Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu haujui. Wananchi wakiamua jambo hata jeshi linakaa pembeni. Sio kwamba ni dhaifu isipokuwa madhara ya kujaribu kuwazuia ni makubwa kuliko kuwaacha wafanye jambo lao.Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Walamba Asali somo linawaingia mdogomdogoHatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Bajeti ya ulinzi ya Marekan ni dola 700 bill ndiyo yenye ulinzi mkubwa dunian lakin raia waliingia bungen na viunga vya white house. jeshi la Marekan nalo ni dhaifu?Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Umepoteza muda wako bure kumuelewesha kundi la mafisadi limelewa kwa upigaji kiasi wanajiona hawaishi katika dunia hii haya machungu tunayopitia raia huku kitaa wao wanayaona kwenye bongo movie ndio maana mtu anashangaa maandamanoKuna kitu haujui. Wananchi wakiamua jambo hata jeshi linakaa pembeni. Sio kwamba ni dhaifu isipokuwa madhara ya kujaribu kuwazuia ni makubwa kuliko kuwaacha wafanye jambo lao.
Niambie, unaweza kuwafyatulia risasi watu elfu 10 uwaue wote. Unafikiri umoja wa mataifa utakaa tu unakuangalia. Kuna nchi zimekaa huko wanasubiri ujichanganye tu wapate sababu ya kuingiza majeshi. Case study Libya, Iraq, Iran, Guatemala walijaribu kufanya hicho unachowaza wewe. Siku ukikaa na mjeshi yoyote yule kirafiki tu muulize nini kitatokea Raia wote wakiingia kuandamana wanaelekea ikulu. Mtawalipua wote au mtawafanya nini halagmfu usikie jibu lake.
Uongozi unahitaji busara sio kila jambo unapanic utakula mabanzi na mabeberu hadi sio poa.
Mpumbavu ni wewe na mama yako,juha wewe, hiyo siwa ilinunuliwa kwa kodi yake, wewe unawashwa nini manina zakoNi mpumbavu
wee wasingiacha hapo hivi unawajua wanasiasa wa africa lakini!Huwa wanadai ni Gold tupu,sijui ni kweli 😀
Akili zako zinakutuma wapigwe risasi tu, hovyo kabisa weweHatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Wananchi wana njaa nyie eti mnatumia mamilioni ya pesa kujipamba na siwa! Imani ya ushirikina.Baada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya
Neno moja kwa huyu mwamba
SawaNi mpumbavu
Tafsili yako ni mbaya, maana yake jeshi la Police la Tz ni katili na halijui mipaka yake. Ni jeshi linalo Linda viongozi kuliko wananchi.Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Changamoto kiaje?Mfumo mzima wa ulinzi kwa Kenya ni changamoto sana
😀😀😀Itakuwa ni decoration yenye mfano wa dhahabu na si dhahabu halisiwee wasingiacha hapo hivi unawajua wanasiasa wa africa lakini!