Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Tunasubiri Episode Ya 5Nimeshatuma episode ya 4
Mimi ni shuhuda wa hili pia 🙌Chizi Maarifa wewe Ni wa Tanga sehemu gani? Kama unatokea Lushoto ambàko hakuna wachawi kaa kimya. Tanga wachawi wapo.
Unajua kwamba ukienda kununua utajiri wa kichawi Tanga, mganga mwenyewe ndio anakupa mtaji usio pungua milioni ishirini? Sio huko eti wakinga wananunua na kutoa kafara kwa kuua ndugu.Tanga hakuna kafara la kumwaga damu ya ndugu , sharti Ni moja tu, usitembee na mwanamke wa nje, amini usiamini Hilo sharti hata Mimi limenishinda. Isitoshe na mtaji unapewa. True kabisa sema kiapo chake tu ndio balaa.
Mkuu soon leo au?Usijali inakuja soon stay tuned
Hii story haina ukweli wote. Kama yalikutokea ni kwa kiasi kidogo tu. But hiyo barua inaonesha kabisa ni uongo wa kutunga. Wewe umetumwa unataka kutuharibia jina letu la Tanga.
ni vizuri muwe mnakuwa wakweli kama hadithi ni ya kutunga ukisema umetunga wala haipunguzi wasomaji. Si lazima useme ni kweli yametokea.
nimekuja baada ya walaji kulalamika pia unawapa tu episode tufupi tufupi sana. Ukaamua kunywa chai.... Episode.
ukawa unawaza episode. Nyie walimu si mna muda mwingi tu wa kupumzika? Hebu kaa andika episodes ya ukweli ndefu kutoka posta hadi angalau Bunju.
Yuko anapambana na kuandaa lesson plan, kufundisha, kusaisha mitihani, kusimamia usafi n.k na bado wakulungwa hawamuonei hurumaIn Mpwayungu voice 😂!
Naona Mwalimu saivi ametingwa na mitihani ataendelea badae...😊!
Nimekuja dear asanteBantu Lady hivi ushapita hapaa??? Aaliyyah njoo uone mambo ya mwalimu soka hukuuu!
Gilbertnakushtua nasubiri itembee
Nambie. .Gilbert
Utaniita akiweka mkuuNambie. .
nakushtua pamoja sana😀Utaniita akiweka mkuu
.Nimeshatuma episode ya 4
Ni kwa sababu ni mambo ya Kiroho/yanahusisha roho hivyo ikiyatafsiri kimwili huwezi pata jibu utaona kama ni hadithi..Kumbe sio ni kitu kipo halisi kabisa.Haya mambo ya uchawi huwa yamekaa km ngano tu . Mim mpaka siku nishuhudie mtu akipita katikati ya ukuta ndio nitaamini
Fungua pm basi upendo huu utafikaje kwako kama pm unafungausome basi, au unasubiri hadi iishe [emoji4]