Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 2,011
- 2,168
Bora ungekaa kimiaChama Cha mapinduzi,
Hakina kosa lolote kilikuwepo toka tunaita TANU,Ni chama kinachojulikana sehemu kubwa Sana Tanzania nzima...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ungekaa kimiaChama Cha mapinduzi,
Hakina kosa lolote kilikuwepo toka tunaita TANU,Ni chama kinachojulikana sehemu kubwa Sana Tanzania nzima...
Mipasho iko wapi? Yeye kasema unaitwa basi,Mi wakiume,mipasho siwezagi kama ilivyo jinsia yako
Unapiga adui mkubwa kwanza, ulishasikia serikali inagombana na Cuf?Hoja inayotumika ndio dhaifu, ila Kura ni haki ya mtu , Mbona yule Mmakonde alijichora mpaka tattoo ya JPM, lakini wala hawamsemi kwa chochote ahahaha
Kwani Sugu na Prof J kuna siku kazi zao zilikataliwa kisa tu walikuwa Chadema?Mtu yeyote yupo huru kumpigia kampeni yeyote yule...
Diamond hajaanza kuwa CCM enzi ya Magufuli tu, Diamond ameshiriki kampeni zote anzia 2010 na mpaka 2025 atashiriki kumpigia kampeni Mama Samia.Chama Cha mapinduzi,
Hakina kosa lolote kilikuwepo toka tunaita TANU,Ni chama kinachojulikana sehemu kubwa Sana Tanzania nzima..
Ngosi nyeusi hatupendi mafanikio ya wenzetuAta mimi naamini hivyo kwa hoja hii kuwa eti ni ccm sio kweli, maana kwenye kampeni Ata Alikiba alivalishwa kofia na JPM, hawa jamaa waseme wanachokitaka kwa Diamond
Kumbe na kiswahili hamkielewi nyie bavicha! Kimekufa ila bado kipo kwenye daftari sasa kwa vile kimekufa kifutwe kabisa na kwenye daftari, umeelewa sasa?Kama kimekufa kuna haja gani ya kusema kifutwe tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sukuma gang mtapata tabu sana
Wasanii wote bongo ni maviEbu tuambie Diamond hajakemea, haya Nani kakemea hapa Bongo kwenye jambo lolote linalo lalamikiwa na upinzani
Dawa ya moto ni moto. Ni kumuunga mkono kwa kwenda mbele.Wanaharakati wa Twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi...
Kwani chadema ndio wametoa taarifa kuwa diamond asipigiwe kura?Wana visasi ccm sasa na chadema ndicho kinachoigwa, kwa style hii sitoshangaa kuona wanafuata nyayo za ccm wakipata madaraka.
Kwani kutokukupigia kura ni uadui?Hata wakati magu anawaweka ndani wapinzani alikuwa anawaona maadui kwasababu siyo ccm na alikuwa anaona ana haki ya kufanya hivyo.
Hapa point ni kwamba siasa isigeuka uadui mpaka watu tutake kuharibiana hata kazi.
Kuhamasishana ili watu wasimpgie kura mtu kutokana na itikadi yake ya kisiasa huo ni uadui. Hauna tofauti na magu alivyokuwa anawaweka ndani wapinzani. Na huenda kama wangekuwa na madaraka nao wangefanya kama maguKwani kutokukupigia kura ni uadui?
Nimemuona mtu ambaye amewahi kuwa mayor kupitia chadema naye anasheherekea hili.Kwani chadema ndio wametoa taarifa kuwa diamond asipigiwe kura?
Hawezi toboa mbele ya Wizkid baba,utakuwa utani wa Karne😂Acha upuuzi ,Domo hata akipigiwa kura na waTZ hawezi kutoboa mbele ya wanaijeria,msitafute kichaka cha kujifichia.
Pili atakula alipopeleka mboga ,mwambieni pole pole na shaka zulu wahamasishe wana ccm wampigie kura.
Hakuna cha adui mkubwa ni wivu ahahahahaha, wote walishabikia ccm na makofia wakavalishwa, wengine mpaka tattoo walijichora na vilio wakajirecord , lakini mbaya awe Diamond tuuuu ahahahahaha haya ni maajabuUnapiga adui mkubwa kwanza, ulishasikia serikali inagombana na Cuf?
Hapa saaafi, lakini sio baadhi ya watu kusema Diamond ccm, wakati wasanii kibao ni ccm , na wanawasifiaWasanii wote bongo ni mavi
Hakuna nchi itakayo tawaliwa na chama cha ovyo kama Chadema ahahahhahahTukubaliane tu CHADEMA ni chama ambacho kama kitakuja kutawala hii nchi basi watakuwa hawana tofauti na utawala wa mwendazake kama hutaki mwingine ashabikie au akupinge hiyo demoklasia tunayoihubili ipo wapi sasa