Siwa ya Bunge Kenya yabebwa na waandamanaji

Siwa ya Bunge Kenya yabebwa na waandamanaji

Hao Wahuni (and by wahuni I do not mean hao vijana ambao wamehangaika kwa wazazi wao kuuza mashamba yao kuwapa elimu na kujikuta hawana shughuli za kuhakikisha ujira wao) naamanisha walamba asali na manyangau ambao wamejishahau na kushindwa kutunga sera nzuri za kuhakikisha watu wana guarantee ya basic needs zao.... Wahuni hao wamekuwa na kejeli na wamesahau msemo wa kujua kula na vipofu...,

Hakika mwisho wa wahuni hao utafika sababu like wildfire mambo haya huwa yanahama nchi kwa nchi hususan kipindi hiki dunia ishakuwa kijiji.....

Nawashauri sana ili tusipate ya French Revolution they need to be humble and rethink how this large cake which is currently eaten by the few can reach the majority (at least the crumbs or left overs) as of now wabangaizaji wanaambulia dhihaka na kejeli
 
Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Kuna kitu haujui. Wananchi wakiamua jambo hata jeshi linakaa pembeni. Sio kwamba ni dhaifu isipokuwa madhara ya kujaribu kuwazuia ni makubwa kuliko kuwaacha wafanye jambo lao.

Niambie, unaweza kuwafyatulia risasi watu elfu 10 uwaue wote. Unafikiri umoja wa mataifa utakaa tu unakuangalia. Kuna nchi zimekaa huko wanasubiri ujichanganye tu wapate sababu ya kuingiza majeshi. Case study Libya, Iraq, Iran, Guatemala walijaribu kufanya hicho unachowaza wewe. Siku ukikaa na mjeshi yoyote yule kirafiki tu muulize nini kitatokea Raia wote wakiingia kuandamana wanaelekea ikulu. Mtawalipua wote au mtawafanya nini halagmfu usikie jibu lake.

Uongozi unahitaji busara sio kila jambo unapanic utakula mabanzi na mabeberu hadi sio poa.
 
Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Walamba Asali somo linawaingia mdogomdogo
 
Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Bajeti ya ulinzi ya Marekan ni dola 700 bill ndiyo yenye ulinzi mkubwa dunian lakin raia waliingia bungen na viunga vya white house. jeshi la Marekan nalo ni dhaifu?
 
1719122436845.jpg
 
Kuna kitu haujui. Wananchi wakiamua jambo hata jeshi linakaa pembeni. Sio kwamba ni dhaifu isipokuwa madhara ya kujaribu kuwazuia ni makubwa kuliko kuwaacha wafanye jambo lao.

Niambie, unaweza kuwafyatulia risasi watu elfu 10 uwaue wote. Unafikiri umoja wa mataifa utakaa tu unakuangalia. Kuna nchi zimekaa huko wanasubiri ujichanganye tu wapate sababu ya kuingiza majeshi. Case study Libya, Iraq, Iran, Guatemala walijaribu kufanya hicho unachowaza wewe. Siku ukikaa na mjeshi yoyote yule kirafiki tu muulize nini kitatokea Raia wote wakiingia kuandamana wanaelekea ikulu. Mtawalipua wote au mtawafanya nini halagmfu usikie jibu lake.

Uongozi unahitaji busara sio kila jambo unapanic utakula mabanzi na mabeberu hadi sio poa.
Umepoteza muda wako bure kumuelewesha kundi la mafisadi limelewa kwa upigaji kiasi wanajiona hawaishi katika dunia hii haya machungu tunayopitia raia huku kitaa wao wanayaona kwenye bongo movie ndio maana mtu anashangaa maandamano
 
Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Akili zako zinakutuma wapigwe risasi tu, hovyo kabisa wewe
 
Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Tafsili yako ni mbaya, maana yake jeshi la Police la Tz ni katili na halijui mipaka yake. Ni jeshi linalo Linda viongozi kuliko wananchi.
 
Back
Top Bottom