Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Sitosahau yaliyonipata kijijini Kwamsisi

Chizi Maarifa wewe Ni wa Tanga sehemu gani? Kama unatokea Lushoto ambàko hakuna wachawi kaa kimya. Tanga wachawi wapo.
Unajua kwamba ukienda kununua utajiri wa kichawi Tanga, mganga mwenyewe ndio anakupa mtaji usio pungua milioni ishirini? Sio huko eti wakinga wananunua na kutoa kafara kwa kuua ndugu.Tanga hakuna kafara la kumwaga damu ya ndugu , sharti Ni moja tu, usitembee na mwanamke wa nje, amini usiamini Hilo sharti hata Mimi limenishinda. Isitoshe na mtaji unapewa. True kabisa sema kiapo chake tu ndio balaa.
Mimi ni shuhuda wa hili pia 🙌
 
Yaani huwa nakudharau sana, umesha ambiwa hadithi, unataka ukweli upi tena?
Hii story haina ukweli wote. Kama yalikutokea ni kwa kiasi kidogo tu. But hiyo barua inaonesha kabisa ni uongo wa kutunga. Wewe umetumwa unataka kutuharibia jina letu la Tanga.

ni vizuri muwe mnakuwa wakweli kama hadithi ni ya kutunga ukisema umetunga wala haipunguzi wasomaji. Si lazima useme ni kweli yametokea.

nimekuja baada ya walaji kulalamika pia unawapa tu episode tufupi tufupi sana. Ukaamua kunywa chai.... Episode.

ukawa unawaza episode. Nyie walimu si mna muda mwingi tu wa kupumzika? Hebu kaa andika episodes ya ukweli ndefu kutoka posta hadi angalau Bunju.
 
Haya mambo ya uchawi huwa yamekaa km ngano tu . Mim mpaka siku nishuhudie mtu akipita katikati ya ukuta ndio nitaamini
Ni kwa sababu ni mambo ya Kiroho/yanahusisha roho hivyo ikiyatafsiri kimwili huwezi pata jibu utaona kama ni hadithi..Kumbe sio ni kitu kipo halisi kabisa.
Ni sawa kwa Imani ukiambiwa roho mtakatifu kwa mwamini anaamini kuna hiyo nguvu na vivyo hivyo majini yapo sio kwamba hayapo.
All in All ni mambo ya imani kwahiyo kuyang'amua inahitaji uwe wa kiimani/kiroho.
 
Back
Top Bottom