Subiri nitakujulishaPoa Leo msalato nyama upite baasi huku pande zetuu
Swala tano kwel inawezekana ila haziwezi kuwa swaafi km unafuga majinihajui kuwa Mtu swala tano swafii na anafuga majini
Isije kuwa alikuwa mtaalam wa kuzichakata mbususu akalihongaHio Kwamsisi mzee aliacha shamba la heka 50 la michungwa na minazi pamoja na nyumba ya room 3 🤣🤣🤣 sijui nini kilimpataga bana.
Nyie si huwa hamnielewi. Mi nawajua madogo hawa. Wapuuzi sana.Ndo maana Chizi Maarifa alikupinga wakakutetea kumbe kweli ,,Sasa PM kufanya Nini [emoji35]
Sogelea Telegram[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa hiyo ndio malipo yanaanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo huko PM ndiyo haupo busy!!? [emoji16]
tulia wewe mwanakwetu mremboNifunze kuwa na lugha ya staha, hukulazimishwa kusoma hapa mpuuzi ni wewe.
Nifunze kuwa na lugha ya staha, hukulazimishwa kusoma hapa mpuuzi ni wewe.
[emoji2]Kwahiyo huko PM ndiyo haupo busy!!? [emoji16]
Hatuhitaji! Kaa nayo hiyo story ya kipuuzi na huta pata hata mia! Watu JF wapo wengi wenye story kama akina Umughaka unasoma story mpaka inaisha bila kusumbua tu.wewe ni mpuuzi...njoo PM. Am happy kwamba sio story addict so kaa nayoVipo vitabu vya hadithi za kutisha kwa yeyote atakaye hitaji hadithi ni za ukweli na nyingine za kubuni, kwa stori hii nitaishia hapa hopefully mnaenjoy na kujifunza pia, napokea maoni kupitia private messages (PM).
Njoo uku kigoma Au sumbawanga wwUmeanza vizuri, ila aya ya mwisho umepuyanga.