Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Nimehitimisha storry ya uwongo na kuokoteza...peleka fb [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Hii story yako haina hadhi ya kuletwa hapa tunakuomba Kwa hekima kabisa usirudie kuleta hiyo story hapa koma
 
Hii stori Umechanganya uongo na ukweli, unategemea Mungu lakini bado unaweza kushika hirizi? Hatari sana kwanini wewe huingiliki wakati kwa Mungu haupo kwa shetani haupo
 
Sikushangai maana wewe kila posti yamtu lazima ucomment utumbo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…