Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

kwa hili sitarajii viongozi wa makanisa yote nchini kukaa kimya Hata akina askofu mtetemela Sitta ni lazima aseme nyaraka zipi za makanisa ni za kipuuzi na ni makanisa yapi na yalitoa nyaraka hizo wapi HATUWEZI KUWA NA WAKRISTO WANAOKASHIFU MADHABAHU LA si hivyo tuone Mungu wa SITA na Mungu wetu yupi Mkubwa....

OOoh MECA! SIO KILA ANAYEJIITA KWA MFANO WA MAJINA YA KIKOLONI KWAMBA NI MKISTO ... SITA NI MWABUDU SHETANI KAMA CCM WOTE WALIVYO. SITA MUNGU WAKE YUPO KWENYE VIBUYU...... TUACHANE NA HILO KATIBA BORA IMEPATIKANA HAYA SEMA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
sita ndiye mpuuzi wala hafai kuwa kiongozi kwa namna yoyote. kukataa maoni ya wananchi yaliyokusanywa na tume ya jaji Warioba yeye sita ni mpuuzi kuliko wengine.
 
Kama Ni upuuzi usisemwe kwa sababu walioyasema hayo maneno ni viongozi wa dini? Acheni unafiki.
 
Tusubiri jumapili ifike ili maaskofu, mapadre na wachungaji watubainishie hizo nyaraka za kipuuzi.Haiwezekani kabisa.Kumbe kila jumapili tunaenda kanisani kusikiliza neno la faraja kumbe ni nyaraka za kipuuzi.
Wasipotusomea,itatubidi tuzitafute na kuzichoma moto.
Swali ninalojiuliza.Ni nyaraka za mitume au zipi hizo? Na tangia lini zimeanza kusomwa?
 
Laana ya katiba imeanza kumtafuna;

UNAFIKI NI KITU KIBAYA SANA KATIKA MAISHA NI HUYUHUYU SITA ALIENDA KWA VIONGOZI WA DINI KUTAKA WAWASHAURI UKAWA WARUDI BUNGENI, NI HUYUHUYU SITA ALIKUWA AKIZUNGUKA KWENYE MAKANISA KUWASHUKURU VIONGOZI HAOHAO ANAOITA WARAKA WAO NI WAKIPUUZI BAADA YA MWAKYEMBE KUPONA, leo hii ndio shukurani yake kwao.
 
oooh meca! Sio kila anayejiita kwa mfano wa majina ya kikoloni kwamba ni mkisto ... Sita ni mwabudu shetani kama ccm wote walivyo. Sita mungu wake yupo kwenye vibuyu...... Tuachane na hilo katiba bora imepatikana haya sema kidumu chama cha mapinduzi
kigumu chama cha mahafidhina
 
sijawahi kuona upuuzi ukisomwa kwenye nyumba ya ibada
 
ni wale ambao JK aliogopa kuwataja ....... wauza madawa I mean.... wana ccm.....
 
Sita Mkatoliki tangu lini? Hapana.
Halafu hii habari itakushushia hadhi i guess....

HUU NDIO UMBUMBU WA WATANZANIA KUPOKEEA NA KULISHWA UONGO SITA AMEKULIA MOROVIAN BALI ALIHAMIA LURTHELAN SO KWA KUMTAZAMA SIO MKIRISITO WALA NINI HUYU NI MCHUMIA TUMBO. .... SITA HANA TOFAUTI NA KAFIRI YEYOTE MAAANA HANA MUNGU. ILA KATULETEAA KATIBA BORA KAMA ALIVYOAGIZWA NA KAMATI KUU CCM HOYEEEEEE. Cc Mungi
 
UNAFIKI NI KITU KIBAYA SANA KATIKA MAISHA NI HUYUHUYU SITA ALIENDA KWA VIONGOZI WA DINI KUTAKA WAWASHAURI UKAWA WARUDI BUNGENI, NI HUYUHUYU SITA ALIKUWA AKIZUNGUKA KWENYE MAKANISA KUWASHUKURU VIONGOZI HAOHAO ANAOITA WARAKA WAO NI WAKIPUUZI BAADA YA MWAKYEMBE KUPONA, leo hii ndio shukurani yake kwao.
SITA NI MNAFIKI TUUUU UZURI NENO LA MUNGU ALIYE HAI AMBAYE SITA AWATUKANA MASIHI WAKE LINASEMA. ....... WANAFIKI HAWANA SEHEMU KATIKA UFALME wa MUNGU ILA MTUMISHI HUYU WA SHETANI SITA KALETA KATIBA BORAAAAA
 
Sitah leo kalikoroga,
Pinder nae anatuzingua waislam,na hao waloafikiana nae wakirud mtaan sijui watawaambiaje waislam
 
Hai viongozi WA dini kwa mamlaka ipi walio nayo kuanza kuingilia masuala ya siasa kwanza nauliza mambo ya mungu yameanza kuwashinda sasa naona hats Mimi nasema waliyoongea Ni upuuzi
 
hili zee limeshachanganyikiwa...ndio maana linaacha mke masaki linahamia kinondoni kwa changu na lipua lake kama exhaust ya gari la kunyonya mavi

Hahahahaaa......Usiombe Waliokupenda Wakakuchukia....

BACK TANGANYIKA
 
Biblia ilikuwepo kabla hata ya uislam kuwepo kwahiyo haina kifungu au neno linalotamka mahakama ya kadhi wala mtume mohammad ila quraan inautambua uwepo wa ukristu kwani iliandikwa wakati ukristu ulishaota mizizi.

kasome tena biblia yako
 
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.

Tusisahau kuwa kuna Wafalme Wakuu na watawala mahiri walimtusi Mungu na kuwatukana manabii/wahubiri wake, na kilichowapata wengine hawatasahau...walianza kutokwa na mafunza puani na kwingineko wakiwa bado hai wanatembea...! Sasa huyu dubu Sitta -6, anao uimara gani na uthabiti gani wa kuwadharau na kuwapuuza viongozi wa dini??....anawadhalilish kwa faida ya wananchi gani? sio waumini wa dini hizo?....Ole wake 6, bila shaka lipo tukio kuu linamnyemelea...nalo lipo njiani...labda ni kudondokwa na mafunza, kuanzia piani na machoni ambayo yalikwishamvimba!
 
Back
Top Bottom