Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

sasa wameanza kukashifu hadi waumin na viongozi wao??

Kweli laana ya walalahoi ikikukumba inaleta mchanganyiko wa akili.

Sitta mwisho wako sio mwema.

kweli kabisa ila big show katiba ni nzurii mnoo imegusa muktaza wote tena imeona mahitaji ya dini zote nimeelezwa na chaburuma masheik kama jongo wanaikubali mnoo ...... Mambo mengine tutazidi kuyaboresha aisee tumewakumbuka mpaka wakulima wa korosho ...... Hii katiba ni mwarobaini wa matatizo ya watanzania. Ccm hoyeeeeeeeeeeeeee. Hakika ccm ndo tanzania na apingayeee hatutakii mema
 
Mkuu Sita hasali katoliki, yupo KKKT, tena ni msharika Kijitonyama na baadae Msasani. Nimeshangaa sana kauli aliyoitoa, kweli mzee huyu kachanganyikiwa, kila anaempinga yeye anamuona mpuuzi, kweli amefikia ukingoni

Sahihi sana Mkuu. Ni makosa ya uandishi tu.

Mzee Tupatupa
 
Sam Sitta Ni Mtumwa Wa Shetani, Amelaaniwa Akalaanika Huyu Mzee Wa Urambo, Mikono Yake Imejaa Damu Huyu Mpumpafu.
 
Safari mzigo mzito umemwelemea Mnyamwezi Sitta, sio ajabu asifike pwani, ama akifika pwani atakuwa 'mbendembende'
 
Ni kweli huyu mzee ni Mlutheri anasali Kinondoni Ananasifu. Kusema kweli hakutakiwa kabisa kusem maneno hayo. Hata hivyo huyu mzee neno upuuzi huwa anapenda sana kulitumia.

Kwa hiyo anataka kutuaminisha kuwa huo waraka ni wa kipuuzi na sisi tunaousikiliza pia ni wapuuzi?
 
.........Adhabu ya juu ya kikanisa ni kufungiwa sakramenti na visakramenti........!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mkuu hebu fafanua hapo kwenye hiyo bolded and red. Mi sijajua una maanisha nini?
 
Huo Waraka Hata Hao Viongozi Wake Wa Kirutherani Wameshiriki Kuuandaa, Hivyo Hataweza Kupona Huyo Shetani, Hata Huko Mtaani Angekuwa Anajichanganya Ningemtoboa Macho Kwa Bisibisi Au Kombeo.
 
kwa hili sitarajii viongozi wa makanisa yote nchini kukaa kimya Hata akina askofu mtetemela Sitta ni lazima aseme nyaraka zipi za makanisa ni za kipuuzi na ni makanisa yapi na yalitoa nyaraka hizo wapi HATUWEZI KUWA NA WAKRISTO WANAOKASHIFU MADHABAHU LA si hivyo tuone Mungu wa SITA na Mungu wetu yupi Mkubwa....
 
Mtoa mada wewe ni MZUSHI hakuna kitu kama hicho kanisani,lete source ya habari yako.
Kufuatia kauli yake ya leo katika BLK kuwa Waraka unaosomwa makanisani juu ya katiba mpya kuwa ni wa kipuuzi, Mwenyekiti wa BLK Samwel Sitta kuadhibiwa kikanisa. Habari toka KKKT anakosali Sitta zinaonesha kuwa adhabu hiyo iko njiani.

Viongozi wa kanisa wameitafsiri kauli hiyo kama kauli iliyojaa kiburi na dharau kwa viongozi wa juu wa kikanisa walioandaa Waraka huo ambao Sitta ameuita upuuzi. Adhabu ya juu ya kikanisa ni kufungiwa sakramenti na visakramenti.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Baada ya BMK Leo kuanza kupiga Pinda awaomba waislamu wakubali rasmi kuwa mahakama ya kadhi haiwezekani kuwekwa ndani ya katiba hapa hekima na busara imetumika
Ilitaifa lijengwe vema dini mbili hizi kubwa zishirikiane kujenga waumini wake pamoja kuwa walinzi Wa Amani ya taifa letu Tanzaniauh

sasa hapo sehemu aliomaliza iwapi?
 
inawezekana sitta yuko sahihi maana haya makanisa mengi yako kibiashara zaidi na ni heri alivyosema yeye sio wa kutoka dini nyengine.
sita hayuko sahihi maana makanisa aliyoyatisi sio ya kilokole bali yale aliyoyakimbilia wakati alipojiona mpambanaji. ...... Ila katiba boraaa katuleteaaa ache matusi tu atuliee apewe tuzo maaana ezingatia maagizo yote ya cc. Kumbuka ccm ni baba mwenye nyumba hakuna wa kukataaa iwe makanisani au misikitini huko kote tumewashika. Ccm kidume imeweza kuilinda na kuipigania katiba pendwa. Jamani tuelezane ukweli ccm babalao, uliza cdm uliza nnccr, uliza cuf moto wa ccm hakuna auwezaye. Kwa taarifa yako hakuna mwanaume wa kupinga yaani hata shetani mwenyewe babayake sita anaiogopa ccm ...... Katiba itapita upende usipende upige kula usipige katiba inapita
 
hizi siasa za vichochoroni ni hatari kwa hiyo ukawa watawapa waislamu mahakama ya kadhi
 
Na bado tusubiri siku si nyingi ataanza kutembea na bukta mitaani!!!!!
 
leo sitta anawaita viongozi wa dini ni wapuuzi?
 
Back
Top Bottom