ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Sasa waseme hivyo, sio kujificha kwenye ccm , wakati wasanii wengi ni ccmTatizo la diamond ni mdomo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa waseme hivyo, sio kujificha kwenye ccm , wakati wasanii wengi ni ccmTatizo la diamond ni mdomo.
Emoji tu zinaonyesha ulivyo zeroKwa chadema ..hii..wanaweza kuongoza nchi kweli[emoji75][emoji75][emoji75][emoji75]
Useless kabisa kati ya chadema na ccm mataga nan wana mgombania marehemu?Haya machadema yana stress na laana, kama yanagombana na marehemu tutegemee yatagombana kila sehemu. Hiko sio chama ni genge la wahuni kifutwe kwenye daftari. Chama chenyewe kishajifia.
Wote Wana roho mbaya tu,hatuwezi halalisha haramu kwa haramu,wote wapo ktk Kundi mojaWana roho mbaya kuliko waliomuua Kamanda Maneno?
Ebu tuambie Diamond hajakemea, haya Nani kakemea hapa Bongo kwenye jambo lolote linalo lalamikiwa na upinzaniBurnaboy kwenye kutetea wananchi anatetea kilicho tokea Nigeria alikuwa Front line kupinga POLICE BRUTALITY. Bongo ujinga mwingi umetokea Diamond amekemea?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wana Chadema wangapi wameumizwa kisa ni wapinzani?Kama unaanzisha kampeni ya kuhamasisha watu wasimpgie kura mwanamziki kisa alikuwa chama tofauti na chama chako, siku ukipata madaraka utakamata hata mali za waliokuwa wanakupinga, unaweza kuwaweka ndani pia...
Wewe mwenye akili zimekupeleka wapi Zaid ya kujificha kama nguchiro humu jfWewe huna akili na hilo ulithibitisha ulivyo tumia emoji ya kukenua
Kwani mara ngapi diamond anafanya ivyo?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Harmonize simlaumu reasoning capacity yake ni ndogo hivyo nna mchukulia kama mwehuUkiondoa Roma, ney na prof J, ebu tutajie msanii gani ambaye yuko kwenye chat ajashabikia ccm?maana yule Konde boy mpaka tattoo ya Magu kachora
Wape quinine wameze wateme shauri yao.Wako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
Sasa kama kishajifia nn kifutwe kwenye daftari? Tulishawaambia ninyi ni washamba na siasa zenu ni za kishamba. Sasa tulieni dawa ziwaingie ili mpone.Haya machadema yana stress na laana, kama yanagombana na marehemu tutegemee yatagombana kila sehemu. Hiko sio chama ni genge la wahuni kifutwe kwenye daftari. Chama chenyewe kishajifia.
Ahahaha ha usilaumu wote, maana wote wasanii na walishabikia ccm kwa hiari yaoHarmonize simlaumu reasoning capacity yake ni ndogo hivyo nna mchukulia kama mwehu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Roma Mkatoliki.Ebu tuambie Diamond hajakemea, haya Nani kakemea hapa Bongo kwenye jambo lolote linalo lalamikiwa na upinzani
Huyo atasusiwa sana na kwa uwezo wa ahllah atadondokea pua tu na uccm wake.Wanaharakati wa twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi....
We ni sawa na kiwewe tu maana huna akiliUko sahihi [emoji817], tujiulize tu swali dogo hivi Mbowe angekua Diamond asingesupport Magufuli?[emoji848]
Hatuwezi kusapoti mnafiki mkubwa yule,atapata sapoti za wana ccm wenzakeWako huru kumsapoti yeyote kama wewe ulivyo huru kumsapoti diamond, halafu kama ni wanaharakati wa kisiasa wako sahihi kwanini unataka wamsapoti aliyeungana na watesi wao CCM kuwateka, kuwaua, kuwanyanyasa na kuwabeza kwa nyimbo zake?
Ishu siyo kuwa sisiemu ila ni kupingana na wale wanaotetea madhalimuWanaharakati wa twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi...
Acha CCM wampigie kura.....Wanaharakati wa twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi...
Msanii anaetaka kufika mbali anajiepusha na siasa na kuwa mtu wa raia wote.Hawa ndo Chadema banaaaa,Wana roho mbayaaaa ilopitiliza,Wana husda,uharamia wa nafsi,utashangaa Hawa ndo wapingaji wa kinachoitwa unyanyasaji na udhalilishaji,huku wakikrnua meno na kufurahia mambo mabaya ya mkutayo binadamu...
Sema itawatesa wasanii,kwa nn diamond tu?Msanii anaetaka kufika mbali anajiepusha na siasa na kuwa mtu wa raia wote.
Sasa huyu diamond alijipoteza mwenyewe kiuadilifu alipopanda majukwaani kwa mlengo wa chama cha siasa.
Hayo yanayotokea ndio majibu ya kujichanganya kwake.
Na bado hii dhambi itamtesa sana diamond.
Kama kimekufa kuna haja gani ya kusema kifutwe tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya machadema yana stress na laana, kama yanagombana na marehemu tutegemee yatagombana kila sehemu. Hiko sio chama ni genge la wahuni kifutwe kwenye daftari. Chama chenyewe kishajifia.