Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

amesema ukweli viongozi wa nyanja zote za kiserkali bila kuvikemea taasisi zote za dini na taasisi zisizo za kiserikali zitavipanda kichwani serikali

Ni kweli kabisa ila pia na viongozi wa kiserikali nao wapunguze kutumia taasisi za kidini kama platform ya kuongelea issue za serikali ambazo ni complicated kwenye jamii nzima maana kuna mheshimiwa mmoja aliwahi kuchafua hali ya hewa sehemu mpaka akapewa muda ambao ungetumika kujadili katiba mpya afafanue kile alichosema kanisani, na hii tabia imeshaanza kuisha tukifanya mchezo itakuwa ngumu
 
Asante sana ndugu SAMUEL SITA , MUNGU AKUPE NINI TENA MKUU ? TUMEKUSIKIA KWA MASIKIO YOTE , WOTE TUNAFAHAMU KWAMBA MUNGU HAKUUMBA HELA BHANA , ALIUMBA MBINGU NA ARDHI TU .
 
SITA NI MPANGO WASHETANI ASIPO KEMEWA NCHI ITAANGAMIA. TOKA SHETANI SITA USHINDWE NA ULEGEYE TOKA SHETANI SITA :flame:
 
mimi nalia na gazeti la Mwananchi kwasababu limekuwa likimpamba kwa kipindi kirefu Sitta kama vile ni kiongozi mzuri wakati sio kweli, sijui Mwananchi wana ajenda gani naye.
Kikwete aliwahi kusema viongozi wa dini wakizungumza nchi inatetemeka, alafu yeye anatoa kauli hii ya dharau, hakika huyu ameishiwa.
 
Kuna haja Rais ajaye, aje awachukue watu kadhaa na kuwapeleka kwenye Mahakama ya Kijeshi.

Tafadhali, hapo sijaandika nani aende..............
Ondoa shaka mkuu. Mahakamani watakwenda japo si ya kijeshi.
 
Sitta siyo mtu msafi, wengine tulisema mapema kuwa hafai hata kuwa mwenyekiti lakini sijui watu walilewa nini;
amekunywa maji ya bendera hawezi kwenda tofauti hata siku moja.

UNAFIKI NI KITU KIBAYA SANA KATIKA MAISHA NI HUYUHUYU SITA ALIENDA KWA VIONGOZI WA DINI KUTAKA WAWASHAURI UKAWA WARUDI BUNGENI, NI HUYUHUYU SITA ALIKUWA AKIZUNGUKA KWENYE MAKANISA KUWASHUKURU VIONGOZI HAOHAO ANAOITA WARAKA WAO NI WAKIPUUZI BAADA YA MWAKYEMBE KUPONA, leo hii ndio shukurani yake kwao.
 
Kufuatia kauli yake ya leo katika BLK kuwa Waraka unaosomwa makanisani juu ya katiba mpya kuwa ni wa kipuuzi, Mwenyekiti wa BLK Samwel Sitta kuadhibiwa kikanisa. Habari toka KKKT anakosali Sitta zinaonesha kuwa adhabu hiyo iko njiani.

Viongozi wa kanisa wameitafsiri kauli hiyo kama kauli iliyojaa kiburi na dharau kwa viongozi wa juu wa kikanisa walioandaa Waraka huo ambao Sitta ameuita upuuzi. Adhabu ya juu ya kikanisa ni kufungiwa sakramenti na visakramenti.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Mzee TUPA TUPA hakuna kitu km hicho hivi unajua Wanasiasa wanaabudiwa sana huko maKANISANI mfano mzuri ni hapo KINONDONI LUTHERANI anaposali karibu viongozi wote pale wanamuona km MUNGU wao,,,!! Sababu watu wa humo kanisani wakiwa na ukaribu na Watu wa Serikali wanajihis km wako Dunia nyingine fuully upuuzi,,,!
 
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.
Mzee Sitta amechoka kabisa kimawazo. Bora tu amepewa hiyo nafasi ili tutambue uwezo wake. Ni zero full.
 
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.
Waislamu waliomba wawe na mahakama ya kadhi mwaka 2005 wakadanganywa kuichagua CCM kwanza, wakaidai tena 2009 wakapigwa chenga na 2010 JK akawaambia akichaguliwa ataipitisha, alivyopita chaliii!


Leo 2014 wameiweka pending mpaka mwakan ili mpitishe katiba ya CCM ikipita 2015 January waliyowaahidi mtapigwa chenga msubiri uchaguzi mkuu ujao. Hiyo imekuwa ajenda yao ili waislam mlio wengi muendelee kuipa kura CCM. Ni bora wangetamka kama haipo tu ili ijulikane moja.


Sheikh kasema bungeni kuwa maneno ya Pinda hayafutiki. Sasa kama alikuja na siasa hapo January asije kuwalaumu waislam. Waislam kuweni wapole na wenye subira na wakristo tuweni watulivu. La msingi madai yetu au shida zetu zisiwe mtaji wa siasa zao maCCM.
 
Huyo mzee SITTA anazeeka vibaya. Nadhani laana ya uchakachuzi wa KATIBA ya wananchi imeanza kumtafuna.
 
Nakubaliana na Mh Sitta kuwa baadhi ya nyaraka zinazosomwa zimejaa upuuzi
 
sijaelewa hapo kwenye aya ya kwanza, naomba uweke quotation mark ili nijue maneno alioyasema yanaanzia wapi na kuishia wapi.

Sijam-quote bali nimeripoti alichokisema. Reported speech haina quotations!
 
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.

Haki ya nani hawezi kututukania maaskofu wetu walioenda shule! Kama maaskofu ni wapuuzi, basi yeye Sitta ni M.ku.ma.ni.na kabisa!!
 
Huyu mnyamwezi mwenzangu kapoteza direction ya hii nchi na hata ya kwake mwenyewe. Halafu anataka kuwa head of state wa hii nchi,you just lost it my home boy

Oohps!! Mi nilidhani ya kaisari apewe kaisari! aaah! ya kaisari kumbe leo hadi kwa Mungu? Looh!
 
SITTA cheo ulichonacho ni cha mwisho ubunge hupati na URAISI ndio huna sifa siunaona hata 5 bora ya wana CCM hutajwi Mzee BMK limekumaliza
 
Kama unajua kwamba hayo maneno ni NUSU maana yake ni kwamba unayajua yote....sasa unachotaka ni nini? Husikii Katibu wako KINENA na vuvuzera NEPI wamesema kwamba katiba mpya siyo hitaji la wananchi? Hitaji la wananchi ni usenge na upuuzi wa CCM yako, mchumia tumbo mkubwa!
View attachment 189149

asante KWA PICHA NZURI MKUU .
 
Back
Top Bottom