Siungi mkono watu Kumchukia Diamond kisa aliipigia kampeni CCM

Wako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
Uhuru wao ni haki yao tatizo hoja inayotumika ndio dhaifu, kwa sababu wasanii wengi ni washabiki wa CCM lakini wala hawawasemi, unagundua Kuna agenda nyingine tofauti na ile
 
Mkuu ilikuwa haki ya diamond kuchagua upande kama mtanzania. Bahati nzuri alijua matokeo yake, na labda aliona madogo. Hizi ni principles tu za maisha ambazo huwezi zitengua hata ukipinga wewe.

Kitendo cha yeye kuchagua upande, ilikuwa wazi kuna baadhi ya watu wa upande wa pili anawapoteza. Hata yule mwimbaji aliyejichimbia US ambaye anasomeka kama mwanachadema kama angekuwa anapigiwa kura kama hizi, kuna watu wengi wanaoshabikia CCM wangemnyima kura zao. Hii ni natural justice.
 
Uhuru wao ni haki yao tatizo hoja inayotumika ndio dhaifu, kwa sababu wasanii wengi ni washabiki wa CCM lakini wala hawawasemi, unagundua Kuna agenda nyingine tofauti na ile
Tatizo la diamond ni mdomo.
 
Tatizo sio chama bali ni kuungana na wadhulmati hata angeungana na wasaliti wa Chadema covid 19 bado wangekuwa sahihi kutomsapoti.
Ndiyo demokrasia kuna watu kibao huku wanamwona magu kama alikuwa shujaa wao, sasa tuwatenge kwa kuchagua kumuunga mkono?
Yeye siyo kiongozi ni raia tu, hakuwa na maamuzi kwenye serikali ila kama mtanzania mwingine yoyote na kama ilivyo jina la chadema kuwa ni chama cha demokrasia, basi raia anayeshabikia chama tawala asigeuke kuwa adui maana ndiyo demokrasia yenyewe hiyo.

Hiki kinachofanyika kwa tuzo za mziki kuingiza siasa hakina tofauti na magu alivyokuwa akiwabagua madiwani na wabunge kwa itikadi za kisiasa.

Sasa kwa kufanya hivyo kutakuwa hakuna tofauti kati kile kilichokuwa kinapingwa kuwa ccm inagawa taifa na hiki kinachofanyika.
Japo ilituuma, lakini bado ni haki yake ya kikatiba kuwa na upande hivyo asionekane adui mpaka kampeni ya kisiasa ifanywe ili kumshusha. Je kwa style hii, chama kikichukua hatamu kitafunga biashara zake kisa alikuwa against it?
 
ccm wanaongoza nini? kuteka? kuua?kubambikia kesi?
Wana visasi ccm sasa na chadema ndicho kinachoigwa, kwa style hii sitoshangaa kuona wanafuata nyayo za ccm wakipata madaraka.
 
Tanzania. Wasanii ni wanafiki sana kila msanii CCM

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kama hakuna kupiga kura basi dabliyusibii watulize mshono wasubiri kuchaguliwa na majaji.,,wao si wanasema msanii wao ni mkubwa afrika nzima na bilionea kuwazidi kina davido....Mbele ya Bunaboi HATOBOI.
Ile tu kuwa nominated ni hatua kubwa sana kwa msanii.
 
Hawa ndo Chadema banaaaa,Wana roho mbayaaaa ilopitiliza,Wana husda,uharamia wa nafsi,utashangaa Hawa ndo wapingaji wa kinachoitwa unyanyasaji na udhalilishaji,huku wakikrnua meno na kufurahia mambo mabaya ya mkutayo binadamu...
Wewe huna akili na hilo ulithibitisha ulivyo tumia emoji ya kukenua

Kwani mara ngapi diamond anafanya ivyo?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kama hakuna kupiga kura basi dabliyusibii watulize mshono wasubiri kuchaguliwa na majaji.,,wao si wanasema msanii wao ni mkubwa afrika nzima na bilionea kuwazidi kina davido....Mbele ya Bunaboi HATOBOI.
Kama hakuna kupiga kura basi dabliyusibii watulize mshono wasubiri kuchaguliwa na majaji.,,wao si wanasema msanii wao ni mkubwa afrika nzima na bilionea kuwazidi kina davido....Mbele ya Bunaboi HATOBOI.
Hawawezi tuliza mshono msanii wao yuko nominated, labda umwambie mwijaku atulie
 
Ndiyo demokrasia kuna watu kibao huku wanamwona magu kama alikuwa shujaa wao, sasa tuwatenge kwa kuchagua kumuunga mkono?..
Wewe mbona unaangalia haki ya upande mmoja tuu angalia na haki ya upande mwingine wapo sahihi kumpigia kampeni wanayeona ni bora zaidi ya diamond.
 
Haya machadema yana stress na laana, kama yanagombana na marehemu tutegemee yatagombana kila sehemu. Hiko sio chama ni genge la wahuni kifutwe kwenye daftari. Chama chenyewe kishajifia.
Kati ya chadema na aliyeapa kukiua chadema nani ni maiti?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Juzi kaonana na xhaka humudu si ampigie kura

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mbona unaangalia haki ya upande mmoja tuu angalia na haki ya upande mwingine wapo sahihi kumpigia kampeni wanayeona ni bora zaidi ya diamond.
Hata wakati magu anawaweka ndani wapinzani alikuwa anawaona maadui kwasababu siyo ccm na alikuwa anaona ana haki ya kufanya hivyo.
Hapa point ni kwamba siasa isigeuka uadui mpaka watu tutake kuharibiana hata kazi.
 
Hawa ndo Chadema banaaaa,Wana roho mbayaaaa ilopitiliza,Wana husda,uharamia wa nafsi,utashangaa Hawa ndo wapingaji wa kinachoitwa unyanyasaji na udhalilishaji,huku wakikrnua meno na kufurahia mambo mabaya ya mkutayo binadamu...
Wana roho mbaya kuliko waliomuua Kamanda Maneno?
 
Chama Cha mapinduzi,
Hakina kosa lolote kilikuwepo toka tunaita TANU,Ni chama kinachojulikana sehemu kubwa Sana Tanzania nzima...
Burnaboy kwenye kutetea wananchi anatetea kilicho tokea Nigeria alikuwa Front line kupinga POLICE BRUTALITY. Bongo ujinga mwingi umetokea Diamond amekemea?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…