Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Sio kweli mbona mimi langu halijajengewa kwa nakshi wakati ni mwema?
msilete utani kwenye masuala kama haya kuna jamaa yangu aliletaga utani kama huu,baada ya wiki jamaa alikula pilau la nyama ya kuku baadae akashushia juisi safi ya baridi.Sio kweli mbona mimi langu halijajengewa kwa nakshi wakati ni mwema?
Ukifa inabidi tukakufukie tu kama mzoga wa mbwaHuwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Mchango kujengea kaburi?? Aisee umaskini mbaya sana..Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Wewe huna akili timamu au utoto unakusumbua au umeaminishwa hivyo na dini zako,endelea!Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Dah! Umasikini ni kitu kibaya sana. Kwani huwa unachangia shilingi ngapi kwa mwaka kwenye ujenzi wa hayo makaburi, kiasi cha kuja kulalamika humu jukwaani?Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Endelea kuwaza Simba na Yanga mda woteAwamu hii nenda kafanye tena usafi, ukirudi tu unaamia Simba
REKEBISHA UZI SASA,,NA UFANYE KUULIZA KAMA SWALI KWAMBA JE KUJENGEA KABURI KUNA MAANA YOYOTE ILE?Binadamu tumeumbiwa makosa
Mtu mchoyo kila kitu hua anakitafutia sababuMawazo ya mtu mwenye roho mbaya na maskini ndo yako hivyo kuona kujengea makaburi ni kitu kibaya. Wewe hata kwenye maisha ya kawaida inaonekana huchangiagi chochote.
Mwenye roho mbaya ni wewe, mtu amekufa bado unamrundikia matofali, mawe na marumaru juu kumchosha zaidi.Mawazo ya mtu mwenye roho mbaya na maskini ndo yako hivyo kuona kujengea makaburi ni kitu kibaya. Wewe hata kwenye maisha ya kawaida inaonekana huchangiagi chochote.
Sikupingi..Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Sijawahi soma comment ya kijinga kama hii yako tangu nijiunge JF. Hongera sana kwa kuweza kuwa mjinga wa karne.Mwenye roho mbaya ni wewe, mtu amekufa bado unamrundikia matofali, mawe na marumaru juu kumchosha zaidi.
Unajengea kaburi ili iweje....?Hata siku ukifa wasijenge kaburi lako etii!!
Adui Ujinga na Umasikini bado ni tishio kwa Taifa letu.