Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kdf wameagizwa kuingilia kati, tuone sasa kama kuna muhuni ataandamana, atakula za uso hadharaniTulia wewe maiti wagonjwa wawaonyeshe kuwa wamepona
jeshi limeagizwa kuingilia kati ujue muandamanaji kibabe akijitokeza atakula za uso. Sasa tuone kama watakabiliana na jeshi laoKuna kitu haujui. Wananchi wakiamua jambo hata jeshi linakaa pembeni. Sio kwamba ni dhaifu isipokuwa madhara ya kujaribu kuwazuia ni makubwa kuliko kuwaacha wafanye jambo lao.
Niambie, unaweza kuwafyatulia risasi watu elfu 10 uwaue wote. Unafikiri umoja wa mataifa utakaa tu unakuangalia. Kuna nchi zimekaa huko wanasubiri ujichanganye tu wapate sababu ya kuingiza majeshi. Case study Libya, Iraq, Iran, Guatemala walijaribu kufanya hicho unachowaza wewe. Siku ukikaa na mjeshi yoyote yule kirafiki tu muulize nini kitatokea Raia wote wakiingia kuandamana wanaelekea ikulu. Mtawalipua wote au mtawafanya nini halagmfu usikie jibu lake.
Uongozi unahitaji busara sio kila jambo unapanic utakula mabanzi na mabeberu hadi sio poa.
Hata bunge lenye spika chawa linaweza kuingilika kama Kenya. Wewe unajua waandamanaji walikuwa wangapi? Hapo unakuta polisi walikosa cha kufanya kwa ajili ya usalama wao wenyewe kwanza. Waandamanaji wenye hasira kali wanaweza kukudhuru unajiona. Sasa wewe jifanye jeuri ufyatue risasi wakutie kibiriti.Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Hauwezi kuua watu milioni Moja Ili kulinda jengo bana, fikiria kidogo.Mfumo mzima wa ulinzi kwa Kenya ni changamoto sana
bunge la tanzania lina security tight imara huwezi kuingia kiholela. Mbunge mwenyewe tu ndani akileta fujo anadhibitiwa. Nje ya ukumbi wa bunge kuna askari wa kutosha. Waandamanaji wa kenya wamedhalilisha bunge lao, hawana adabu na heshima kwa vyombo vyao vya maamuzi ya nchi yao, ni wahuniHuwez linganisha bunge la tz na la Kenya Tanzania utapigwa sana
somo gani toka kwa wahuni wa kenya?Walamba Asali somo linawaingia mdogomdogo
huyu kijana ni mwendawazimu, kadhalilisha bunge lao, akamatwe na atiwe adabuKijana hataki mchezo huyo ,ila baada ya matukio haya wabunge wa kenya wanaweza anza kubadilika na wanaweza anza kuleta maendeleo katika nchi maana wanaona vijana hawataki mchezo.
tayari ruto kaagiza jeshi liingilie kati, haya tuone waandamanaji kama wataandamana na kukabiliana na jeshi lao kama hawatakula risasi nyingi wafutiliwe mbaliBajeti ya ulinzi ya Marekan ni dola 700 bill ndiyo yenye ulinzi mkubwa dunian lakin raia waliingia bungen na viunga vya white house. jeshi la Marekan nalo ni dhaifu?
jeshi limeagizwa kuingilia kati, haya sasa tuone kama kuna waandamanaji wataandamana kibabe na kuingia sehemu nyetiUmepoteza muda wako bure kumuelewesha kundi la mafisadi limelewa kwa upigaji kiasi wanajiona hawaishi katika dunia hii haya machungu tunayopitia raia huku kitaa wao wanayaona kwenye bongo movie ndio maana mtu anashangaa maandamano
watapigwa tu kama watakaidi amri, jeshi limeagizwa kuingilia katiAkili zako zinakutuma wapigwe risasi tu, hovyo kabisa wewe
Wewe utakuwa mamluki mbona roho inakuuma hivyotayari ruto kaagiza jeshi liingilie kati, haya tuone waandamanaji kama wataandamana na kukabiliana na jeshi lao kama hawatakula risasi nyingi wafutiliwe mbali
Nani anakudanganya uwaze hayo?Unawajua binadamu au ndiyo umefika duniani leo?Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
hujui kama jeshi la kenya limeagizwa kuingilia kati? Haya tuone kama kuna wahuni wataandamana kama hawatakula risasi kama mvua. Wahuni hawavumiliwi kufanya uhuni waoTafsili yako ni mbaya, maana yake jeshi la Police la Tz ni katili na halijui mipaka yake. Ni jeshi linalo Linda viongozi kuliko wananchi.
ni wapuuzi waandamanaji hao, maandamano yao yamegeuka kuwa ya kihalifu mpaka ikabidi ruto aagize jeshi kuingilia katiHuu sasa ni uharibifu aisee, kwa nn wasifanye kwa amani tu
RipBaada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya.
Neno moja kwa huyu mwamba
View attachment 3026053
yameagizwa yaingilie kati, kama waandamanaji wataandamana kibabe tena bila kukabiliwa na jeshi basi itakuwa majeshi yapo upande waoNi wazi majeshi yako upande wa waananchi.
hiyo itakuwa serikali dhaifu inayoshindwa na nguvu za ummaJapo si ungi mkono vurugu ila hakuna serikali yoyote duniani inayoweza kuishinda nguvu uma.