Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Unatakiwa kujibu hoja ya msingi usikurupuke mbona maelezo yangu hapo yanajieleza. kama watumishi wa Mungu ni nini wajibu wako hasa unaowafanya waitwe viongozi wa dini? Je wamekuwa viongozi wa Siasa? Au ndo maana siku hizi wanasiasa wengi wametoka makanisani kuitwa wachungaji mpaka wabunge nk. Mkuu wanatakiwa kutimiza wajibu wao wa kuhubiri neno la Mungu (Ndo maana YESU alivyotaka kupaa kwenda mbinguni aliwaambia wafuasi wake (wanafunzi) kuwa enedeni duniani kote mkawahubiri watu na atakae amini mtambatiza kwa jina la Baba, Mwana na roho mtakatifu) na si vinginevyo. Hayo matatizo yaliyomo makanisani wewe huyaoni? kila siku wachungaji na Mapadri wanakamatwa ugoni, mbona sijasikia wakitoa waraka wa kupinga hayo? Au kwako wewe jambo baya ni KATIBA tu na hayo mengine (uashereati, uzinzi, uongo, wizi, kutopendana baina ya viongozi wa dini moja na nyingine) ni kawaida kwa watumishi wa Mungu?

Sasa suala la kutengeneza katiba si la kisiasa tu, linajumuhisha nyanja zote mpk din, wa wap ww?
 
Unatakiwa kujibu hoja ya msingi usikurupuke mbona maelezo yangu hapo yanajieleza. kama watumishi wa Mungu ni nini wajibu wako hasa unaowafanya waitwe viongozi wa dini? Je wamekuwa viongozi wa Siasa? Au ndo maana siku hizi wanasiasa wengi wametoka makanisani kuitwa wachungaji mpaka wabunge nk. Mkuu wanatakiwa kutimiza wajibu wao wa kuhubiri neno la Mungu (Ndo maana YESU alivyotaka kupaa kwenda mbinguni aliwaambia wafuasi wake (wanafunzi) kuwa enedeni duniani kote mkawahubiri watu na atakae amini mtambatiza kwa jina la Baba, Mwana na roho mtakatifu) na si vinginevyo. Hayo matatizo yaliyomo makanisani wewe huyaoni? kila siku wachungaji na Mapadri wanakamatwa ugoni, mbona sijasikia wakitoa waraka wa kupinga hayo? Au kwako wewe jambo baya ni KATIBA tu na hayo mengine (uashereati, uzinzi, uongo, wizi, kutopendana baina ya viongozi wa dini moja na nyingine) ni kawaida kwa watumishi wa Mungu?

1. Hili swali kamuulize mwenyekiti wako JK aliyewasiasisha mashehe na mapadre na kuwaingiza kwenye BMK.
2. Sasa kwa kuwa mapdre wanabaka na Mashehe wanalawiti wanafunzi wao wa madrasa na kisha kuwaua na kutoweka hiki ndicho kigezo kitakachofanya waislamu wasitetee maslahi yao kwenye katiba au wakristo wasikemee maovu ya CCM yako? Mbona hueleweki mkuu? Unatetea nini hapa hasa? Suala lilikuwa waislamu na wakristo (kama mabaraza ya katiba) kutetea na kusimamia maoni ya waumini wao. Sasa suala la mahubiri na maadili ya mapadre na wachungaji linaingiaje kwenye hoja hii? Kwani katiba inakataza mashehe na mapadre kushiriki siasa? Hebu nipe hicho kifungu kinachowanyima fursa hiyo.
 
kuna taarifa kwamba vatican imeamuru mh sita asimamishwe kushiriki komunio,mpaka pale atakapokanusha maneno ya kebehi dhidi ya maaskofu.
 
1. Hili swali kamuulize mwenyekiti wako JK aliyewasiasisha mashehe na mapadre na kuwaingiza kwenye BMK.
2. Sasa kwa kuwa mapdre wanabaka na Mashehe wanalawiti wanafunzi wao wa madrasa na kisha kuwaua na kutoweka hiki ndicho kigezo kitakachofanya waislamu wasitetee maslahi yao kwenye katiba au wakristo wasikemee maovu ya CCM yako? Mbona hueleweki mkuu? Unatetea nini hapa hasa? Suala lilikuwa waislamu na wakristo (kama mabaraza ya katiba) kutetea na kusimamia maoni ya waumini wao. Sasa suala la mahubiri na maadili ya mapadre na wachungaji linaingiaje kwenye hoja hii? Kwani katiba inakataza mashehe na mapadre kushiriki siasa? Hebu nipe hicho kifungu kinachowanyima fursa hiyo.
Una Kazi kweli kwa kubishana na huyo msukule wa magamba mwenye ubongo uliodumaa,amekaririshwa uongo mwingi mno kichwani mwake na magamba
 
Sasa suala la kutengeneza katiba si la kisiasa tu, linajumuhisha nyanja zote mpk din, wa wap ww?

Nipe kifungu au andiko ndani ya biblia au koran linalowapa viongozi wa dini uhalali wa kushiriki hiyo mijadala ya wanasiasa
 
Una Kazi kweli kwa kubishana na huyo msukule wa magamba mwenye ubongo uliodumaa,amekaririshwa uongo mwingi mno kichwani mwake na magamba

ONLY LANGUAGE UNDERSTOOD BY THE KILLERS LIKE WAANDAMANAJI IS THE LANGUAGE OF FORCE
Msukule mama yako aliyekuweka duniani. sina hakika kama wewe una baba yawezekana baba ni mwenyekiti wa chama fulani kwa sababu anatabia ya kuzaa ovyo
 
Huyo wala hatusumbui, muda utasema!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
kuna taarifa kwamba vatican imeamuru mh sita asimamishwe kushiriki komunio,mpaka pale atakapokanusha maneno ya kebehi dhidi ya maaskofu.


get your facts right ..... sio unaleta upotoshaji na habari za uongo hapa

sitta na vatican wapi na wapi wakati sitta ni member wa KKKT! ..... kama hujui kitu uliza uelimishwe sio unatuletea ujinga wako hapa wa kutokwenda shule!
 
Nipe kifungu au andiko ndani ya biblia au koran linalowapa viongozi wa dini uhalali wa kushiriki hiyo mijadala ya wanasiasa

Aisee we jamaa kichwa kigumu, nshakwambia kutengeneza katiba hawamo wanasiasa tu, kuna wanaowakilisha wakulima, wafugaji, wachimba migodi, nk. Ndio maana limeitwa bunge maalum, af acha kukalili biblia, nioneshe kwny biblia au kuran wap wameandika wanasiasa ndo washiriki kwenye mijadala ya siasa???
 
Unajua ww ishu hizi za katiba si jambo la kisiasa mpuuzi ww, ndo ccm walivyokufundisha eh
Kwahiyo katiba Ni jambo la kidini washenzi wakubwa nyie eti mnatoa waraka ili nani afuate. Na waislamu nao wakitoa waraka itakuaje wewe na viongozi wako ndio mnafikiria kwa kutumia masaburi wapuuzi nyie.serikali haiendeshwi na viongozi WA dini tena mfunge midomo yenu puu..mba.vu
 
Wewe ndugu mimi nasali hayo makanisa sisemi kitu nisichona uhakika nacho,,,!! Hakuna mchungaji wakumuwajibisha 6 unajua ni.Mzee wa KANISA pale kinondoni Mzee wakanisa kwenye vikao hapatikani lkn kila Mwaka wanamchagua unajua.kwanini,,,!! makanisani nw tunawaska TONGE wakawaida tu,,,!!
Ok sikatai. Mie pia nasali makanisa hayo. Ila pengine hapo Kinondoni wako hivyo.
 
Amesema kweli sitta, nyaraka hizo ni za kipuuzi sana. Si kila kinachopelekwa huko ni ufunuo. Kila siku tunasikia viongozi hao wa dini mara wamebaka, wamefumaniwa nk. Tatizo viongozi wa dini wanajiona wanamamlaka ya kimungu yaani wao hawakosolewi ila wao wakikosoa sawa. Nasema tena ni upuuzi mtupu.
 
ukisema ukweli si laana usiposema ukweli utapata laana sita kasema ukweli

ni ukweli gani aliosema wee mse**e, usichangia tu bila kutetea hoja yako kwa ufasaha-unatujazia uchafu kwenye uzi bila sababu yoyote ya msingi wewe mw**hu!
 
Back
Top Bottom