Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Unaripoti tokea wapi🙆Sio kweli mbona mimi langu halijajengewa kwa nakshi wakati ni mwema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaripoti tokea wapi🙆Sio kweli mbona mimi langu halijajengewa kwa nakshi wakati ni mwema?
Ungeenda jando na kufundishwa mila na desturi ungejua umuhimu na faida zakeHuwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Actually hata kujadili makaburi ni UJINGAHuwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
Hahaha!!Sema ukiwa na pesa .
Hata majambazi wanotoka familia zenye pesa wana makaburi mazuri sana
Hata pale alipozikwa malkia wa Uingreza ni sehemu ya maana sana.kwenye majumba yaliyojengewa vzuri mithili ya nyumba kubwa ,,mfano misri
Sio mapapai hayo watauza wapate hela na wewe hutaki hela, waambie wajenge choo cha publicMaeneo ya makaburi yakijaa ( Kama hekari 100) tupande mazao tu.
Mimi tayari nimeacha maelezo kuwa, kaburi langu wapande hata mpapai.
View attachment 2725291
Wewe huwezi kuwa na faida huku duniani ndio maana nimekushauri juu ya kaburi lako pajengwe choo cha publicWakishajua alipozikwa babu yao, ni faida gani itapatikana..?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sasa kama ni mbolea situwe tunaikatiakatia juu ya mimea kwa nn kuanza kuchimba mahandakiMiili yet ni mbolea kwenye ardhi, ujenzi wa nini?
Hata pale alipozikwa malkia wa Uingreza ni sehemu ya maana sana.
Hao ni wanafiki na kwa ambao sio wanafiki?Wanafki bwana
Yaani marehemu sometime kafa kwa kukosa huduma kam chakula na madawa
Kisa hana pesa yakununulia
Afu akifa mnamjengea kaburi la mamilioni sasa si uboya huu
Binadamu tumeumbiwa kaunafki flaniHao ni wanafiki na kwa ambao sio wanafiki?
Kichwa kisicho na history au kumbukumbu ni sawa na marehemu anae tembea.Huwa sielewi nini faida ya kujengea makaburi ingawa Huwa nashiriki. Ndugu wanagombana kisa michango, tunaingia gharama hadi kukopa kwa ajili hiyo.
Hakuna thamani inayoongezeka baada ya kufukiwa. Binadamu tunapuyanga katika hili.
KwaniniKuffirana ndo ujinga zaid
Kwahiyo alipozikwa Mohammad ni ruhusa kwenda kuchimba ili azikwe mwingine?Uislamu umekataza hili miaka mingi sana japo baadhi ya waislamu wanafnya haya mambo na dini ikishakataza lazima kuna kitu apo imekiona
Ardhi yetu ni ndogo sana percent kubwa ya dunia ni maji kufa uzikwe uoze wengine waje kuzikwa hapo hapo