Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijafurahi mtunzi kuondoka Kwani kulikuwa na mengi ya kujifunza. Wapeni watunzi space wafanye yao then mtauliza maswali. Pia nyie watunzi hii mambo ya itaendelea ndio inaleta yote haya mjitahidi kuandaa story zenu zikikamilika Mnatupia tu mz
Unatatizo hujui tuuMi naenjoy mnavyokasirika hivi na kutokwa na mapovu. Nataka mnichukie na mchukie sana. Naenjoy. Its my pleasure.... Bring some more
Jaribu kua mstaarabu Mkuu hata kama tunatumia id fake! Sijuagi nafsi yako haikusuti ww😭😭Punguza kimbelembele umalaya wa JF hauna faida mwanamke. Una kimbelembele sana.
Mwenye uzi tumechat mpaka kueleweshana. Wewe kinuka mkojo unawashwa na kupita pita mbele za wanaume wa watu. Ungeona mwenyewe alivyo positive na kukubali criticism kistaraabu ungejishtukia. Msipende kudandia mambo yasiyo wahusu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mwl. njoo ushushe nondo, achana na mambo ya kuandaa lesson plan
[emoji13][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]WA liwale tupo hapaTumeshawasili tunataka challenge na sisi wa MkunyaView attachment 2630642
Punguza kimbelembele umalaya wa JF hauna faida mwanamke. Una kimbelembele sana.
Mwenye uzi tumechat mpaka kueleweshana. Wewe kinuka mkojo unawashwa na kupita pita mbele za wanaume wa watu. Ungeona mwenyewe alivyo positive na kukubali criticism kistaraabu ungejishtukia. Msipende kudandia mambo yasiyo wahusu.
Bila shaKa utamrudisha mfu duniani[emoji28]
Duuh pole sana aisee, nilikuwa nikifika pale Nangurukulu roho inaniuma mpk basi.[emoji13][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]WA liwale tupo hapa
Nahisi ni story
Katika adiko umesema
1. Ulivua bangili Ili wachawi wasikugundue, ( na ndo lilikuwa likikusaidia kuona vya rohoni) lkn mara ukaona yule mchawi anaingia (ulimwonaje huku umevua bangili?)
2. Kama sikosei unasema mganga wako alikupeleka Siku chache zilizopita (tena mara Moja) kuona kilinge Cha wachawi. Sasa wewe
a) Ulipata wapi ujasili wa kushindana na mchawi mkuu ingali unasiku chache ndo umeanza kuviona
b) Je mda huo mfupi unatosha kuwatambua wachawi waliokuwepo huko Tena wamevaa kichawi halafu ukawatambua msibani mchana wakiwa wamevaa nguo za kawaida (halafu Kwa mda huu wewe ulikuwa mgeni kijijini hapo).
3. Unasema uliwakuta mwl mkuu na wanafunzi wamelazwa nje? Ok sawa.
a) Hivi ni rahisi Kwa mgeni wa kuona mambo hayi, eti ukabaki shuleni Kwa ujasili huo ( Tena mwajiliwa mpya!!!?)
This is BIG NO
....................
Labda hebu tuchukulie hii ni story kama story zingine.
Nitaelezea hii story ya maisha yangu ya Kwamsisi niliishi ndani ya muda mfupi si zaidi ya miezi mitatu nikiwa kama mwalimu, kwa mwenye kuamini atafuatilia uzi huu kama hamuamini siwezi kuwalazimisha.
Habari, nimepata PM nyingi za wadau juu ya hii hadithi, kuanzia kesho nitaiendeleza, Angalizo: napokea positive criticsm na ushauri.
Itakuwa jambo jema!Habari, nimepata PM nyingi za wadau juu ya hii hadithi, kuanzia kesho nitaiendeleza, Angalizo: napokea positive criticsm na ushauri.
Kumbe Upo.Kuna jamaa alianzisha Thread Kueleza Maisha Yake Ya Ujambazi,Tukashangaa Kimya Sijui Baada ya Kufika Episode ya 8 Nafkiri Sasa cjui Alienda kuiba wakampiga chumaHabari, nimepata PM nyingi za wadau juu ya hii hadithi, kuanzia kesho nitaiendeleza, Angalizo: napokea positive criticsm na ushauri.
Unajua kuwa jamiiforums ni jukwaa la greater thinkers! (Miongoni mwa Sifa ya greater thinker ni kufanya analysis na evaluation ya taarifa).Mambo mengine msichukulie serious ivo mtapata vijiba vya roho bure someni kish am furahi na nyoyo zenu
Huna akili wewe kama unataka unachokitaka ungekitafuta na usifikiri kila unachotaka kila mtu anakipenda kama haijakupendeza unatulia unaendelea na mada nyingine kwani majukwaa mengine yamefungwa? Hadi ukomae huku?Unajua kuwa jamiiforums ni jukwaa la greater thinkers! (Miongoni mwa Sifa ya greater thinker ni kufanya analysis na evaluation ya taarifa).
Sasa mtu anaulizwa tu eti anajikinai.
Analazimisha tukubali Kuwa story yake ni true based story, wakati inamaswali mengi ambayo yanaacha alama za kujiuliza.