Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Tabia ya binadamu huwa ni ya ajabu.
Ukimuokoa mtu toka mtoni, halafu kule mbele ya safari mtu huyo akipata shida basi bado anaweza kukutusi, akisahau kabisa kuwa nafasi hiyo ya kutusi anaitumia vibaya maana asingefanya hivyo, kama asngevuka mto.
Nabii Musa aliwatoa utumwani wana wa Israel na kuwavusha hadi bahari ya shamu.
Bado walipofika Jangwani, walipopata njaa kali, karibu wamsulubu Nabii Musa kuwa walikuwa wanakula na kushiba utumwani, na ni kwa nini Nabii amewaleta jangwani kufa na njaa.
Hiyo ndio tabia ya binadamu, hakumbuki fadhila zako ukiteleza.
Namwaomba Mama Samia aendelee kuwa mvumilivu, kuteleza si kuanguka.
Lakini wanaomtukana mama Samia wanakosea sana, na ni watu wa kuonywa na kuhurumiwa kwa kukosa maadili yapasayo mtu.
Nimepita kwa rafiki yangu mmoja nikakuta hiki kitabu, kimenifunua mengi!
Ukimuokoa mtu toka mtoni, halafu kule mbele ya safari mtu huyo akipata shida basi bado anaweza kukutusi, akisahau kabisa kuwa nafasi hiyo ya kutusi anaitumia vibaya maana asingefanya hivyo, kama asngevuka mto.
Nabii Musa aliwatoa utumwani wana wa Israel na kuwavusha hadi bahari ya shamu.
Bado walipofika Jangwani, walipopata njaa kali, karibu wamsulubu Nabii Musa kuwa walikuwa wanakula na kushiba utumwani, na ni kwa nini Nabii amewaleta jangwani kufa na njaa.
Hiyo ndio tabia ya binadamu, hakumbuki fadhila zako ukiteleza.
Namwaomba Mama Samia aendelee kuwa mvumilivu, kuteleza si kuanguka.
Lakini wanaomtukana mama Samia wanakosea sana, na ni watu wa kuonywa na kuhurumiwa kwa kukosa maadili yapasayo mtu.
Nimepita kwa rafiki yangu mmoja nikakuta hiki kitabu, kimenifunua mengi!