Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta ana laana! kamtelekeza Mama yake mzazi na ndugu zake itakuwa Watanzania? kwao alipozaliwa amegoma kujenga nyumba kwa roho mbaya ili ndugu zake wakose pa kuishi, ni jitu hatari sana kama Ebola!
 
Aisee huyu jamaa hasiachwe, kwa upande wa kanisa langu nalosali kabla padri ya kusoma tulisali sala ya Nasadiki "nasadiki na mambo yote linalofundisha kanisa katoliki" akasema jaman eh c mnasadik na mambo yote ambayo tunafundshwa akafungua barua akaanza kusoma waraka wa kusitisha bunge maalaum ulioandaliwa na umoja wa makanisa, leo mshe nzi huyu SAMWEL SITTA anatuita sisi wapuuzi simuachi
 
Kama Ni upuuzi usisemwe kwa sababu walioyasema hayo maneno ni viongozi wa dini? Acheni unafiki.

Acha kufikiri kwa kutumia makalio, kumbuka viongozi wa dini hawakukurupuka, tuoneshe ni upuuzi upi na unafiki upi uliopo kwenye waraka?
 
Hai viongozi WA dini kwa mamlaka ipi walio nayo kuanza kuingilia masuala ya siasa kwanza nauliza mambo ya mungu yameanza kuwashinda sasa naona hats Mimi nasema waliyoongea Ni upuuzi

Unajua ww ishu hizi za katiba si jambo la kisiasa mpuuzi ww, ndo ccm walivyokufundisha eh
 
Huyu bwana nimemchukia sana. Hana adabu kwa wapakwa mafuta wa Mungu.
 
Mod please usifikirie hata kuunganisha hii.

Kweli dunia imeisha, sitta mwenyekiti wa bunge la katiba lililokosa uhalali kutokana na kutekwa na chama cha mapinduzi ni ulimi umekuteleza au shetani kakuingia mpk ukaamua kusema nyaraka zinazo somwa makanisani kuhusu mchakato wa katiba mpya ni upuuzi mtupu hazina utukufu.

Sitta Samuel uliteuliwa na nani hapa duniani kupima waraka wa viongozi wetu wa dini kua zina utukufu au la !!!!?

je viongozi wetu wa dini hawana mamlaka wa kukemea uovu unaoendelea dodoma??

nijibu sitta.

Waulizeni hao viongozi wenu wanaojiita wa dini watuambie ni lini YESU aliingiza mambo ya Kaisari kwenye mahubiri yake? kazi kubwa waliyonayo ni kuwahubiri watu njia iliyonyoofu ya kwenda kuuona ufalme wa mbingu na si matakwa ya wanasiasa. Ndo maan kipindi cha Mwalimu hakuna kiongozi wa dini aliyekuwa kiherehere kutoa matamko ambayo yako kidunia zaidi. Ndo maana YESU alivyotaka kupaa kwenda mbinguni aliwaambia wafuasi wake (wanafunzi) kuwa enedeni duniani kote mkawahubiri watu na atakae amini mtambatiza kwa jina la Baba, Mwana na roho mtakatifu. hakuna sehemu aliyowaambia enendeni duniani mkatengeneze au kushauri watu kupinga au kuhoji kuhusu KATIBA ya nchi husika. Mbona wanashindwa kukemea maovu yanayoendelea makanisani kama vile uashereati, uzinzi, uongo, wizi, kutopendana baina ya viongozi wa dini moja na nyingine. Walichobakiza sasa ni matamko ya kila siku na nyaraka zizokuwa na mwisho. Wanaona vibanzi vya wengine wakati wao wana bolt kubwa ndani ya maco yao. Badilikeni Mungu anachukizwa na hayo matendo yenu. Ndo maana sasa hivi kiongozi wa dini amekuwa mtu wa kawaida kabisa. Wanasiasa wanawatumia vibaya.
 
SITTA cheo ulichonacho ni cha mwisho ubunge hupati na URAISI ndio huna sifa siunaona hata 5 bora ya wana CCM hutajwi Mzee BMK limekumaliza

Wapinzani wenzake katika mbio za Urais akina mzee mamvi wamemtwisha gunia la misumari ambalo litamamaliza kabisa kisiasa. Ndio baaaasi tena!
 
Waulizeni hao viongozi wenu wanaojiita wa dini watuambie ni lini YESU aliingiza mambo ya Kaisari kwenye mahubiri yake? kazi kubwa waliyonayo ni kuwahubiri watu njia iliyonyoofu ya kwenda kuuona ufalme wa mbingu na si matakwa ya wanasiasa. Ndo maan kipindi cha Mwalimu hakuna kiongozi wa dini aliyekuwa kiherehere kutoa matamko ambayo yako kidunia zaidi. Ndo maana YESU alivyotaka kupaa kwenda mbinguni aliwaambia wafuasi wake (wanafunzi) kuwa enedeni duniani kote mkawahubiri watu na atakae amini mtambatiza kwa jina la Baba, Mwana na roho mtakatifu. hakuna sehemu aliyowaambia enendeni duniani mkatengeneze au kushauri watu kupinga au kuhoji kuhusu KATIBA ya nchi husika. Mbona wanashindwa kukemea maovu yanayoendelea makanisani kama vile uashereati, uzinzi, uongo, wizi, kutopendana baina ya viongozi wa dini moja na nyingine. Walichobakiza sasa ni matamko ya kila siku na nyaraka zizokuwa na mwisho. Wanaona vibanzi vya wengine wakati wao wana bolt kubwa ndani ya maco yao. Badilikeni Mungu anachukizwa na hayo matendo yenu. Ndo maana sasa hivi kiongozi wa dini amekuwa mtu wa kawaida kabisa. Wanasiasa wanawatumia vibaya.

Mkuu, kichwa chako kinafikiri anticlockwise! Ni nani aliyemtuma Shehe Jongo kwenda kuililia CCM bungeni au maasakofu wachumia tumbo kama Mtetemela kwenda bungeni kuitetea CCM? uNadhani ni kwa nini bunge la katiba linajumuisha watu wa dini? Kwa taarifa yako, wale wanadini wametumwa mle kuwatetea waumini wao (kama raia wengine). Ni bahati mbaya kwamba baada ya kufika bungeni wamenogewa na laki 3 za CCM na kuwasahau wanachi waliowatuma kuwawakilisha. Sioni kwanini viongozi wa dini wasipaze sauti baada ya wawakilishi wao kutekwa na CCM. Wewe ulitaka Kikwete asiwajumuishe watu wa dini kwenye BMK? Kwanini? Unamlaumu Kikwete kwa kuwateua wachumia tummbo hawa au unawalaumu wachumia tumbo kwa kuwasahau watu walioenda kuwawakilisha ndani ya BMK? Bado sijakuelewa kabisa mkuu.
 
siamini kama Sitta anaweza kusema maneno kama haya..........kweli madaraka yanalevya
 
Waulizeni hao viongozi wenu wanaojiita wa dini watuambie ni lini YESU aliingiza mambo ya Kaisari kwenye mahubiri yake? kazi kubwa waliyonayo ni kuwahubiri watu njia iliyonyoofu ya kwenda kuuona ufalme wa mbingu na si matakwa ya wanasiasa. Ndo maan kipindi cha Mwalimu hakuna kiongozi wa dini aliyekuwa kiherehere kutoa matamko ambayo yako kidunia zaidi. Ndo maana YESU alivyotaka kupaa kwenda mbinguni aliwaambia wafuasi wake (wanafunzi) kuwa enedeni duniani kote mkawahubiri watu na atakae amini mtambatiza kwa jina la Baba, Mwana na roho mtakatifu. hakuna sehemu aliyowaambia enendeni duniani mkatengeneze au kushauri watu kupinga au kuhoji kuhusu KATIBA ya nchi husika. Mbona wanashindwa kukemea maovu yanayoendelea makanisani kama vile uashereati, uzinzi, uongo, wizi, kutopendana baina ya viongozi wa dini moja na nyingine. Walichobakiza sasa ni matamko ya kila siku na nyaraka zizokuwa na mwisho. Wanaona vibanzi vya wengine wakati wao wana bolt kubwa ndani ya maco yao. Badilikeni Mungu anachukizwa na hayo matendo yenu. Ndo maana sasa hivi kiongozi wa dini amekuwa mtu wa kawaida kabisa. Wanasiasa wanawatumia vibaya.

Sasa mkuu kama ndiyo hivyo wale viongozi wa dini walipo mjengoni wanafanya nini huko?? Kwa maelezo yako unasema hakuna mahali Yesu aliwaambia wakatunge katiba au kupinga!!

Mkuu viongozi wa dini kama hujui ni watu wa kawaida tu kama mimi na wewe sio miungu. Wanaishi hapa duniani na wanahusika kwa 100% na yanayotokea hapa duniani likiwemo hili la katiba. Wamezaliwa hapahapa duniani hakuna aliyeshuka kutoka mbinguni.

Wao ni sehemu ya wanachi wa nchi hii na hata dini na waumini wao wanatambuliwa na katiba. Huwezi ukawatenga na katiba kama vile wao wanaishi mbinguni!!

Hayo maovu unayosema wanashindwa kukemea sijui ni yapi. kama wewe ni mpagani huendi kanisani wala msikitini utasikiaje wakikemea?? Hata huo wizi wa fedha za watz unaofanywa Dodpma na BMP bado nao hujasikia wakikemea??

Unaposema Yesu hakuingiza mambo ya Kaisari kwenye mahubiri yake sio kweli kwani alijibu swali lililohusu kumlipa kodi Kaisari na akasisitiza kodi ilipwe. Vinginevyo asingejibu swali aliloulizwa kuhusu kodi! Angewaabiwa hayo ni ya kaisari mkamalizane naye huko hayanihusu.

Tambua jambo moja mkuu, ukiwa hapa duniani ya kaisari na ya Mungu yote yanakuhusu!
 
amesema ukweli viongozi wa nyanja zote za kiserkali bila kuvikemea taasisi zote za dini na taasisi zisizo za kiserikali zitavipanda kichwani serikali
tatizo ni kwamba serikli hii ni dhaifu saana na haina moral authority ya kunyooshea kidole viongozi wetu wa dini
 
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.

Huyu mzee nilishawahi kukaa pale jimboni kwake Urambo. Kuna tetesi sio RAIA. Mshindani wake anahoji Sitta atuonyeshe shangazi na baba zake.
 
Waulizeni hao viongozi wenu wanaojiita wa dini watuambie ni lini YESU aliingiza mambo ya Kaisari kwenye mahubiri yake? kazi kubwa waliyonayo ni kuwahubiri watu njia iliyonyoofu ya kwenda kuuona ufalme wa mbingu na si matakwa ya wanasiasa. Ndo maan kipindi cha Mwalimu hakuna kiongozi wa dini aliyekuwa kiherehere kutoa matamko ambayo yako kidunia zaidi. Ndo maana YESU alivyotaka kupaa kwenda mbinguni aliwaambia wafuasi wake (wanafunzi) kuwa enedeni duniani kote mkawahubiri watu na atakae amini mtambatiza kwa jina la Baba, Mwana na roho mtakatifu. hakuna sehemu aliyowaambia enendeni duniani mkatengeneze au kushauri watu kupinga au kuhoji kuhusu KATIBA ya nchi husika. Mbona wanashindwa kukemea maovu yanayoendelea makanisani kama vile uashereati, uzinzi, uongo, wizi, kutopendana baina ya viongozi wa dini moja na nyingine. Walichobakiza sasa ni matamko ya kila siku na nyaraka zizokuwa na mwisho. Wanaona vibanzi vya wengine wakati wao wana bolt kubwa ndani ya maco yao. Badilikeni Mungu anachukizwa na hayo matendo yenu. Ndo maana sasa hivi kiongozi wa dini amekuwa mtu wa kawaida kabisa. Wanasiasa wanawatumia vibaya.

Sasa mkuu kama ndiyo hivyo wale viongozi wa dini walipo mjengoni wanafanya nini huko?? Kwa maelezo yako unasema hakuna mahali Yesu aliwaambia wakatunge katiba au kupinga!!

Mkuu viongozi wa dini kama hujui ni watu wa kawaida tu kama mimi na wewe sio miungu. Wanaishi hapa duniani na wanahusika kwa 100% na yanayotokea hapa duniani likiwemo hili la katiba. Wamezaliwa hapahapa duniani hakuna aliyeshuka kutoka mbinguni.

Wao ni sehemu ya wanachi wa nchi hii na hata dini na waumini wao wanatambuliwa na katiba. Huwezi ukawatenga na katiba kama vile wao wanaishi mbinguni!!

Hayo maovu unayosema wanashindwa kukemea sijui ni yapi. kama wewe ni mpagani huendi kanisani wala msikitini utasikiaje wakikemea?? Hata huo wizi wa fedha za watz unaofanywa Dodpma na BMP bado nao hujasikia wakikemea??

Unaposema Yesu hakuingiza mambo ya Kaisari kwenye mahubiri yake sio kweli kwani alijibu swali lililohusu kumlipa kodi Kaisari na akasisitiza kodi ilipwe. Vinginevyo asingejibu swali aliloulizwa kuhusu kodi! Angewaabiwa hayo ni ya kaisari mkamalizane naye huko hayanihusu.

Tambua jambo moja mkuu, ukiwa hapa duniani ya kaisari na ya Mungu yote yanakuhusu!
 
Sio kweli. KKKT kama wameona Sitta kakosea na ni muumini wao lazima ataadhibiwa tuu. Hayo mengine ni yako wewe.

Wewe ndugu mimi nasali hayo makanisa sisemi kitu nisichona uhakika nacho,,,!! Hakuna mchungaji wakumuwajibisha 6 unajua ni.Mzee wa KANISA pale kinondoni Mzee wakanisa kwenye vikao hapatikani lkn kila Mwaka wanamchagua unajua.kwanini,,,!! makanisani nw tunawaska TONGE wakawaida tu,,,!!
 
Mkuu, kichwa chako kinafikiri anticlockwise! Ni nani aliyemtuma Shehe Jongo kwenda kuililia CCM bungeni au maasakofu wachumia tumbo kama Mtetemela kwenda bungeni kuitetea CCM? uNadhani ni kwa nini bunge la katiba linajumuisha watu wa dini? Kwa taarifa yako, wale wanadini wametumwa mle kuwatetea waumini wao (kama raia wengine). Ni bahati mbaya kwamba baada ya kufika bungeni wamenogewa na laki 3 za CCM na kuwasahau wanachi waliowatuma kuwawakilisha. Sioni kwanini viongozi wa dini wasipaze sauti baada ya wawakilishi wao kutekwa na CCM. Wewe ulitaka Kikwete asiwajumuishe watu wa dini kwenye BMK? Kwanini? Unamlaumu Kikwete kwa kuwateua wachumia tummbo hawa au unawalaumu wachumia tumbo kwa kuwasahau watu walioenda kuwawakilisha ndani ya BMK? Bado sijakuelewa kabisa mkuu.

Unatakiwa kujibu hoja ya msingi usikurupuke mbona maelezo yangu hapo yanajieleza. kama watumishi wa Mungu ni nini wajibu wako hasa unaowafanya waitwe viongozi wa dini? Je wamekuwa viongozi wa Siasa? Au ndo maana siku hizi wanasiasa wengi wametoka makanisani kuitwa wachungaji mpaka wabunge nk. Mkuu wanatakiwa kutimiza wajibu wao wa kuhubiri neno la Mungu (Ndo maana YESU alivyotaka kupaa kwenda mbinguni aliwaambia wafuasi wake (wanafunzi) kuwa enedeni duniani kote mkawahubiri watu na atakae amini mtambatiza kwa jina la Baba, Mwana na roho mtakatifu) na si vinginevyo. Hayo matatizo yaliyomo makanisani wewe huyaoni? kila siku wachungaji na Mapadri wanakamatwa ugoni, mbona sijasikia wakitoa waraka wa kupinga hayo? Au kwako wewe jambo baya ni KATIBA tu na hayo mengine (uashereati, uzinzi, uongo, wizi, kutopendana baina ya viongozi wa dini moja na nyingine) ni kawaida kwa watumishi wa Mungu?
 
Sitta ana laana! kamtelekeza Mama yake mzazi na ndugu zake itakuwa Watanzania? kwao alipozaliwa amegoma kujenga nyumba kwa roho mbaya ili ndugu zake wakose pa kuishi, ni jitu hatari sana kama Ebola!

Kwao wapi?
 
Back
Top Bottom