Siungi mkono wanaomtukana Rais Samia!

Siungi mkono wanaomtukana Rais Samia!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Tabia ya binadamu huwa ni ya ajabu.
Ukimuokoa mtu toka mtoni, halafu kule mbele ya safari mtu huyo akipata shida basi bado anaweza kukutusi, akisahau kabisa kuwa nafasi hiyo ya kutusi anaitumia vibaya maana asingefanya hivyo, kama asngevuka mto.

Nabii Musa aliwatoa utumwani wana wa Israel na kuwavusha hadi bahari ya shamu.
Bado walipofika Jangwani, walipopata njaa kali, karibu wamsulubu Nabii Musa kuwa walikuwa wanakula na kushiba utumwani, na ni kwa nini Nabii amewaleta jangwani kufa na njaa.

Hiyo ndio tabia ya binadamu, hakumbuki fadhila zako ukiteleza.

Namwaomba Mama Samia aendelee kuwa mvumilivu, kuteleza si kuanguka.

Lakini wanaomtukana mama Samia wanakosea sana, na ni watu wa kuonywa na kuhurumiwa kwa kukosa maadili yapasayo mtu.
Nimepita kwa rafiki yangu mmoja nikakuta hiki kitabu, kimenifunua mengi!
msamaha.jpeg
 
Ni kweli kabisa

Mathayo 25:35-40

Yesu akawaambia nalikuwa na njaa mkanipa chakula, nalikuwa hospital mkaja kunitazama nalikuwa gerezani mkaja kunifariji

Wakamuuliza lini tuliyatenda hayo?

Yesu akawaambia, kwa Jinsi mlivyowatendea hawa ( Lisu na Mbowe) mlinitendea mimi.

Ikumbukwe Rais Samia na Mzee Mwinyi Ruksa ndio walisafiri hadi Nairobi kumfariji Tundu Lisu

Kadhalika Rais Samia ndio kamtoa Mbowe Magereza

Tumsifu Yesu Kristo!

Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
 
Acheni upumbavu bhana!..

Hebu orodhesheni hayo matusi tuone!

Hivi kuna tusi kubwa kwa watz zaidi ya hili la mtu kuuza bandari za nchi kwa wajomba zake?
 
Ata usipo unga mkono haiondoi watu kuendelea kumtukana
 
Tabia ya binadamu huwa ni ya ajabu.
Ukimuokoa mtu toka mtoni, halafu kule mbele ya safari mtu huyo akipata shida basi bado anaweza kukutusi, akisahau kabisa kuwa nafasi hiyo ya kutusi anaitumia vibaya maana asingefanya hivyo, kama asngevuka mto.

Nabii Musa aliwatoa utumwani wana wa Israel na kuwavusha hadi bahari ya shamu.
Bado walipofika Jangwani, walipopata njaa kali, karibu wamsulubu Nabii Musa kuwa walikuwa wanakula na kushiba utumwani, na ni kwa nini Nabii amewaleta jangwani kufa na njaa.

Hiyo ndio tabia ya binadamu, hakumbuki fadhila zako ukiteleza.

Namwaomba Mama Samia aendelee kuwa mvumilivu, kuteleza si kuanguka.

Lakini wanaomtukana mama Samia wanakosea sana, na ni watu wa kuonywa na kuhurumiwa kwa kukosa maadili yapasayo mtu.
Nimepita kwa rafiki yangu mmoja nikakuta hiki kitabu, kimenifunua mengi!
View attachment 2705150
Wamemtukanaje?
 


Utu wa mtu ubaki pale pale , hata muuaji ana haki ya kusikilizwa, huku hakutufai haipaswi kutukanana kwa hivi kila mtu aheshimiwe aliyekosea na kutupoteza ashtakiwe na atiwe hatiani kisheria
 
Ni kweli kabisa

Mathayo 25:35-40

Yesu akawaambia nalikuwa na njaa mkanipa chakula, nalikuwa hospital mkaja kunitazama nalikuwa gerezani mkaja kunifariji

Wakamuuliza lini tuliyatenda hayo?

Yesu akawaambia, kwa Jinsi mlivyowatendea hawa ( Lisu na Mbowe) mlinitendea mimi.

Ikumbukwe Rais Samia na Mzee Mwinyi Ruksa ndio walisafiri hadi Nairobi kumfariji Tundu Lisu

Kadhalika Rais Samia ndio kamtoa Mbowe Magereza

Tumsifu Yesu Kristo!

Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Kwani nani alimweka Mbowe ndani? Licha ya Nyerere kupambania uhuru lakini alipingwa na kubagazwa kama kawaida sembuse Samia! Hivi Samia angebagazwa kama alivyofanywa Magufuli ingekuwaje?

Mwizi mi mwizi tu jana jina lingine lakumuita.
 
Tabia ya binadamu huwa ni ya ajabu.
Ukimuokoa mtu toka mtoni, halafu kule mbele ya safari mtu huyo akipata shida basi bado anaweza kukutusi, akisahau kabisa kuwa nafasi hiyo ya kutusi anaitumia vibaya maana asingefanya hivyo, kama asngevuka mto.

Nabii Musa aliwatoa utumwani wana wa Israel na kuwavusha hadi bahari ya shamu.
Bado walipofika Jangwani, walipopata njaa kali, karibu wamsulubu Nabii Musa kuwa walikuwa wanakula na kushiba utumwani, na ni kwa nini Nabii amewaleta jangwani kufa na njaa.

Hiyo ndio tabia ya binadamu, hakumbuki fadhila zako ukiteleza.

Namwaomba Mama Samia aendelee kuwa mvumilivu, kuteleza si kuanguka.

Lakini wanaomtukana mama Samia wanakosea sana, na ni watu wa kuonywa na kuhurumiwa kwa kukosa maadili yapasayo mtu.
Nimepita kwa rafiki yangu mmoja nikakuta hiki kitabu, kimenifunua mengi!
View attachment 2705150
Nani kamtukana rais? Matusi gani ambayo rais ametukanwa? Ametukaniwa wapi?
 
Wanaomtukana washughulikiwe
Viongozi wanaoingia madarakani kwa kunajisi chaguzi za nchi ni zaidi ya matusi. Tunaposema chaguzi za nchi ziheshimiwe ni pamoja na kuwa na haki ya kuheshimiwa. Sio unaingia madarakani kwa njia zisizo za heshima, kisha utake heshima.
 
Tabia ya binadamu huwa ni ya ajabu.
Ukimuokoa mtu toka mtoni, halafu kule mbele ya safari mtu huyo akipata shida basi bado anaweza kukutusi, akisahau kabisa kuwa nafasi hiyo ya kutusi anaitumia vibaya maana asingefanya hivyo, kama asngevuka mto.

Nabii Musa aliwatoa utumwani wana wa Israel na kuwavusha hadi bahari ya shamu.
Bado walipofika Jangwani, walipopata njaa kali, karibu wamsulubu Nabii Musa kuwa walikuwa wanakula na kushiba utumwani, na ni kwa nini Nabii amewaleta jangwani kufa na njaa.

Hiyo ndio tabia ya binadamu, hakumbuki fadhila zako ukiteleza.

Namwaomba Mama Samia aendelee kuwa mvumilivu, kuteleza si kuanguka.

Lakini wanaomtukana mama Samia wanakosea sana, na ni watu wa kuonywa na kuhurumiwa kwa kukosa maadili yapasayo mtu.
Nimepita kwa rafiki yangu mmoja nikakuta hiki kitabu, kimenifunua mengi!
View attachment 2705150
NAOMBA KUJULISHWA HAYO MATUSI ALIYOTUKANWA RAIS, MAANA NIMEJARUBU KUANGALIA, BADO SIJAPATA.
Maneneo niliyopata ni:

Hakuna Rais amewahi kusaini mkataba wa ajabu
tukio la kijinga kuwahi kutokea.

“Rais wetu amefanya kitu cha kijinga hakuna aliyewahi kufanya kitu cha aina hii.
Hakuna Rais wa nchi hii, aliyewahi kujiingiza kijinga namna hii

huyu mama kapewa nini?”
 
NAOMBA KUJULISHWA HAYO MATUSI ALIYOTUKANWA RAIS, MAANA NIMEJARUBU KUANGALIA, BADO SIJAPATA.
Maneneo niliyopata ni:

Hakuna Rais amewahi kusaini mkataba wa ajabu
tukio la kijinga kuwahi kutokea.

“Rais wetu amefanya kitu cha kijinga hakuna aliyewahi kufanya kitu cha aina hii.
Hakuna Rais wa nchi hii, aliyewahi kujiingiza kijinga namna hii

huyu mama kapewa nini?”
Staha kwa kiongozi ni kitu cha bure.
Unaweza kutofautiana bila kuweka maneno yenye ukakasi kutamka hadharani.
 
Mna hangaika Sanaa
Mwenyewe kajituliza

MakaSuku mnakazi kweli kweli

Yote ni Pangu Pakavu Tia mchuzi
 
Tabia ya binadamu huwa ni ya ajabu.
Ukimuokoa mtu toka mtoni, halafu kule mbele ya safari mtu huyo akipata shida basi bado anaweza kukutusi, akisahau kabisa kuwa nafasi hiyo ya kutusi anaitumia vibaya maana asingefanya hivyo, kama asngevuka mto.

Nabii Musa aliwatoa utumwani wana wa Israel na kuwavusha hadi bahari ya shamu.
Bado walipofika Jangwani, walipopata njaa kali, karibu wamsulubu Nabii Musa kuwa walikuwa wanakula na kushiba utumwani, na ni kwa nini Nabii amewaleta jangwani kufa na njaa.

Hiyo ndio tabia ya binadamu, hakumbuki fadhila zako ukiteleza.

Namwaomba Mama Samia aendelee kuwa mvumilivu, kuteleza si kuanguka.

Lakini wanaomtukana mama Samia wanakosea sana, na ni watu wa kuonywa na kuhurumiwa kwa kukosa maadili yapasayo mtu.
Nimepita kwa rafiki yangu mmoja nikakuta hiki kitabu, kimenifunua mengi!
View attachment 2705150
Kutukana ni kosa mbele ya sheria hata kimaadili.

Lakini isigeuzwe kuwa kukosoa ni kutukana.....
 
Back
Top Bottom