Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Angalieni huyu jamaa anaweza kuishia kuwa shujaa wa TAIFA... Unless Wazanbar wamuangushe...

Taarifa ni kwamba tayari wazanzibari wamemkana kabla hata jogooo. Hajawika.Yametimia yaliyonenwa Na UkAwa kwamba akidi haipo
 
Siyo ya kipuuzi tu Bali no ya kijinga kabisa.


Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.
 
Mzee TUPA TUPA hakuna kitu km hicho hivi unajua Wanasiasa wanaabudiwa sana huko maKANISANI mfano mzuri ni hapo KINONDONI LUTHERANI anaposali karibu viongozi wote pale wanamuona km MUNGU wao,,,!! Sababu watu wa humo kanisani wakiwa na ukaribu na Watu wa Serikali wanajihis km wako Dunia nyingine fuully upuuzi,,,!
Sio kweli. KKKT kama wameona Sitta kakosea na ni muumini wao lazima ataadhibiwa tuu. Hayo mengine ni yako wewe.
 
Sitta anataka kukwepesha wananchi kumshughulikia aliyeharibu mchakato wa katiba , yeye anadhani kwa kusema hayo watu wataamishia hasira zao kwake, la hasha wananchi wameishamtabua adui wao....! Wanasubiri muda muafaka wamshughulikie.
 
Sitta siyo mtu msafi, wengine tulisema mapema kuwa hafai hata kuwa mwenyekiti lakini sijui watu walilewa nini;
amekunywa maji ya bendera hawezi kwenda tofauti hata siku moja.

DADANGU nafasi ya viongozi wa dini ni kubwa sana katika jamii, suala la kuchinja WASIRA alipoenda na kulikoroga NYEHUNGE mambo yalipoharibika walikimbilia kwa hawahawa viongozi wa DINI ambao leo ni wapuuzi.
 
Kwanini wasimvue mapema, nakumbuka mwaka 2010 sumbawanga mjini baada ya wakatoriki kushirikiana na gamba Aeshi kukashifu kanisa katoriki walitimuliwa watu zaidi ya 200 bila kujari hadhi zao, wengine siku hizi wanaomba kurudi wanapewa mafundisho maalum na kulala altareni huku wakiomba toba Mungu niye awasamehe
 
Paulo Makonda Ni Mshenzi Na Mpumbavu Sana, Kasema Anapiga Kura Ya Ndiyo Kwa Katiba Eti Kwa Niaba Ya Vijana Wote Wa Tanzania, Huu Ni Uongo Mjinga Makonda Nani Kakutuma Upige Kura Kwa Niaba Yetu Vijana??, Wakati Wewe Uko Bungeni Kwa Niaba Ya Tumbo Lako Na Mkeo Mpumbafu Wewe.
 
arfi kaamua kujitoa unafikuna kwa kusema ukweli wa moyoni mwake kwamba kura yake ni SIYOOOOOOOOO.
Nampongeza sana kwa ushujaawake
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yesu wangu..!!yaani huyu sita anadiriki kusema maneno ya mungu ni upuuzi?.

MUNGU amsamehe bure hajui afanyalo ccm wote wana laana za kudharau maoni ya wanachi MUNGU atawahukumu wote
 
Paulo Makonda Ni Mshenzi Na Mpumbavu Sana, Kasema Anapiga Kura Ya Ndiyo Kwa Katiba Eti Kwa Niaba Ya Vijana Wote Wa Tanzania, Huu Ni Uongo Mjinga Makonda Nani Kakutuma Upige Kura Kwa Niaba Yetu Vijana??, Wakati Wewe Uko Bungeni Kwa Niaba Ya Tumbo Lako Na Mkeo Mpumbafu Wewe.

hata mimi nimemsikia kijana mwe.hu sana.
 
Paulo Makonda Ni Mshenzi Na Mpumbavu Sana, Kasema Anapiga Kura Ya Ndiyo Kwa Katiba Eti Kwa Niaba Ya Vijana Wote Wa Tanzania, Huu Ni Uongo Mjinga Makonda Nani Kakutuma Upige Kura Kwa Niaba Yetu Vijana??, Wakati Wewe Uko Bungeni Kwa Niaba Ya Tumbo Lako Na Mkeo Mpumbafu Wewe. Makonda Mshamba Na Mpuuzi Kabisa, Alaaniwe Na Afe Kesho J4.
 
Kuna ulevi wa aina nyingi duniani: Pombe kali, bia, bange, miraa, gongo, tambuu, mirungi, sigara etc. Lakini nasema Hakuna ulevi mbaya kuliko "ULEVI WA MADARAKA"
 
Paulo Makonda Ni Mshenzi Na Mpumbavu Sana, Kasema Anapiga Kura Ya Ndiyo Kwa Katiba Eti Kwa Niaba Ya Vijana Wote Wa Tanzania, Huu Ni Uongo Mjinga Makonda Nani Kakutuma Upige Kura Kwa Niaba Yetu Vijana??, Wakati Wewe Uko Bungeni Kwa Niaba Ya Tumbo Lako Na Mkeo Mpumbafu Wewe.

Pumbafu zake
 
Maendeleo ya nchi hii yanapitua wakati mgumu sana kutokana na aina ya wananchi iliyonao...

kweli kabisa ila big show katiba ni nzurii mnoo imegusa muktaza wote tena imeona mahitaji ya dini zote nimeelezwa na chaburuma masheik kama jongo wanaikubali mnoo ...... Mambo mengine tutazidi kuyaboresha aisee tumewakumbuka mpaka wakulima wa korosho ...... Hii katiba ni mwarobaini wa matatizo ya watanzania. Ccm hoyeeeeeeeeeeeeee. Hakika ccm ndo tanzania na apingayeee hatutakii mema
 
Back
Top Bottom