Siungi mkono wanaomtukana Rais Samia!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wanaoingia madarakani kwa kunajisi chaguzi za nchi ni zaidi ya matusi. Tunaposema chaguzi za nchi ziheshimiwe ni pamoja na kuwa na haki ya kuheshimiwa. Sio unaingia madarakani kwa njia zisizo za heshima, kisha utake heshima.
Kama waliona chaguzi hazikuwa na haki wangeenda mahakaman
 
Kama waliona chaguzi hazikuwa na haki wangeenda mahakaman
Mahakama zipi, hizi hizi zenye kesi ya kina Mdee mwaka wa pili huu hakuna hukumu, wakati kesi ya urais hapo Kenya ambayo ni kubwa kuliko hii ya kina Mdee imeisha muda mrefu na hukumu tayari? Ama hujui unaongea nini dogo?
 
Wanaomkosea heshima Mama Samia wanajificha kwa kigezo cha kutoa maoni yao kuhusu suala zima la bandari.

Hayati JPM wasingethubutu kumvunjia heshima kama wanavyomfanyia huyu SSH, na wanajua nini kingewakuta kwa kufungua midomo yao na kuropoka hovyo dhidi ya mamlaka halali ya rais wa nchi.
 
Wanaotukana si wastaarabu, watu wasio na dira!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…