Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Wajukuu wa mzee samasimba na shemeji zake mbwana wanakazana sana kumtoa mwandishi kwenye reli ahhhah tulieni mambo yenu yaanikwe hadharani, ngisi nyie
[emoji2][emoji2][emoji2] oya familia oya mzee samasimba hao awatak mambo yao tuyajue wanatuwekea Dem wetu msukule apa apotei mtu tupo madin mkuu bado tunalisapot story yako
 
Antonnia najua nimeshachelewa kukutag lkn acha nikutag hivyo hivyo [emoji23]
Asante mkuu niliishia episode 6 ndio naingia leo napitia koments najua kuna muendelezo nakutana na mtu kasusa kisa ujuaji wawatu ..... mara anaendea tena... bado naitafuta episode 7?? Hivi ipo kwelii au alususaga tena???
Make nisije poteza muda buree mie!
 
Back
Top Bottom