min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Wananchi ndio serikali yenyewe wakiamua kwa umoja hakuna viongozi wa kuwashinda.hiyo itakuwa serikali dhaifu inayoshindwa na nguvu za umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi ndio serikali yenyewe wakiamua kwa umoja hakuna viongozi wa kuwashinda.hiyo itakuwa serikali dhaifu inayoshindwa na nguvu za umma
Mmeshajua kama wtz wamegundua hicho kibatari mnakitumia kuwapumbazauhuni kama wa kenya haukubaliki tanzania, kama hamuupendi mwenge upeni heshima yake, upelekeni makumbusho ya taifa na si kuutupa baharini
Wapo sema wako busy na diomond na zuchu kubeti na kubishana Yanga na simba. 🤯Kwani nyie hamna vijana hapa kwenu endeleeni kusifia kuimba mapambio,na matozo kibao vijana wenzenu wa Kenya wanawapa funzo
wewe bado hujajua nguvu ya wananchiserikali dhaifu huyumbishwa na nguvu ya umma
Kuwa na jeshi linalotumia nguvu kuliko akili, huku likiwatumikia wacahche badala ya wananchi huo siyo uimara.Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Lakini aliuliwa mkuu alipigwa risasiBaada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya.
Neno moja kwa huyu mwamba
View attachment 3026053
OkayBaada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya.
Neno moja kwa huyu mwamba
View attachment 3026053
Huyo na kauli zake angekuwa kenya wangemuonesha 😄Wangekuja tz jana hawa wakambeba bi betina na kundi la wahuni wenzake ingekua poa sana.
Kabla useme hivyo unafaa uone ni vipi jinsi bunge lilivamiwa....Mfumo mzima wa ulinzi kwa Kenya ni changamoto sana