Siwa ya Bunge Kenya yabebwa na waandamanaji

Siwa ya Bunge Kenya yabebwa na waandamanaji

Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Ndugu yangu achana na nguvu ya uma, utauwa wangapi? watu wanakuja maelfu kwa maelfu. Hata hapo Dodoma watu wanaingia vizuri tu.
 
Hata bunge lenye spika chawa linaweza kuingilika kama Kenya. Wewe unajua waandamanaji walikuwa wangapi? Hapo unakuta polisi walikosa cha kufanya kwa ajili ya usalama wao wenyewe kwanza. Waandamanaji wenye hasira kali wanaweza kukudhuru unajiona. Sasa wewe jifanye jeuri ufyatue risasi wakutie kibiriti.
polisi wameonekana ni nyanya, jeshi limeagizwa kuingilia kati. Tuone kama wataandamana kibabe tena
 
Laana ya Wapalestina, Wahaiti na Wayemeni zinamuandama Ruto.

Sasa hivi ataanza kumwaga damu ya vijana wa Kikenya, kama bado.
kdf wameagizwa kuingilia kati, tuone kama kuna wahuni wataandamana kibabe tena na kuingia sehemu nyeti na kufanya uhalifu watakula risasi za uso kama zote wapuuzi wale
 
Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Endelea kujudanganya hivyo hivyo Iko siku huta amini macho,halafu ujidanganye tena kuwa security ya Kenya haiko vizuri,halafu ujue askari wa Kenya sio wa D2 hao kama wenu
 
Bajeti ya ulinzi ya Marekan ni dola 700 bill ndiyo yenye ulinzi mkubwa dunian lakin raia waliingia bungen na viunga vya white house. jeshi la Marekan nalo ni dhaifu?
Unajua Kuna watu rangi ya kijani imeingia mpaka kwenye ubongo kwahiyo hawaamini kama mambo yanaweza kubadilika wakati wowote,aendeleee kuamini kuwa jeshi lake ni jeshi imara Dunia nzima
 
Back
Top Bottom