Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

nashindwa kukoment sababu sijui maongezi yake kwa ujumla tunaweza kumwonea bure
 
Nyaraka zilizoandaliwa na Jukwaa la Wakristo kuhusu upuuzi wa BMK ni sahihi. Viongozi wa dini wana jukumu kubwa kuonesha ukweli unaotuweka huru.
Huyo Sitta awaombe radhi viongozi wa dini. Hawezi kuwaita wapuuzi kwani kusema kwao ukweli ni wajibu wao kitaifa (kizalendo).

Sitta na chama chake wanayaishi yale yapaswayo kutokea. Mnyoo unaposhambulia mmea huanzia ndani na ukishashambulia na kuteketeza ndani ndipo mmea huanza konekana dhaifu na hatimaye kunyauka. CCM imetafunwa kwa ndani na sasa ni dalili za nje zinaanza kuonekana.
 
Kuna mambo yanachijihirisha wazi sasa hivi...Sitta sio kiongozi mzuri
 
Wakristo wanatukanwa na Serikali ya Kikwete kwa kumtuma Sitta kuja kuwatukana wakristo, kwa hili Wakristo tukikaa kimya tutakuwa hatujalitetea jina la kristo.

Hizi dhihaka za ccm dhidi ya wakristo hazijaanza leo, huu ni uhuni mkubwa wa CCM kwa wakristo, ninaamini Wakristo hasa kanisa katoliki hawatakaa kimya dhidi ya kauli na matusi haya......

Hofu yangu ni kwa kanisa langu la kkkt sijui wana agenda gani na ccm, wapo kimya tu hata wakristo wakidhihakiwa, Askofu wangu Dr. Alex Malasusa tafadhali tokezea hadharani kemea huu uhuni wa maccm, achana na fedha na michango ya Lowassa hazitupeleki mbinguni. Kumbuka waumini wako ndiyo sisi tunaopigania haki na ukweli wa nchi yetu, unapopiga kimya tunakufikiria tofauti
 
Inawezekana sitta yuko sahihi maana haya makanisa mengi yako kibiashara zaidi na ni heri alivyosema yeye sio wa kutoka dini nyengine.
 
Kufuatia kauli yake ya leo katika BLK kuwa Waraka unaosomwa makanisani juu ya katiba mpya kuwa ni wa kipuuzi, Mwenyekiti wa BLK Samwel Sitta kuadhibiwa kikanisa. Habari toka KKKT anakosali Sitta zinaonesha kuwa adhabu hiyo iko njiani.

Viongozi wa kanisa wameitafsiri kauli hiyo kama kauli iliyojaa kiburi na dharau kwa viongozi wa juu wa kikanisa walioandaa Waraka huo ambao Sitta ameuita upuuzi. Adhabu ya juu ya kikanisa ni kufungiwa sakramenti na visakramenti.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Hili la katiba na Sitta ni sawa na lile..''heri mzigo ufike na Punda afilie mbali'
 
Samwel Six Ni Mnyamwezi Mpumbafu Kabisa, Nadhani Anayemfuatia Kwa Uhuni Na Ujinga Ujinga Wa Uzeeni Ni Ishamael Ragee Wa Tbr.
 
Mjumbe wa Bunge la Katiba kutoka Zanzibar, Sheikh Thabit Kombo ameizika rasmi Mahakama ya Kadhi kwa kusema kwamba waislamu hawaitaki Mahakama ya Kadhi. Kwa hiyo hakutakuwepo Mahakama ya Kadhi kama ambavyo waislamu wengi walivyokuwa wakitarajia.

Kulikuwa na taarifa kwamba wakristo wangepiga kura ya hapana endapo Mahakama ya Kadhi yangeruhusiwa kuwemo kwenye katiba mpya. Kwa kauli hii ya Sheikh kombo naona CCM wamefanikiwa kuwarubuni wajumbe wa katiba walio waislamu ili kuwanyima waislamu fursa ya kuwa na Mahakama ya Kadhi. Tuseme kwamba huu ni ushindi kwa wakristo au ni unafiki wa wajumbe wanaowakilisha waislamu bungeni?

Nawashauri waislamu tuliopo uraiani tuikatae katiba hii ya CCM isiyokuwa na Mahakama ya Kadhi. Kitendo cha Sheikh Kombo kukubali kurubuniwa na CCM na kuikataa Mahakama ya Kadhi kitasababisha mgawanyiko mkubwa sana miongoni mwa waislamu na kitaleta chuki dhidi ya wajumbe waislamu waliomo kwenye bunge la katiba.


sijaelewa hapo kwenye aya ya kwanza, naomba uweke quotation mark ili nijue maneno alioyasema yanaanzia wapi na kuishia wapi.
 
hili zee limeshachanganyikiwa...ndio maana linaacha mke masaki linahamia kinondoni kwa changu na lipua lake kama exhaust ya gari la kunyonya mavi
 
Ni kauli za kejeli, matusi na dharau kutoka kwa CCM, kupitia mwenyekiti wa bunge la katiba Samwel Sitta, na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.

Kauli ya Pinda ya kuwadharau waislamu na kuwaambia kuwa Mahakama ya Kadhi haina nafasi kwenye katiba, bila kufafanua kwa kina ni dhahiri CCM wameamua kuwadharau waislamu.

Kauli ya Samwel Sitta kutamka kwamba waraka unaosomwa makanisani ni waraka wa kipuuzi, ni dhahiri Sitta ameamua kuwatukana wakristo, ameamua kumtukana Yesu Kristo!

Kwa hili tunasema Wakristo popote mlipo amkeni lindeni heshima ya kanisa, lindeni heshima ya Kristo!
 
Mkuu Sita hasali katoliki, yupo KKKT, tena ni msharika Kijitonyama na baadae Msasani. Nimeshangaa sana kauli aliyoitoa, kweli mzee huyu kachanganyikiwa, kila anaempinga yeye anamuona mpuuzi, kweli amefikia ukingoni
 
Sita Mkatoliki tangu lini? Hapana.
Halafu hii habari itakushushia hadhi i guess....
 
Back
Top Bottom