Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Sitta: Nyaraka zinazosomwa makanisani ni za kipuuzi

Aliyeweka huzi huu aache unafiki make Mhe Samuel Sitta hajataja popote kanisa Katholic.Yeye alisema wahumini wenzangu inabidi tuwe na tahadhari kwa baadhi ya nyaraka zinazosomwa kanisa zinakuwa hazina Utukufu wa Mungu.Ila tuangalie wanajamvi wenzangu ule waraka kwa lugha hile ni lugha ya kidini?ni vyema tukawa makini sana kwa nyaraka hizi.
 
Kwahiyo katiba Ni jambo la kidini washenzi wakubwa nyie eti mnatoa waraka ili nani afuate. Na waislamu nao wakitoa waraka itakuaje wewe na viongozi wako ndio mnafikiria kwa kutumia masaburi wapuuzi nyie.serikali haiendeshwi na viongozi WA dini tena mfunge midomo yenu puu..mba.vu

Pu mba vu baba ako wa kambo
 
Aliyeweka huzi huu aache unafiki make Mhe Samuel Sitta hajataja popote kanisa Katholic.Yeye alisema wahumini wenzangu inabidi tuwe na tahadhari kwa baadhi ya nyaraka zinazosomwa kanisa zinakuwa hazina Utukufu wa Mungu.Ila tuangalie wanajamvi wenzangu ule waraka kwa lugha hile ni lugha ya kidini?ni vyema tukawa makini sana kwa nyaraka hizi.
 
Nilshasema Mzee Sita ataishia pabaya kisiasa, nilianzisha thread kabisaaaaa, ngoja niitafute

hebu ifufue tuisome mkuu. 6 ameingiliwa na pepo mbaya kichwani mwake.
 
Yeye Six ndiye mpuuzi anayepuuza maoni na maamuzi ya wananchi.
 
Ok sikatai. Mie pia nasali makanisa hayo. Ila pengine hapo Kinondoni wako hivyo.

Ndg yangu labda unipe mfano wa kiongozi yyt mLUTHERI aliefanya ujinga kisha akapewa onyo labda ktk usharika unaosali,,!! Naweza nickubishie lkn sharika nyingi upuuz huo upo mwingi Ukitaka uamini Bunge likiisha cku atakayoenda kusali nami ntajitahidi kwenda pale then ntakwambia kitakachoendelea km haitaangushwa SARA yakufa mtu ili wabaya wake kiSIASA waaibike ntakupa mfano mmoja,,Kipindi cha Richmond Askofu,,Mwamasika alikuja Usharikani kwetu aliongea jambo lakijinga tangu cku ile nimemDHARAU hadi sasa hivi,,,!! so nayafaham maDhaifu ya hao wanaoitwa Viongoz wa DINI fully kujigonga,,,,
 
Sitta amesema hizo nyaraka siyo za kiroho na hazina baraka za Mungu
 
nashindwa kukoment sababu sijui maongezi yake kwa ujumla tunaweza kumwonea bure

mkuu, mwaga comment yako hapa. huyo mzee ni kweli katamka maneno hayo na nilimsikia kwa masikio yangu binafsi bila kushurutishwa na mtu yeyote. dhambi ya uchakachuaji wa katiba ya wananchi imemwelemea.
 
Utii wa kanisani ni mkubwa kuliko wa kisiasa.Watu wengi wanaamini kuwa Mungu atakuja kuwaokoa na si wanasiasa watakuja kuwaokoa.
 
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba,Samweli Sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) Sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".Huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo Tanzania(CCT) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee Sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na Taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.Mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.
Mkuu, hii ndiyo tabia ya WATAWALA.
 
nashauri walio karibu na sita wamkanye na aombe radhi.mategemeo yangu kama si kesho basi kesho kutwa tutasikia tamko la wale waliotoa la wakristo kama kweli walikuwepo
 
Kwenye kitabu cha dini mtume mmoja anaongelea habari ya uasi, akisema hakuna kiongozi atakayeshindwa kuangalia mambo ya walio wengi, maskini na akafanikiwa. actually pale anapoanza kuonyesha moyo wake uliojaa kiburi kwa kudharau mambo ya walio wengi, ni ishara ya anguko la mwenye kiburi ni anguko kubwa. Kama sitta hakushitakiwa na mkewe magret au wale ndugu za mke wake mdogo aliyekwenda kwake kama mtoto wa their closest family friend enroute kwenda kujiunga na mafunzo ya uwalimu akaishia kupewa mimba na baba mwenye nyumba, basi safari hii anashitakiwa na sisi direct kwa mungu aliyetuumba. I have very low opinion about this person na kujikomba kwake kwa ajili ya cheo. Kwa nini harudishi nyumba ya U speaker, CCM hawamuwezi kwa kuwa ni wanafiki ila utawala ujao hili la nyumba yas spika tunataka liwekwe kwenye manifestro
 
mwenyekiti wa bunge la katiba,samweli sitta,bila haya wala kumungunya maneno,amethubutu kusema baadhi nyaraka zinazosomwa makanisani ni upuuzi kabisa.

Akiwakaribisha wageni ambao ni waumini wa makanisa bwana(sidhani kama anafaa kuitwa mheshimiwa) sitta amesema na hapa namnukuu "muwe waangalifu huko makanisani kwani baadhi nyaraka zinazosomwa huko ni za kipuuzi".huenda sijanukuu maneno yote kwa usahihi ila kikubwa amesema nyaraka hizo ni za kipuuzi!

Wadau,nafikiri wote mnankumbuka waraka wa jumuiya ya kikiristo tanzania(cct) uliokuwa unasomwa makanisani na waraka huo ulikuwa unapinga kuendelea kwa bunge hilo.

Sasa mdau tafakari mwenyewe mzee sitta alikuwa anaongelea nyaraka gani na utapata jibu alafu jiulize mwenyewe athari ya kaulu kama hiyo kwa mchakato huu na taifa kwa ujumla.

Alafu,hivi kila mwenye kuvaa suti na kuwa na mnvi anastahili kuwa kiongozi?

Mods,naomba msiunganishe huu uzi ila watu waelewe na waone alichosema.mods nawasihi hii kauli isimame peke yake.

hizo ni mada zilizopitwa na wakati hakuna haja ya kuzileta humu ndani, lete hoja mpya ujibiwe, kwani hakutolea ufafanuzi hayo maneno? Au unajiskia kuibua hoja za kizamani zamani?
 
6 kavimbiwa na pesa za wizi ndio mana anaropoka km kichaa
 
Back
Top Bottom