Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nilikutumia namba fodontnpBujibuji Simba Nyamaume ,Jemima Mrembo mshapita hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikutumia namba fodontnpBujibuji Simba Nyamaume ,Jemima Mrembo mshapita hapa?
Kabisa hajui..ni ulimwengu usiokua na huruma ukicheza nao vibaya..!Hujui kitu wewe kuhusu ulimwengu wa roho, you better take a bow
Pita hivi,wengine inanoga tunafatilia mwanzo mwisho labda mwandishi atusalitihadithi za kutunga huwa hazisisimui yaani hainogi
Hata familia za shiriki na ushirikiana ni masikini haifai,Sema kwa msisi pakiboya sana ndio maana sehemu yeyote yenye imani za kishirikina zinakuwa za kimaskini
Kuna watu wanapenda kukera wenzao jaman,story ilikuwa nzuri tuMweNyewe alisema haendelei na simulizi kutokana na kero za Chizi Maarifa
Ni kweli kabisa ukifanya maendeleo tu wenyewe kwa wenyewe ndani ya familia mnamalizana .Hata familia za shiriki na ushirikiana ni masikini haifai,
Niliiona kitakujulisha,usijalNilikutumia namba fodontnp
Sikushangai maana wewe kila posti yamtu lazima ucomment utumbo...Nimehitimisha storry ya uwongo na kuokoteza...peleka fb [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Ndio maisha halisi ya watanzania, hata hao wachungaji mnao waabudu tunapishana nao kwa waganga kila siku.Hii stori Umechanganya uongo na ukweli, unategemea Mungu lakini bado unaweza kushika hirizi? Hatari sana kwanini wewe huingiliki wakati kwa Mungu haupo kwa shetani haupo
hajui kuwa Mtu swala tano swafii na anafuga majiniNdio maisha halisi ya watanzania, hata hao wachungaji mnao waabudu tunapishana nao kwa waganga kila siku.