makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 883
Mod please usifikirie hata kuunganisha hii.
Kweli dunia imeisha, sitta mwenyekiti wa bunge la katiba lililokosa uhalali kutokana na kutekwa na chama cha mapinduzi ni ulimi umekuteleza au shetani kakuingia mpk ukaamua kusema nyaraka zinazo somwa makanisani kuhusu mchakato wa katiba mpya ni upuuzi mtupu hazina utukufu.
Sitta Samuel uliteuliwa na nani hapa duniani kupima waraka wa viongozi wetu wa dini kua zina utukufu au la !!!!?
je viongozi wetu wa dini hawana mamlaka wa kukemea uovu unaoendelea dodoma??
nijibu sitta.
Kwa mimi mtaalam wa Afya kwa kutumia elimu yangu, naona 6 yuko katika hatua za mwisho za kupata shambulizi kubwa la ugonjwa akili, na kama kura hizi hazitakuwa kama anavyofikiria mwaka huu hauishi kabla hajalazwa hospitali kama si kwenda kwa waganga wa jadi kabisa au nje ya nchi kwa matibabu.