Hii tuhuma nzito. Sishangai kama aliweza kuukana umri wake basi hata kuua anawezaBibi bomba alimuua mtoto wake wa kumzaa kwa sh. Million 18
SOON I WILL WRITE TO MISS WORLD, KUWA SHE LIED ABOUT HER AGE...na KAMATI YA MISS Tanzania, wanapata amri ya kudhibitisha umri wake sahihi....maana huu ni mchezo mchafu, bibi kabisa anachaguliwa Miss....wtf..!!
Taji alivishwa mbele ya umati ilibidi aitishe press conf. atangaxe kujivua, taji halivuliwi mitandaoni, mitandao ingekuwa kama next step au kueleza kusudio hilo.
Lundenga jamani huoni aibu??? mambo gani umefanya we mzee? hivi nje ya miss Tz huna shughuli nyingine???? mbona umewatia aibu wazee wa umri wako?
Enzi hizo za mababu hawakua na vyeti vya kuzaliwa lakini walikuepo watoto,vijana,wakubwa na wazee! unajua ni kwa nini???
Tafakari na uchukue hatua haraka
Waliodanganya elimu waliitwa kihiyo. Kuanzia sasa wanaodanganya umri wataitwa 'sitti'. Wote kutoka temeke!!
mama ako ana kopo nini? kilaza wewe unamtetea siti huwa mnasagana nini?! hata ukimtetea mwisho wake miss world yote hayo yatajulikana pumbavu zako! na ukome kutukana matusi makubwa kama hayo kwenye mitandao ya kijamii, komaa!Nasema naomba jiheshimu k,u,u,ma,a wewe
Mpunga je???
Mpunga urudi mkuu, maana huu ni uongo wa mchana, kwenda US ndo atufanye watz ma bogus?
mama ako ana kopo nini? kilaza wewe unamtetea siti huwa mnasagana nini?! hata ukimtetea mwisho wake miss world yote hayo yatajulikana pumbavu zako! na ukome kutukana matusi makubwa kama hayo kwenye mitandao ya kijamii, komaa!
Safar hii mkuu lundenga kachemka.
Punga wewe! Umejiunga lini JF? Read between the lines! My msg was a lamenting kwa huyu anayejifanya sitti. Najua wanataka tuache kusaka ujinga wake ili apumue! Mkuu sikuwa na maana ingine falaa wewe!