Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Si alikua ameshafanyiwa dawa na mganga jamani hata kama aliivua hio bangiri stil alikua na kinga fulani nahisi!!
Just guessing..
 
Punguza ujuaji umaarufu wa JF hauna faida mkuu. Una kiherehere sana
 
Nahisi ni story
Katika adiko umesema
1. Ulivua bangili Ili wachawi wasikugundue, ( na ndo lilikuwa likikusaidia kuona vya rohoni) lkn mara ukaona yule mchawi anaingia (ulimwonaje huku umevua bangili?)

2. Kama sikosei unasema mganga wako alikupeleka Siku chache zilizopita (tena mara Moja) kuona kilinge Cha wachawi. Sasa wewe

a) Ulipata wapi ujasili wa kushindana na mchawi mkuu ingali unasiku chache ndo umeanza kuviona

b) Je mda huo mfupi unatosha kuwatambua wachawi waliokuwepo huko Tena wamevaa kichawi halafu ukawatambua msibani mchana wakiwa wamevaa nguo za kawaida (halafu Kwa mda huu wewe ulikuwa mgeni kijijini hapo).

3. Unasema uliwakuta mwl mkuu na wanafunzi wamelazwa nje? Ok sawa.

a) Hivi ni rahisi Kwa mgeni wa kuona mambo hayi, eti ukabaki shuleni Kwa ujasili huo ( Tena mwajiliwa mpya!!!?)


This is BIG NO
....................
Labda hebu tuchukulie hii ni story kama story zingine.
 
mwalimu ni muongo hii ni kamba walah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…