Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona povu jingi?Mpumbavu ni wewe na mama yako,juha wewe, hiyo siwa ilinunuliwa kwa kodi yake, wewe unawashwa nini manina zako
Halafu siwa huwa ni dhahabu?Baada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya
Neno moja kwa huyu mwamba
Tomorrow never comes, (,liwezekanalo Leo lisingoje Kesho)Baada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya.
Neno moja kwa huyu mwamba
View attachment 3026053
Ni wazi majeshi yako upande wa waananchi.Mfumo mzima wa ulinzi kwa Kenya ni changamoto sana
Tulia wewe maiti wagonjwa wawaonyeshe kuwa wameponaHatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Japo si ungi mkono vurugu ila hakuna serikali yoyote duniani inayoweza kuishinda nguvu uma.Huwez linganisha bunge la tz na la Kenya Tanzania utapigwa sana
Sasa huyo jamaa na Ukoo wenu wote nani mpumbavu????Ni mpumbavu
Mpumbavu kweli kweliNi mpumbavu
Sana lo
Unaifahamu nguvu ya umma?Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Angalia chonde chonde usijambe tuMpumbavu kweli kweli
AnaejielewaNi mpumbavu
Siku ikitokea bongo inabidi tukaibe kile kibatari kinaitwa mwenge tukakitupe bahariniBaada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya.
Neno moja kwa huyu mwamba
View attachment 3026053