Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Dogo piga pesa mjini hapa. Hawa wanajamiiforums wasikuzingue. Wanataka story halafu hawataki kukulipa. Utadhani wewe ulikuja kuwa unawasimulia tu humu. Usinisahau na changu. Maana nime uboost sana huu uzi wako.
 
Ah teacher umeniangusha sana. Kama huwaogopi akina mzee samasimba na yule jamaa mbwana unaogopa kusema wakupe buku mbilmbil apa? Announce publicly teacher usiwaze, kumbuka wasomaji wengi hawajacoment hapa
 
*****! KULA CHUMA HICHOOOOOOOOOO!!

PM ni kukutanishwa na za upande upande kwenye mbavu.

Kwa tulipofikia, Ahsante.
 
NASHAURI MWANA JF YEYOTE ASIMUUNGE HUYU MTOA HADITHI MPUUZI SANA ANATAKA MAMBO YA PM PM KAMA AMESHINDWA KUSIMULIA KIHADITHI CHAKE TUACHANE NAE AKAFIE MBELE NA STORY YAKE.

WAPO WATU HUMU KAMA AKINA "UMUGHAKA" WAMETOA STORY ZAO HALISI ZENYE EPISODES SIJUI MPAKA ZA 60 HUKO MPAKA ZINAISHA BILA HATA KUDAI AU KULETA PROMO YEYOTE SIJUI NJOO PM.
SASA HUYU MPUUZI ANALETA STORY HATA EPISODE 10 HAJAFIKA ANALETA MAMBO YA PM.

Nimeandika kwa herufi kubwa kuona huyu jamaa anataka asumbue watu hapa. Hatuhitaji story yako
 
Vipo vitabu vya hadithi za kutisha kwa yeyote atakaye hitaji hadithi ni za ukweli na nyingine za kubuni, kwa stori hii nitaishia hapa hopefully mnaenjoy na kujifunza pia, napokea maoni kupitia private messages (PM).
Hatuhitaji! Kaa nayo hiyo story ya kipuuzi na huta pata hata mia! Watu JF wapo wengi wenye story kama akina Umughaka unasoma story mpaka inaisha bila kusumbua tu.wewe ni mpuuzi...njoo PM. Am happy kwamba sio story addict so kaa nayo
 
Back
Top Bottom