Siwa ya Bunge Kenya yabebwa na waandamanaji

Kuwa na jeshi linalotumia nguvu kuliko akili, huku likiwatumikia wacahche badala ya wananchi huo siyo uimara.
Huwezi kusema jeshi la Kenya ni dhaifu kwa hoja kama hiyo. Waandamanaji siyo majambazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…