Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Pamoja Sana mkuu ukipost nitagAhsante kwa ushauri, episode 9 inakuja
Sent from my Nokia C21 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja Sana mkuu ukipost nitagAhsante kwa ushauri, episode 9 inakuja
Kaka leta nondo hizo, achana na hawa maboya wanaokosoa mstari kwa mstari, neno kwa neno. Pumbavu!Ahsante kwa ushauri, episode 9 inakuja
Kwani wamo humu🤣Wajukuu wa mzee samasimba na shemeji zake mbwana wanakazana sana kumtoa mwandishi kwenye reli ahhhah tulieni mambo yenu yaanikwe hadharani, ngisi nyie
Soma ili uelewe so unasoma kwa kukosoa mtu km uelewe vunga...Hii chai imezidi tangawizi, mara hiziri ukivalishwa kiunoni mara hiyo hiyo uvae mkononi.... anyway utunzi mzuri.
Tunga yako ikusisimuehadithi za kutunga huwa hazisisimui yaani hainogi
kaa kimya ww eboo.Hii chai imezidi tangawizi, mara hiziri ukivalishwa kiunoni mara hiyo hiyo uvae mkononi.... anyway utunzi mzuri.
Tupe yako yenye hadh kenge we.. oya mwanang achana nao washamba awa tupe vtu mafans unaokibao tunakufolow awa makolo awaelewe c unajua mshamba aelewHii story yako haina hadhi ya kuletwa hapa tunakuomba Kwa hekima kabisa usirudie kuleta hiyo story hapa koma
Alijakukuta omba siku likukute uambiwe upake mavi usoni na mganga tuone Kama autopaka wwHii stori Umechanganya uongo na ukweli, unategemea Mungu lakini bado unaweza kushika hirizi? Hatari sana kwanini wewe huingiliki wakati kwa Mungu haupo kwa shetani haupo
Achana nao tupe mwendelezo mwanang makolo km hao awaelewe madin km Aya coz awajayakuta ktk maisha yaoSikushangai maana wewe kila posti yamtu lazima ucomment utumbo...
[emoji2][emoji2][emoji2] oya familia oya mzee samasimba hao awatak mambo yao tuyajue wanatuwekea Dem wetu msukule apa apotei mtu tupo madin mkuu bado tunalisapot story yakoWajukuu wa mzee samasimba na shemeji zake mbwana wanakazana sana kumtoa mwandishi kwenye reli ahhhah tulieni mambo yenu yaanikwe hadharani, ngisi nyie
Asante mkuu niliishia episode 6 ndio naingia leo napitia koments najua kuna muendelezo nakutana na mtu kasusa kisa ujuaji wawatu ..... mara anaendea tena... bado naitafuta episode 7?? Hivi ipo kwelii au alususaga tena???Antonnia najua nimeshachelewa kukutag lkn acha nikutag hivyo hivyo [emoji23]
Jf kubwa hii wamo wamejaa uku 😀 wew siunaona wanavyoharisha ukuKwani wamo humu🤣