LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
serikali dhaifu huyumbishwa na nguvu ya ummaUnaifahamu nguvu ya umma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
serikali dhaifu huyumbishwa na nguvu ya ummaUnaifahamu nguvu ya umma?
uhuni kama wa kenya haukubaliki tanzania, kama hamuupendi mwenge upeni heshima yake, upelekeni makumbusho ya taifa na si kuutupa bahariniSiku ikitokea bongo inabidi tukaibe kile kibatari kinaitwa mwenge tukakitupe baharini
Ndugu yangu achana na nguvu ya uma, utauwa wangapi? watu wanakuja maelfu kwa maelfu. Hata hapo Dodoma watu wanaingia vizuri tu.Hatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
polisi wameonekana ni nyanya, jeshi limeagizwa kuingilia kati. Tuone kama wataandamana kibabe tenaHata bunge lenye spika chawa linaweza kuingilika kama Kenya. Wewe unajua waandamanaji walikuwa wangapi? Hapo unakuta polisi walikosa cha kufanya kwa ajili ya usalama wao wenyewe kwanza. Waandamanaji wenye hasira kali wanaweza kukudhuru unajiona. Sasa wewe jifanye jeuri ufyatue risasi wakutie kibiriti.
jeshi linaingilia kati, tuone kama kuna kenge ataandamana kibabe tenaHauwezi kuua watu milioni Moja Ili kulinda jengo bana, fikiria kidogo.
Huwa wanadai ni Gold tupu,sijui ni kweli 😀
Kwa sababu ulikomenti ujuha.mbona povu jingi?
Kwani nyie hamna vijana hapa kwenu endeleeni kusifia kuimba mapambio,na matozo kibao vijana wenzenu wa Kenya wanawapa funzoWangekuja tz jana hawa wakambeba bi betina na kundi la wahuni wenzake ingekua poa sana.
Unangoja nini sasa?😎Watz tuamke.twendeni tukalivamie hili bunge kibogoyo lililogeuka kuwa kichaka cha kupitishwa Sheria kandamizi Kwa wananchi.tukaibebe hiyo Siwa na kiti Cha tulia tukichome moto.Unyonyaji Tanzania Sasa bas.
kdf wameagizwa kuingilia kati, tuone kama kuna wahuni wataandamana kibabe tena na kuingia sehemu nyeti na kufanya uhalifu watakula risasi za uso kama zote wapuuzi waleLaana ya Wapalestina, Wahaiti na Wayemeni zinamuandama Ruto.
Sasa hivi ataanza kumwaga damu ya vijana wa Kikenya, kama bado.
Endelea kujudanganya hivyo hivyo Iko siku huta amini macho,halafu ujidanganye tena kuwa security ya Kenya haiko vizuri,halafu ujue askari wa Kenya sio wa D2 hao kama wenuHatuwezi kusema ni upumbavu bali ni ushujaa wa aina yake, kama walipanga kuelekea bungeni basi haya ndiyo matokeo yake. Tafsiri yake ni kwamba bunge limepinduliwa hata kama wataendelea na vikao vyake litaonekana ni nyanya pusa. Kwanza security ya bunge hilo ni dhaifu. Tz hakuna atakayeweza kuandamana kwenda bungeni na kisha kuingia bungeni na kubeba siwa, atamalizwa na kuteketezwa njiani kabla ya kuingia viwanja vya bunge. Huu ni udhaifu, siku nyingine wataandamana kuelekea ikulu na kwenda kupindua serikali. Demokrasia yao imezidi mno, wanasema ni haki ya raia na ipo kwenye katiba yao. Siku wakitaka kuandamana kwenda ikulu wawavumilie hivyohivyo ili kulinda katiba yao. Hii sasa too much
Kenya ni taifa jingine lile hata Kwa hicho walicho kifanya wanastahili pongezikdf wameagizwa kuingilia kati, tuone kama kuna wahuni wataandamana kibabe tena na kuingia sehemu nyeti na kufanya uhalifu watakula risasi za uso kama zote wapuuzi wale
Hayo sasa yatakuwa mauaji ya halaiki. Unayajua madhara yake lakini?tayari ruto kaagiza jeshi liingilie kati, haya tuone waandamanaji kama wataandamana na kukabiliana na jeshi lao kama hawatakula risasi nyingi wafutiliwe mbali
Hapo mwamba ameshakula mirungi yake yaani haelewi.Baada kuvamia bunge kula vyakula vya wabunge kijana mmoja shupavu anaoneka kuondoka na siwa ya bungeni Kenya.
Neno moja kwa huyu mwamba
View attachment 3026053
Mtanzania kuwa mzalendo tuungane tudai haki zetu.wewe usijitoe;tuungane kupigania haki ili watu wote tufaidi maliasili zetuUnangoja nini sasa?😎
Unajua Kuna watu rangi ya kijani imeingia mpaka kwenye ubongo kwahiyo hawaamini kama mambo yanaweza kubadilika wakati wowote,aendeleee kuamini kuwa jeshi lake ni jeshi imara Dunia nzimaBajeti ya ulinzi ya Marekan ni dola 700 bill ndiyo yenye ulinzi mkubwa dunian lakin raia waliingia bungen na viunga vya white house. jeshi la Marekan nalo ni dhaifu?
HHahaa hamna kitu hapoHuwa wanadai ni Gold tupu,sijui ni kweli 😀
Uzalendo wa kufanya machafuko na kuwaiga wakenya alimradi tu?Mtanzania kuwa mzalendo tuungane tudai haki zetu.wewe usijitoe;tuungane kupigania haki ili watu wote tufaidi maliasili zetu
Mfia chama huyo😂😂😂mbona povu jingi?