Siungi Mkono Kujengea makaburi

Siungi Mkono Kujengea makaburi

Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.

Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Nyie ndio wale mnaosemaga kujenga kijijin ni ujinga.
 
Huna tofaut na mtu anaeuliza kwann watu wanapaua nyumba kwa mabati ya msouth, kwani wakitumia mabati ya kawaida itakuaje?

ni uamuzi tu, ni sawa na wewe uamue panda dala dala mwenzako atapanda mwendokasi mwingine atapanda piki piki mwingine ata request UBER na Wapo watao panda PRIVATE JET.

Usipangie matumizi hela za watu boss, kama umeamua kunywa chai kwenye kikombe cha plastic wenzio wanatumia vikombe vya Udongo kausha.
 
Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.

Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Kuffirana ndo ujinga zaid
 
Kutokana na changamoto ya Idadi ya watu inayoongezeka kila siku suala la kujengea makaburi haliepukiki.

  • Makaburi yanayohudumiwa (Tunzwa kwa kujengewa) hubaki kama alama, hivyo watu wengine watashindwa kuvamia hilo eneo la makaburi na kufanya shughuli nyingine za kiuchumi Juu yao kuliko linapokuwa limetelekezwa
  • Makaburi yanayotunzwa hutumika kama baraka, kuna watu huenda kujengea makaburi sambamba na kuomba mafanikio yao ama hata uponyaji wa maradhi yanayowasumbua.
  • Upendo dhidi ya Mpendwa wao. Kuhudumia makaburi huwa ni ishara ya mapenzi kwa mpendwa wao aliyelala hata kama tunajua hawezi kufufuka leo ama kesho
  • Zoezi zima la kujengea makaburi hufanya wanandugu waliobaki hai kuendelea kushikamana, kwani ndiyo fursa ya kukaa pamoja kwa kipindi kifupi kwani kutokana na changamoto ya utafutaji wa maisha wengi huishi mbali mbali
  • Huambatana na sara la Dua, hivyo hufanya wale walio hai kuwa na tafakuri juu ya maisha ya Ahera hivyo kumrudia Muumba.
Wengine endeleeni kutaja faida za kujengea makaburi
 
Huna tofaut na mtu anaeuliza kwann watu wanapaua nyumba kwa mabati ya msouth, kwani wakitumia mabati ya kawaida itakuaje?

ni uamuzi tu, ni sawa na wewe uamue panda dala dala mwenzako atapanda mwendokasi mwingine atapanda piki piki mwingine ata request UBER na Wapo watao panda PRIVATE JET.

Usipangie matumizi hela za watu boss, kama umeamua kunywa chai kwenye kikombe cha plastic wenzio wanatumia vikombe vya Udongo kausha.
Utafika mbali
 
Kwakua umeandika, huelewi faida ya kujengea kaburi, hukupaswa kuwaona wajinga kwa wanaojengea, bali mjinga ni wewe, usiona faida za kujengea hata zile zilizo wazi, kaburi ni kumbukumbu, ila kwa kizazi kijacho maeneo ya makaburi yatakua maeneo ya historia kwao.
Kwa hiyo sababu za kujengea ni kumbukumbu pia kwa ajili ya kaibada Fulani! Ni sawa , ila wengine wanapamba mno, wengine kaburi linakuwa kana ghorofa. Kwa nini isiwekwe alama simple tu,?
Fikra zao siyo sawa na zako, ndiyo maana ya tofauti hiyo.
 
Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.

Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Uislamu umekataza hili miaka mingi sana japo baadhi ya waislamu wanafnya haya mambo na dini ikishakataza lazima kuna kitu apo imekiona

Ardhi yetu ni ndogo sana percent kubwa ya dunia ni maji kufa uzikwe uoze wengine waje kuzikwa hapo hapo
 
Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.

Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Hata mimi nashangaa sana maana zamani tulikuwa tunazika zizini ng'ombe wakanyage kila kitu kipotee
 
Kujengewa ni Alama mkuu...Usipojenga lazima vitukuu na vilembwe hawatajua babu yao alzikwa wapi.
 
Wakijua Babu yao alizikwa pa

Ndio kujengewa kaburi?
Tafutaa Helaa ndugu yanguu..!! Hayo mambo ni ya kawaidaa tuu kujengea kaburi la Baba yako unaona sio sawaa unataka azikwe kama umefukiaa Mbwaaa???
 
Back
Top Bottom