubadirike lkn magonjwa mengine hayabadiriki licha ya madawa kugundulika kila siku?.

Jiulize kwann UKIMWI pekee umekuwa ukitungiwa sababu nyingi za kuuficha ficha na kuutetea sana uonekane gonjwa lililoshindikana?.

Wauguzi, madactari na wanasiasa ni mawakala wa hao baadhi ya wazungu walioamua kuifanya afya ya binadamu/mtu kuwa sehemu ya michezo yao michafu ya kibiashara na majaribio haramu.

UKIMWI+VVU ni vitu viwili tofauti, Ukimwi hausababishi VVU wala VVU haiuwi maana kiuhalisia haipo bali kuna mkusanyiko wa magonjwa yaambukizwayo kwa njia ya blood transfussion na migusano ya ngozi, ambapo hao wahuni tunaowaamini kuwa madactari waliamua kuyaita magonjwa hayo kwa jina moja yaani HIV/AIDS.

Kiuhalisia hayo magonjwa yanatibika vzur sana.

Huwa nasema kuwa, biashara ya kudeal na Afya ya watu ni mtaji tosha pia inalipa, just imagine hata hapo mtaan kwako kuna pharmacies ngapi? hospitali binafsi kila siku zinaongezeka, viwanda vya madawa daily vinaongezeka licha ya technology ya utabibu kukua lkn why magonjwa hayaishi?

Sababu magonjwa ni UCHUMI wa watu kupitia usambazwaji wa madawa feki, utibabu wa magonjwa ya uongo, kuundwa kwa magonjwa feki, haya yote ni biashara eleweni enyi wapumbavu mliofungwa macho kupitia media na elimu za kipuuzi huko mashuleni.

UKIMWI haujawai kumuua mtu yeyote, anaebisha alete uthibitisho wa kisayansi hapa, hao ndugu zenu wamekufa kwa malaria, ukosefu wa lishe, kifua kikuu na makansa huko mnakuja kusingizi upuuzi ili kujenga hofu.

Wake up guys.
Kama Waafrika wengi tunakufa kutokana na magaonjwa yanaonezwa na nzi na MTU ,why Serikali zetu kukazania kuongeza madaktari,vifaa na mahospitali kwa ajili ya hayo magonjwa yatokanayo na Mbu na nzi huku tungeweza kuja mazalia yote ya Mbu na nzi Nchi nzima?
 
Kunawatu wanautetea sana ukimwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwamba ni ugonjwa mdogo, kunakitu sio bure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na wenyewe ndio unapend kutetewa
 
Kwanin Dar isiongoze kwa UKIMWI wakat ndio mkoa unaopokea kila aina ya wageni..?
Wanaume magovi ni rahisi sana kupata maambukiz, Njombe-Iringa ni mkoa wenye wanume wengi magovi kuliko mkoa wowote ule Tanzania... Njombe Iringa ndio mkoa wenye mabango mengi ya TOHARA...
Kwahiyo imani potofu kuhusu tohara ndiyo imechangia ongezeko kubwa la HIV...
Dar njoo Kinondoni.... Huku tunaambukizana Ngoma kama kuambukizana mafua tu.
 
Yani mkuu hawa ndugu unaweza kukuta hawaishi pamoja kila mtu ana maisha yake sehemu nyingine ila sasa mmoja akipata mara na dada yake mkoa mwingine kule anao na mwingine tena hvyo yani jaribu kuchunguza

Nilishawahi kusikia hiyo kitu ila naona kama coincidence hakuna uhalisia wa katika familia mmoja akipata basi na wengine watapata ,kama unafanya mapenzi(dry au na mwenza ambaye si mwaminifu) basi kuna possibility ya kupata ukimwi.
 
Mnakufa na magonjwa yenu ya kifua kikuu, malaria na magonja ya zinaa yale ya kawaida kama visonono, vipindupindu, kaswende mnakuja kusingizia UKIMWI.

Hilo gonjwa ambalo halieleweki mdudu gan anaelieneza wala harakati zake hazielewek then nyie madactar wa michongo mliofaulu Vyuo vya kukalili bila research yoyote ya msingi mliyofanya mnakuja kutishia watu.

UKIMWI hauuwi, maana haupo, kinachouwa ni magonjwa ya kawaida ambayo hapo kabla wanasiasa na matabibu vibaraka walituaminisha magonjwa yaliyouwa sana ni UKIMWI ili kujenga hofu ktk jamii ikiwa kama Utangulizi wa ujio wa biashara ya chanjo za uongo na ARV.

Msidanganye eti UKIMWI uliokuwepo hapo zaman ni tofauti na sasa, UONGO MKUBWA, kwanini ugonjwa huu ubadirike lkn magonjwa mengine hayabadiriki licha ya madawa kugundulika kila siku?.

Jiulize kwann UKIMWI pekee umekuwa ukitungiwa sababu nyingi za kuuficha ficha na kuutetea sana uonekane gonjwa lililoshindikana?.

Wauguzi, madactari na wanasiasa ni mawakala wa hao baadhi ya wazungu walioamua kuifanya afya ya binadamu/mtu kuwa sehemu ya michezo yao michafu ya kibiashara na majaribio haramu.

UKIMWI+VVU ni vitu viwili tofauti, Ukimwi hausababishi VVU wala VVU haiuwi maana kiuhalisia haipo bali kuna mkusanyiko wa magonjwa yaambukizwayo kwa njia ya blood transfussion na migusano ya ngozi, ambapo hao wahuni tunaowaamini kuwa madactari waliamua kuyaita magonjwa hayo kwa jina moja yaani HIV/AIDS.

Kiuhalisia hayo magonjwa yanatibika vzur sana.

Huwa nasema kuwa, biashara ya kudeal na Afya ya watu ni mtaji tosha pia inalipa, just imagine hata hapo mtaan kwako kuna pharmacies ngapi? hospitali binafsi kila siku zinaongezeka, viwanda vya madawa daily vinaongezeka licha ya technology ya utabibu kukua lkn why magonjwa hayaishi?

Sababu magonjwa ni UCHUMI wa watu kupitia usambazwaji wa madawa feki, utibabu wa magonjwa ya uongo, kuundwa kwa magonjwa feki, haya yote ni biashara eleweni enyi wapumbavu mliofungwa macho kupitia media na elimu za kipuuzi huko mashuleni.

UKIMWI haujawai kumuua mtu yeyote, anaebisha alete uthibitisho wa kisayansi hapa, hao ndugu zenu wamekufa kwa malaria, ukosefu wa lishe, kifua kikuu na makansa huko mnakuja kusingizi upuuzi ili kujenga hofu.

Wake up guys.
Nakubaliana na wewe kuwa afya ya binadamu ni biashara za watu. Kama mm ninavyoaamini kuwa upungufu wa nguvu za kiume ni illusion na watu wanaigwa sana pesa.

Ila kwenye hili la ukimwi nakupinga kwa 101%. Sote tunajua kuwa ukimwi si ugonjwa ula ni UPUNGUFU WA KINGA MWILINI. VVU ndio hushusha kinga ya mwili na hapo ndiowaliko wa magonjwa mengine unapokuja. Kinga ikishuka utapigwa na kila gonjwa.

Mkuu kama mtoa mada alivyosema, ni ngumu kumuelewa kama hujawahi kushudia haya. Tulioona watu wa karibu yetu wakiteseka acha tuendelee na imani yetu potofu
 
hii dunia bana,unaweza pia ukabaki njia kuu ila wife akamtamani handsomeboy wa mtaani kwenu unakuja kuambukizwa hujui.

ila jamani kuna midada imeumbika aiseee
Moni Ana Ngoma Yake Anakwambia " Mjini Kuna Toto, Kuna Toto ", kuna watoto wazuri bhana aisee
 
Kwani dalili za ngwengwelism toka umeipata inachukua Mda gani? Maana mimi na kondom ni kama Bush na Osama tu.
Anyway kwa hiyo wote humu hamjawahi kuuza mechi et?
kijana km umri unaruusu kamata mwenza mpime vyovyote itavyokuwa muoane muwe huru. kurukaruka hakusaidii mwisho wa siku utaleta tafrani kwako na kwa wategemezi wako. kumbuka majuto na ninge uja bdae. chukua chuma icho.
 
Iringa ni home na umezungumza ukwel japo Mafinga hapo mbona pa kirembo sana..
2010 February baada ya kumaliza kidato cha sita nilipata kazi kwenye volunteering program flan ilikua inajulikana kama student partnership worldwide (SPW) now days wanajiita RESTLESS DEVELOPMENT hii organization ilikua inajihusisha na mambo hizo za UKIMWI na Peer education.

Nilifanya kazi sana Njombe, Ludewa na Makete..zaid zaid Ludewa na Vijiji vyake..Lugarawa..Masimbwe...Itundu... n.k.

Aisee kule ukimwi ulikua UNAOUNA KWA MACHO HIVIIIII yan huhitaji kipimo wala nini.Watoto wadogoo vijana watu wazima kwa wazee jinsia zote ukimwi ulikua unafagia sanaaaaa..

Nashkuru Mungu those days nilikua sijaanza kuchakata bado.
E bwana ukimwi ni noma sana.
Those days elimu rika ilikua adimu sana na kwakwel moja ya vitu najivunia nilifanya kwenye maisha yangu ya u teeneger basi ni mojawapo.

Tulikua tunapiga sana semina.
Mnaandaa matamasha ya muziki kutoa elimu nakumbuka sana pande za ULAYAS secondary pale Mlangali Ludewa...Anzisha sana maktaba za kujisomea kutengeneza HIV Awareness kwa vijana ... ligi la soka ambazo zilikua zinaambatana na Semina na upimaji wa HIV ..

Ukimwi umetafuta sana nyanda za juu kusini magharib.Sanaaa yani.
Kilimo cha chai na miti kama kichocheo cha maambukizi..
IKUMBUKWE maeneo hayo yalikua maarufu sana kutoa ma house girl.Wakija Dar wanaukwaa ukimwi wakianza kuumwa wanarudishwa Huku vijijin wazaz wasio na elimu ya kuwahudumia wanaambukizwa..plus pisi imetoka mjini vijana wa village nao wanapambana japo waonje ...Imooooo..
Dah ukimwi ni nyokoo sanaaaa.

But now days angalau hali ime stablize..

Nakumbuka pale Mlangali nilishakutana na li shangazi Nurse limoja hakyanan lile lilikua linataka nili gonge kila mitego aliniwekea haikunasa maana akili yangu kipinzi hiko badoo hata mbususu sizijui so nikawa hata sielewi yule mama anataka nini [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]..

All in all AIDS Kills.
Tatizo mojawapo kwasasa watu tumesusa Kampeni za kuijengea jamii HIV AWARENES sawa kuna mitandao siku hiz ndio ila hili la kila mtu kujifunza kibinafs ni hatar sana maa internet is full of wrong information.

TUJILINDE..TUJIKINGE
Ludewa duuuuh....Ludewa secondary.....
 
Ukimwi km hujawahi mshuhudia mgonjwa anakuaje especially zile hatua za mwishoni utauchukulia POA Ila km umeshuhudia utaelewa Jambo

Ipo hivi

Watu hawasemi Ila Mimi wacha nivunje yai Mimi sio muathrika ya ukimwi Mimi nimemhudumia mgonjwa wa ukimwi mpaka anakufa alikua jirani yangu

Samahani kwa kusema hivi Ila ukimwi ni km Curse fulani yaan hii familia walikua jirani yetu kipindi Baba yao yupo hai kulitokea kutokuelewana kati ya Baba na watoto huyu Baba alikua na watoto wawili tu mmoja wa kike mmoja wa kiume, kabla hajafa akawalaani

Jamàa kaka mtu alikua ni fundi umeme akawa anapenda sana Pombe, siku ya siku hio siku aliyoenda kuukwaa Mimi nilisikia asubuhi maana mtaa hauna Siri ukifanya Jambo mtaani ukadhani watu hawatojua sahau, basi baada ya kuukwaa unaambiwa aliambikiza familia yake yote unajua ile miaka ya 90 kuja 2000 basi akaanza mke akaenda na maji (aliemuambukiza) punde si punde akaja mtoto wake wa kike akaenda (alikua anamhudumia Baba yake na Mama yake nae akapata), chanzo Cha yote siku hio ya kunywa Pombe na story zake kuzagaa mtaani ni kwamba alikula barmaid ambae anaejulikana kwamba ana VVU jamaa sababu ya tungi akapita kavu kuja kucheck ndio hivyo, mkewe akapuuzia zile habari hakuchukua round nae akawa kwenye grid ya taifa

Dada yake jamàa alipozidiwa dada alikua mzima kabisa km Mimi na wewe alipoona kaka anazidiwa huruma ikamuingia basi amsaidie kaka yake sijui alikosea nini masikini na yeye akapigwa shoti kwenda kupima anao, wakawa wote wagonjwa hanawa wa kumsaidia jamàa hali mbaya akawa na kijana wake wa kiume wa mwisho huyu kijana nae alikua ndio amemaliza mafunzo ya ufundi amerudi nyumban kumkuta Baba yake hali mbaya akaanza kumsaidia kumhudumia

Kijana hakuchukua mwezi nae sijui alikosea nini, akapigwa shoti akaanza kuumwa kwenda kupima anao tayari kashaambukizwa, Basi kukawa na ugomvi yule dada akawa analalamika kila siku kua kaka yake ndie aliemuambukiza yeye alikua mzima tu

Jamàa akazidiwa tena akawa hana tena mtu wa kumsaidia zaidi ya kujisaidia mwenyewe au baadhi ya majirani wenye huruma na wengi walikua wanatoka mbali waliokua wanakuja sana sana ni walokole fulani hivi maana watu wakawa wanaogopa kwamba yeyote atakae msaidia yule lazima na yeye umpate ni km Curse fulani alafu Mzee alikuja niambia na kunisisitizia kua niwe nae makini ninapoenda kumnyoa maana Baba yao aliwalaani, Basi mpaka jamàa anakufa alikua anaomba msaada wa dawa na dawa ya mwisho aliyoomba kwa kutuma meseji kwa njia ya simu kwa watu aliomba dawa ya kuunyoosha uti wa mgongo maana kwa maelezo yake anakwambia mishipa ya misuli ya uti wa mgongo ilivutika kiasi Cha yeye kushindwa kunyanyuka kitandani hata kuweza kupumua vizuri na hivyo haikuchukua siku 2 alivuta pumzi ya mwisho

Mimi nilikua namsaidia km kinyozi wake yaan nywele zikikua alikua haendi saloon hivyo basi ananiita nyumbani kwake niende nikamnyoe nywele nimpunguze zimekua nyingi, Mara nyingi tulikua tunapiga story za mpira Yanga na Simba na kutaniana sana na Mara nyingi jamàa alikua ananipigia sana marufuku kuhusu wanawake ananiambia 'wanawake we waangalie sana sio watu wazuri kabisa hawa sio watu wazuri watakumaliza' hapo akilenga na dada yake ambae aliamua kususa kumhudumia na ukizingatia Mimi sio muongeaji sana nilikua naitikia tu 'sawa' Basi tunapiga story huku namnyoa fresh kabisa tukimaliza Nampa kioo anajiangalia anasema 'hapa safi' nimemaliza ananipa maji nanawa mikono na sabuni maana kichwani ni km alikua na ukoko, ndio ukoko ukipika ugali ule wa chini kwenye ugali unaitwa ukoko ukiupekecha km ungaunga, Basi nikimaliza kunawa namuaga naendelea na Mishe zangu nyingine

Wakati namnyoa na kumsaidia huduma ndogo ndogo za hapa na pale kwa tahadhari maana
nilijua huyu jamaa kawaambukiza dada yake na mtoto wake wa kiume na mtoto wake wa kike (alikufia Mwanza) nilichokibainii ni kwamba

Kwanza jamàa alikua anajipenda Ila kutokana na umasikini ndio hivyo kifo kimempeleka mapema, wakati namnyoa nilikua namkagua maana yeye anakua mbele Mimi nipo nyuma namnyoa hivyo namwangalia mgonjwa wa ukimwi anakua kuaje nikaona ni hali ya kukonda sana ngozi inavutika na inawambana na skeleton la mwili (mwili wake wa asili hakua mnene) kisha kifuani hapa sijui kwanini kifuani sio mwanamke sio mwanaume wakifika stage za mwisho pananenepa kuanzia kifuani kuja maeneo ya tumbo, mwanaume anaonekana km ana maziwa na yule jamaa alikua km ana maziwa na alipofika stage ile kutembea kwenda job ikawa ni mtiti yaan sio Siri UKIMWI kuna stage unatesa utakula hizo mbaazi (ARV) Ila kuna stage utafika utaanza kukutafuna jamàa alikufa kifo Cha mateso sana kaacha mtoto wake aliemuambukiza na dada yake aliemuambukiza wote wapo Ila wanakula dawa hadi sasa ni story ya kusikitisha sana
 
Hii Tanzania nyumba ziachwe mpka watu wakae bure? Acheni story za kitoto basi!
shangaa na wewe mkuu, itoshe kusema taarifa nyingi za UKIMWI kwa miaka ya hivi karibuni ni za kupika na hazina uhalisia wowote.
 
Yani mkuu hawa ndugu unaweza kukuta hawaishi pamoja kila mtu ana maisha yake sehemu nyingine ila sasa mmoja akipata mara na dada yake mkoa mwingine kule anao na mwingine tena hvyo yani jaribu kuchunguza
Logic ni kwamba kuna vitu vinavyosababisha maambukizi due to sharing pasipo kujua! Dawa za meno hizi sharing nazo ni JAU ,kisu unakata kitunguu umejikata akaja naye mwingine akatumia akajikata.....Majembe ya kulima ,unalima umejikata akaja ndugu yako naye nalima anajikata ingawa ni rarely kwa maambukizi ya design hayo.
Charrote upo sahihi kabisa. Mara nyingi wanakuwa hawaishi pamoja, tena unakuta mikoa tofauti na Kila. Mtu ana mke au mume wake. Lakini mwisho wa siku ndo hivyo
 
Ukimwi km hujawahi mshuhudia mgonjwa anakuaje especially zile hatua za mwishoni utauchukulia POA Ila km umeshuhudia utaelewa Jambo

Ipo hivi

Watu hawasemi Ila Mimi wacha nivunje yai Mimi sio muathrika ya ukimwi Mimi nimemhudumia mgonjwa wa ukimwi mpaka anakufa alikua jirani yangu

Samahani kwa kusema hivi Ila ukimwi ni km Curse fulani yaan hii familia walikua jirani yetu kipindi Baba yao yupo hai kulitokea kutokuelewana kati ya Baba na watoto huyu Baba alikua na watoto wawili tu mmoja wa kike mmoja wa kiume, kabla hajafa akawalaani

Jamàa kaka mtu alikua ni fundi umeme akawa anapenda sana Pombe, siku ya siku hio siku aliyoenda kuukwaa Mimi nilisikia asubuhi maana mtaa hauna Siri ukifanya Jambo mtaani ukadhani watu hawatojua sahau, basi baada ya kuukwaa unaambiwa aliambikiza familia yake yote unajua ile miaka ya 90 kuja 2000 basi akaanza mke akaenda na maji (aliemuambukiza) punde si punde akaja mtoto wake wa kike akaenda (alikua anamhudumia Baba yake na Mama yake nae akapata), chanzo Cha yote siku hio ya kunywa Pombe na story zake kuzagaa mtaani ni kwamba alikula barmaid ambae anaejulikana kwamba ana VVU jamaa sababu ya tungi akapita kavu kuja kucheck ndio hivyo, mkewe akapuuzia zile habari hakuchukua round nae akawa kwenye grid ya taifa

Dada yake jamàa alipozidiwa dada alikua mzima kabisa km Mimi na wewe alipoona kaka anazidiwa huruma ikamuingia basi amsaidie kaka yake sijui alikosea nini masikini na yeye akapigwa shoti kwenda kupima anao, wakawa wote wagonjwa hanawa wa kumsaidia jamàa hali mbaya akawa na kijana wake wa kiume wa mwisho huyu kijana nae alikua ndio amemaliza mafunzo ya ufundi amerudi nyumban kumkuta Baba yake hali mbaya akaanza kumsaidia kumhudumia

Kijana hakuchukua mwezi nae sijui alikosea nini, akapigwa shoti akaanza kuumwa kwenda kupima anao tayari kashaambukizwa, Basi kukawa na ugomvi yule dada akawa analalamika kila siku kua kaka yake ndie aliemuambukiza yeye alikua mzima tu

Jamàa akazidiwa tena akawa hana tena mtu wa kumsaidia zaidi ya kujisaidia mwenyewe au baadhi ya majirani wenye huruma na wengi walikua wanatoka mbali waliokua wanakuja sana sana ni walokole fulani hivi maana watu wakawa wanaogopa kwamba yeyote atakae msaidia yule lazima na yeye umpate ni km Curse fulani alafu Mzee alikuja niambia na kunisisitizia kua niwe nae makini ninapoenda kumnyoa maana Baba yao aliwalaani, Basi mpaka jamàa anakufa alikua anaomba msaada wa dawa na dawa ya mwisho aliyoomba kwa kutuma meseji kwa njia ya simu kwa watu aliomba dawa ya kuunyoosha uti wa mgongo maana kwa maelezo yake anakwambia mishipa ya misuli ya uti wa mgongo ilivutika kiasi Cha yeye kushindwa kunyanyuka kitandani hata kuweza kupumua vizuri na hivyo haikuchukua siku 2 alivuta pumzi ya mwisho

Mimi nilikua namsaidia km kinyozi wake yaan nywele zikikua alikua haendi saloon hivyo basi ananiita nyumbani kwake niende nikamnyoe nywele nimpunguze zimekua nyingi, Mara nyingi tulikua tunapiga story za mpira Yanga na Simba na kutaniana sana na Mara nyingi jamàa alikua ananipigia sana marufuku kuhusu wanawake ananiambia 'wanawake we waangalie sana sio watu wazuri kabisa hawa sio watu wazuri watakumaliza' hapo akilenga na dada yake ambae aliamua kususa kumhudumia na ukizingatia Mimi sio muongeaji sana nilikua naitikia tu 'sawa' Basi tunapiga story huku namnyoa fresh kabisa tukimaliza Nampa kioo anajiangalia anasema 'hapa safi' nimemaliza ananipa maji nanawa mikono na sabuni maana kichwani ni km alikua na ukoko, ndio ukoko ukipika ugali ule wa chini kwenye ugali unaitwa ukoko ukiupekecha km ungaunga, Basi nikimaliza kunawa namuaga naendelea na Mishe zangu nyingine

Wakati namnyoa na kumsaidia huduma ndogo ndogo za hapa na pale kwa tahadhari maana
nilijua huyu jamaa kawaambukiza dada yake na mtoto wake wa kiume na mtoto wake wa kike (alikufia Mwanza) nilichokibainii ni kwamba

Kwanza jamàa alikua anajipenda Ila kutokana na umasikini ndio hivyo kifo kimempeleka mapema, wakati namnyoa nilikua namkagua maana yeye anakua mbele Mimi nipo nyuma namnyoa hivyo namwangalia mgonjwa wa ukimwi anakua kuaje nikaona ni hali ya kukonda sana ngozi inavutika na inawambana na skeleton la mwili (mwili wake wa asili hakua mnene) kisha kifuani hapa sijui kwanini kifuani sio mwanamke sio mwanaume wakifika stage za mwisho pananenepa kuanzia kifuani kuja maeneo ya tumbo, mwanaume anaonekana km ana maziwa na yule jamaa alikua km ana maziwa na alipofika stage ile kutembea kwenda job ikawa ni mtiti yaan sio Siri UKIMWI kuna stage unatesa utakula hizo mbaazi (ARV) Ila kuna stage utafika utaanza kukutafuna jamàa alikufa kifo Cha mateso sana kaacha mtoto wake aliemuambukiza na dada yake aliemuambukiza wote wapo Ila wanakula dawa hadi sasa ni story ya kusikitisha sana
Halafu kuna mtu anaongea kirahisi rahisi tu
 
Itoshe tu kusema kwamba Iringa, makambako huko sijui njombe, ludewa kuna baridi sana[emoji23][emoji119] Yan kujaamiiana ni inevitable[emoji19]

Nimesoma Mafinga(Advance) na nilifanya school project Njombe dooh kwenda darasani tuu balaa yan inaweza pita siku nzima ni baridii sana hata jua haliwaki

ko kwa utafiti huo mdog nikagundua kuwa ngono kwa maeneo ya kule haiwezi kukwepeka kabisa ko HIV haikwepeki kabisa afu nyumba za kulala wageni bei chee sana[emoji23] na hawa madereva wa malori hawa wengi wanapaki sana magari maeneo hayo ko ni balaa tupu[emoji119][emoji119]
 
Charrote upo sahihi kabisa. Mara nyingi wanakuwa hawaishi pamoja, tena unakuta mikoa tofauti na Kila. Mtu ana mke au mume wake. Lakini mwisho wa siku ndo hivyo

There is something behind this Sh..
 
Back
Top Bottom